Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 301
Katika hali hii tunaelekea wapi? Inasikitisha sana Serikali kukaaa kimya. Kuwepo na kikomo cha ajira.
Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana ikiwa inapiga Soga ajira hata zile ndogo za Watanzania Wazungu wameshazivamia tunaelekea wapi..!!!!
Kwa picha zilizopo hapo chini wadau mnasemaje?
Ndio nimesema hata wake zetu mnaolalama mtakuja kuchukuliwa sio ajira tu......
Nawasilisha.
Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana ikiwa inapiga Soga ajira hata zile ndogo za Watanzania Wazungu wameshazivamia tunaelekea wapi..!!!!
Kwa picha zilizopo hapo chini wadau mnasemaje?
Ndio nimesema hata wake zetu mnaolalama mtakuja kuchukuliwa sio ajira tu......
Nawasilisha.