Wizara ya Maji na DAWASA wanampotosha Rais

Mavipunda

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
6,916
7,522
Wakati Mhe. Rais anafungua mradi wa maji kule Kigamboni hivi karibu, Ndugu Juma Aweso alitamka mbele ya Mhe.Rais kwamba kuanzia siku ile jiji la Dar es Salaam linapata maji kwa 100%. Alitoa kauli hiyo huku akijifananisha na Kocha wa Yanga alivyopindua meza Tunis.

Wakati wa hotuba yake mama Samia nae alirudia kauli hiyo ya jiji kupata huduma ya maji kwa asilimia mia na alimpamba sana kwa sifa Ndugu Awesu.

Lakini kuanzia siku ile shida ya maji katika jiji la Dar ndio iliongezeka makali maradufu. Wakaazi wa Sinza, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi Beach, Tegeta n.k walikuwa wakipata maji kwa mgao kila baada ya siku tatu lakini kuanzia Ijumaa ile hadi leo hata huo mgao kwao umekata.

Kama Mhe. Rais ana mifumo yake ya kupata feedback basi afuatilie atajua ukweli wa haya tunayoongea.

Inawezekana DAWASA wanampotosha Awesu au kuna hujma za kimkakati dhidi ya Mhe. Rais.
 
Wakati Mhe. Rais anafungua mradi wa maji kule Kigamboni hivi karibu, Ndugu Juma Aweso alitamka mbele ya Mhe.Rais kwamba kuanzia siku ile jiji la Dar es Salaam linapata maji kwa 100%. Alitoa kauli hiyo huku akijifananisha na Kocha wa Yanga asi afuatilie atajua ukweli wa haya tunayoongea.

Inawezekana DAWASA wanampotosha Awesu au kuna hujma za kimkakati dhidi ya Mhe. Rais.
Wewe Ni mpumbavu hata hukuelewa kauli ya Aweso na Rais alirudia pia..

Alisema hivi Kama kina Cha maji MTO Ruvu kisingeshuka plus ule mradi waliouzindua Jiji la Dar lingekuwa linapata maji kwa zaidi ya 100%..

Hata umeme installed capacity Ni 1700 megawatt ila kutokana na shida za ukame umeme ukonpungufu..

Sasa hapo shida iko wapi? Wewe hukuelewa au unataka kupotosha?
 
Bila shaka hukuelewa cho chote kutokana na zile hotuba au unapotosha kwa makusudi!
 
Wakati Mhe. Rais anafungua mradi wa maji kule Kigamboni hivi karibu, Ndugu Juma Aweso alitamka mbele ya Mhe.Rais kwamba kuanzia siku ile jiji la Dar es Salaam linapata maji kwa 100%. Alitoa kauli hiyo huku akijifananisha na Kocha wa Yanga alivyopindua meza Tunis.
Magufuli alikuwa hasubiri kuambiwa ...alikuwa anakwenda site tena kwa kushitukiza, huyu anasubiri kuambiwa, anadanganywa na hizo za kudanganywa hachanganyi na zake
 
Wakati Mhe. Rais anafungua mradi wa maji kule Kigamboni hivi karibu, Ndugu Juma Aweso alitamka mbele ya Mhe.Rais kwamba kuanzia siku ile jiji la Dar es Salaam linapata maji kwa 100%. Alitoa kauli hiyo huku akijifananisha na Kocha wa Yanga alivyopindua meza Tunis.

Wakati wa hotuba yake mama Samia nae alirudia kauli hiyo ya jiji kupata huduma ya maji kwa asilimia mia na alimpamba sana kwa sifa Ndugu Awesu.

Lakini kuanzia siku ile shida ya maji katika jiji la Dar ndio iliongezeka makali maradufu. Wakaazi wa Sinza, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi Beach, Tegeta n.k walikuwa wakipata maji kwa mgao kila baada ya siku tatu lakini kuanzia Ijumaa ile hadi leo hata huo mgao kwao umekata.

Kama Mhe. Rais ana mifumo yake ya kupata feedback basi afuatilie atajua ukweli wa haya tunayoongea.

Inawezekana DAWASA wanampotosha Awesu au kuna hujma za kimkakati dhidi ya Mhe. Rais.
Hapotoshwi bali anashauriwa kwa namna alivyo.
 
