Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,439
- 79,731
Sa huyo mwalimu anachezaje mziki jamani, na wewe unachezaga hivyo?mavideo yenu majumban
mnawaacha watoto wanaona hadi minyanduano.
na hao watt kwa uzembe wenu wazaz wengi wao washalalana tyr,
aidha hata kw kujifunza toka kwa wazaz wenyewe.
Mwl hajafany kosa lolote hapo.
swala la mziki lipo kwenye syllubus
na ni sehem ya somo.
tukumbuke mzik au kucheza kwa sasa ni burudan,
mazoez,
ajira.
ni pesa
mwl kucheza mziki namna hiyo
kaharibu nini kama sio mitazamo yenu mibovu tu.
binafsi nampongeza mwl kwa kujua kucheza vzr,
pia kuwapenda watoto na kuwa krb nao.
watoto watampenda mwl,
watapenda shule,
watafany vzr.
hayo mawazo mengine ya kingono bakini nayo wenyewe,
mwisho mnapenda sana kuwakosoa walimu
wkt mkiachiw kuwafundish watt
n mimba tu mtasambaza.