Uganda hapana.
Ni kenya ndugu zake MK254
Hii comment yako imebidi nicheke tu...
Tatizo watu wazima mmehusisha hayo mauno na mambo ya chumbani wakati mwenzenu anafundisha dance... shauri yenu!!!
Ninini ichoUnajua maana ya co-curricula?
Wapi umeambiwa kukatika ni tabia mbaya,Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mwalimu ambae anawafundisha wanafunzi kukatika. Matendo haya sio mazuri kwa malezi ya vizazi vyetu.
Wizara ya elimu mchukulieni Mwalimu huyu hatua stahiki.
Ninini icho
StakiNenda google....
Kama lawama labda ziende kwa utandawazi uliopo maana hakuna cha ajabu alichokifanya huyo mwalimu kisichoweza kufanywa na hao watoto wanaomshangilia,kilichowapa burudani ni mtu aliyefanya hicho kitendo ila kuhusu watoto wa kizazi hiki tukiri tu huyo jamaa hana maajabu mbele yao labda ukakasi uwe ni juu yake binafsi na mwenendo wake kimaadili....hivi hatuyashuhudii zaidi ya haya yakifanywa na hawa watoto tena mbele ya kadamnasi aghalabu katika mahafali na wazazi wakiwemo na hufurahia na kutunza pia....swali la kujiuliza hao watoto huutoa wapi uwezo huo mpaka kustaajabia jambo kama hili?Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mwalimu ambae anawafundisha wanafunzi kukatika. Matendo haya sio mazuri kwa malezi ya vizazi vyetu.
Wizara ya elimu mchukulieni Mwalimu huyu hatua stahiki.
Ndomana nasemaga HAYA MA BONGO FLEVA YAMEWAHARIBU WATOTO SAHV KILA MTOTO ANATAKA AWE MONDI, GIGY MONEY, HARMONISEmavideo yenu majumban
mnawaacha watoto wanaona hadi minyanduano.
na hao watt kwa uzembe wenu wazaz wengi wao washalalana tyr,
aidha hata kw kujifunza toka kwa wazaz wenyewe.
Mwl hajafany kosa lolote hapo.
swala la mziki lipo kwenye syllubus
na ni sehem ya somo.
tukumbuke mzik au kucheza kwa sasa ni burudan,
mazoez,
ajira.
ni pesa
mwl kucheza mziki namna hiyo
kaharibu nini kama sio mitazamo yenu mibovu tu.
binafsi nampongeza mwl kwa kujua kucheza vzr,
pia kuwapenda watoto na kuwa krb nao.
watoto watampenda mwl,
watapenda shule,
watafany vzr.
hayo mawazo mengine ya kingono bakini nayo wenyewe,
mwisho mnapenda sana kuwakosoa walimu
wkt mkiachiw kuwafundish watt
n mimba tu mtasambaza.
Ni mwalimu wa sanaa ila kwa kweli ilibidi nicheke, ile video imenichekesha sijapata ona, wanaume wanapungua kwa kasi sanaKuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mwalimu ambae anawafundisha wanafunzi kukatika. Matendo haya sio mazuri kwa malezi ya vizazi vyetu.
Wizara ya elimu mchukulieni Mwalimu huyu hatua stahiki.