Wakati Mhe. Rais anafungua mradi wa maji kule Kigamboni hivi karibu, Ndugu Juma Aweso alitamka mbele ya Mhe.Rais kwamba kuanzia siku ile jiji la Dar es Salaam linapata maji kwa 100%. Alitoa kauli hiyo huku akijifananisha na Kocha wa Yanga alivyopindua meza Tunis.

Wakati wa hotuba yake mama Samia nae alirudia kauli hiyo ya jiji kupata huduma ya maji kwa asilimia mia na alimpamba sana kwa sifa Ndugu Awesu.

Lakini kuanzia siku ile shida ya maji katika jiji la Dar ndio iliongezeka makali maradufu. Wakaazi wa Sinza, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi Beach, Tegeta n.k walikuwa wakipata maji kwa mgao kila baada ya siku tatu lakini kuanzia Ijumaa ile hadi leo hata huo mgao kwao umekata.

Kama Mhe. Rais ana mifumo yake ya kupata feedback basi afuatilie atajua ukweli wa haya tunayoongea.

Inawezekana DAWASA wanampotosha Awesu au kuna hujma za kimkakati dhidi ya Mhe. Rais.
Anapotoshwa kwani yeye hana Akili?...
Hii lugha ya eti fulani anapotoshwa ni ya kipumbavu.
Period.
 
toka uhuru 1961 tumeshindwa kulifanya jiji la dar es salaam kuwa na maji na umeme wa kutosha?.

yaani toka 1961 sisi tunategemea maji yatoke Ruvu tu, inamaana tunasomesha watu ili iweje kama sio kuleta akili mpya na mawazo mbadala? toka 1961 tumeshindwa kuhakikisha vitu basic kama umeme na maji vinakuwa vya uhakika katika nchi yetu?.
yaani kila siku wimbo ule ule usioeleweka.

Awamu hii toka imeingia madaraka imeshindwa kuintergrate na watu wa hali ya weka kujua kama kuna ukame unakuja na wao kuandaa solutions za athari za ukame? kwa kuwa na counter measures kunusuru watu wa Dar es salaam?

Tumeshindwa hata kuchimba reservour za kuhifadhi maji na uwezo wa kutumika 1yr kukiwa na shida kama hizi na kuachia maji yakipotea tu kipindi cha mvua?..

Maji yanapotiririka mto Ruvu kutokea uruguruni huko, hapo katikati ya juu(uruguruni) na chini(ruvu) tumeshindwa kukata eneo na kujenga reservour kadhaa ambazo kipindi kama hiki tunaziruhusu kutiririka mto ruvu kucounter upungufu na kuhakikisha tunarecircle overflow inayoelekea baharini na kuirudisha kwenye mzunguko.

Maana ya watu kwenda shule ni kutumia maarifa waliyoyapata kuleta suluhu ya matatizo, hesabu zipigwe kitaalam ijulikane Dar kwa siku zinatumika ltrs ngapi mara mwezi mara mwaka zidisha kwa 2 unapata size yareservour zako unajenga kwenye high level na kuzijaza wakati wa mvua kubwa kwa kubypass channel za mto na zikijaa unaachia maji kwenye njia yake huku reservours zako zinasubiri ukame uziachie, PUMBAVU KWELI SIE..
 
Aweso anamdanganya Mama Samia kabisa, i have to say very clear, Aweso hafai kuwa Waziri aisee
 
toka uhuru 1961 tumeshindwa kulifanya jiji la dar es salaam kuwa na maji na umeme wa kutosha?.

yaani toka 1961 sisi tunategemea maji yatoke Ruvu tu, inamaana tunasomesha watu ili iweje kama sio kuleta akili mpya na mawazo mbadala? toka 1961 tumeshindwa kuhakikisha vitu basic kama umeme na maji vinakuwa vya uhakika katika nchi yetu?.
yaani kila siku wimbo ule ule usioeleweka.

Awamu hii toka imeingia madaraka imeshindwa kuintergrate na watu wa hali ya weka kujua kama kuna ukame unakuja na wao kuandaa solutions za athari za ukame? kwa kuwa na counter measures kunusuru watu wa Dar es salaam?

