minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,313
- 22,320
zifutwe tu hamna namna. wizara kibao cha maana hakionekani
Wizara ya michezo iwe wizara ya peke yake asichanganye na mambo mengine kama anataka michezo ikue kwa kasi, pia asimteue Nape kuwa Waziri wa Michezo kama tetesi zilivyozagaa na asimrejeshe juma Nkamia kama tetesi zingine zinavyosema, wizara ya michezo Safari hii awekwe Waziri mwenye kupenda maendeleo ya michezo na awe na speed kubwa.