Tumeshindwa hata kuchimba reservour za kuhifadhi maji na uwezo wa kutumika 1yr kukiwa na shida kama hizi na kuachia maji yakipotea tu kipindi cha mvua?..

Maji yanapotiririka mto Ruvu kutokea uruguruni huko, hapo katikati ya juu(uruguruni) na chini(ruvu) tumeshindwa kukata eneo na kujenga reservour kadhaa ambazo kipindi kama hiki tunaziruhusu kutiririka mto ruvu kucounter upungufu na kuhakikisha tunarecircle overflow inayoelekea baharini na kuirudisha kwenye mzunguko.

Maana ya watu kwenda shule ni kutumia maarifa waliyoyapata kuleta suluhu ya matatizo, hesabu zipigwe kitaalam ijulikane Dar kwa siku zinatumika ltrs ngapi mara mwezi mara mwaka zidisha kwa 2 unapata size yareservour zako unajenga kwenye high level na kuzijaza wakati wa mvua kubwa kwa kubypass channel za mto na zikijaa unaachia maji kwenye njia yake huku reservours zako zinasubiri ukame uziachie, PUMBAVU KWELI SIE..
Make sense..

Tunaacha maji yanaipotelea baharini na baharini hatuwezi kuyatumia hayo maji yet.
 
Awesu ni mbabaishaji sana
Tatizo pia lipo kwa wataalam wa wizara ambao wameshindwa kutengeneza vigezo sahihi vya upatikanaji wa maji.

Kwa mfano je ni sahihi kusema mji fulani uko covered kwa 90% wakati maji yanapatikana kwa saa 6 kwa siku? Huu ndiyo ubabaishaji kwa sababu maji hayapatikani kwa saa 18 zilizobaki!
 
Wakati Mhe. Rais anafungua mradi wa maji kule Kigamboni hivi karibu, Ndugu Juma Aweso alitamka mbele ya Mhe.Rais kwamba kuanzia siku ile jiji la Dar es Salaam linapata maji kwa 100%. Alitoa kauli hiyo huku akijifananisha na Kocha wa Yanga alivyopindua meza Tunis.

Wakati wa hotuba yake mama Samia nae alirudia kauli hiyo ya jiji kupata huduma ya maji kwa asilimia mia na alimpamba sana kwa sifa Ndugu Awesu.

Lakini kuanzia siku ile shida ya maji katika jiji la Dar ndio iliongezeka makali maradufu. Wakaazi wa Sinza, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi Beach, Tegeta n.k walikuwa wakipata maji kwa mgao kila baada ya siku tatu lakini kuanzia Ijumaa ile hadi leo hata huo mgao kwao umekata.

Kama Mhe. Rais ana mifumo yake ya kupata feedback basi afuatilie atajua ukweli wa haya tunayoongea.

Inawezekana DAWASA wanampotosha Awesu au kuna hujma za kimkakati dhidi ya Mhe. Rais.
Tangu lini ukamwanini mwanasiasa? Wanaongea kwa ajili ya matumbo yao si kwa sababu ya wananchi
 
Wewe Ni mpumbavu hata hukuelewa kauli ya Aweso na Rais alirudia pia..

Alisema hivi Kama kina Cha maji MTO Ruvu kisingeshuka plus ule mradi waliouzindua Jiji la Dar lingekuwa linapata maji kwa zaidi ya 100%..

Hata umeme installed capacity Ni 1700 megawatt ila kutokana na shida za ukame umeme ukonpungufu..

Sasa hapo shida iko wapi? Wewe hukuelewa au unataka kupotosha?

..kiongozi hatakiwi kutoa kauli za kujichanganya ambazo zinahitaji kutolewa ufafanuzi.

..wananchi wanahitaji huduma ya maji 24/7.

..hawahitaji maelezo marefu kuhusu kina cha maji ya mto Ruvu, sijui ng'ombe kunywa maji mengi etc etc
 
Kitu hatufahamu ni kwamba Rais awachukulii wakina Aweso kama Mawaziri wa kuksaidia kazi,yeye anawachukulia kama watoto wake na ndiyo maana sarakasi haziishi.Wewe uliona wapi Duniani kiongozi anatoa maagizo au anaaidi jambo alafu alitekelezwi na watekelezaji bado wapo ofisini wanakula shushu.
Only in Tanzania!
 
Back
Top Bottom