Wizara kuweka gharama za kulipia nguzo 1,2,3 = Tsh 27000/= linaleta kero kubwa, TANESCO hawana uwezo wa kufidia punguzo hilo

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
843
1,363
Wizara ya Nishati umeshindwa kutatua kero za kuunga umeme kwa wananchi na badala yake imezidisha ugumu wa kupata huduma ya umeme hasa kwa wateja Wanahitaji nguzo 1,2,3,4,5,6,7,8,9, Hadi kumi.

Wizara ilitoa sharti gumu kwa TANESCO inayojiendesha kihasara kupunguza gharama za umeme wa nguzo na kufanya zote ziwe 27,000/= yaani mtu atalipia nguzo moja 27000 badala ya 177000/= nguzo mbili atalipia 27000/= badala ya 385000 na hata mtu akitaka nguzo 10 atalipia 27000/=
Maelekezo hayo ni hatua nzuri kwa machoni kwa wengi lakini kiukweli watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.

Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.

TANESCO wanadai walilazimishwa na serikali kuwalipisha watu 27000, Ila wao hawakuridhia, hivyo kwao ni sawa wananchi kuendelea kukosa umeme. Naamini serikali itatatua shida hii na kuacha kuitwika tanesco mizigo na lawama
 
Unavyonunua umeme kwa LUKU ujue kuna asilimia ambayo unaichangia REA, na EWURA...unavyosema TANESCO hawana budget hueleweki, REA wanakusanya mabilioni kwa mwezi jumlisha na za wafadhili hiyo 27,000/= ni kiasi sahihi kabisa kwa mwananchi kulipa wewe mwananchi usiye na shukrani...jaribu kufanya uchunguzi kabla ya kuropoka
 
Wizara ya Nishati umeshindwa kutatua kero za kuunga umeme kwa wananchi na badala yake imezidisha ugumu wa kupata huduma ya umeme hasa kwa wateja Wanahitaji nguzo 1,2,3,4,5,6,7,8,9, Hadi kumi.

Wizara ilitoa sharti gumu kwa TANESCO inayojiendesha kihasara kupunguza gharama za umeme wa nguzo na kufanya zote ziwe 27,000/= yaani mtu atalipia nguzo moja 27000 badala ya 177000/= nguzo mbili atalipia 27000/= badala ya 385000 na hata mtu akitaka nguzo 10 atalipia 27000/=
Maelekezo hato ni hatua nzuri kwa machoni kwa wengi lakini kiukweli watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.
Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.

TANESCO wanadai walilazimishwa na serikali kuwalipisha watu 27000, Ila wao hawakuridhia, hivyo kwao ni sawa wananchi kuendelea kukosa umeme. Naamini serikali itatatua shida hii na kuacha kuitwika tanesco mizigo na lawama
Mkuu, unamaanisha nini? Kwamba Nguzo ni ghali au Tanesco hawana Pesa? Nguzo ni mali ya nani? ya Tanesco au ya Mteja? Badala ya kusema watu waendelee kubebeshwa gharama za kishenzi nafikiri ni wakati sasa Tanesco waachane na habari ya kusambaza umeme na uzalishaji wa nishati uwe soko huria. Tuache ukiritimba usiokuwa na maana wa la maslahi kwa TANESCO wala wananchi.


Nakushangaa sana na kwa kiasi nahisi una maslahi lakini huelewi misingi ya huduma ni kwamba mtoa huduma anapaswa kukuletea huduma na wewe uitumie.Nguzo ni mali ya TANESCO hivyo wanapaswa kutafuta namna ya kulipia hizo gharama bila kulazimisha watu wawalipe.

Mimi niliwahi kuwashauri TANESCO kwamba Badala ya kulimpisha mtu Nguzo wanamuuzia tu Umeme wenye thamni flani Kwa mfano TZS 300,000 ambao atatakiwa kuutumia ndani ya Mwaka Mmoja kisha wanamuunganishia Umeme kwa gharama zao.
 
Unavyonunua umeme kwa LUKU ujue kuna asilimia ambayo unaichangia REA, na EWURA...unavyosema TANESCO hawana budget hueleweki, REA wanakusanya mabilioni kwa mwezi jumlisha na za wafadhili hiyo 27,000/= ni kiasi sahihi kabisa kwa mwananchi kulipa wewe mwananchi usiye na shukrani...jaribu kufanya uchunguzi kabla ya kuropoka
Hawa ni watu ambao wakicheua wanameza ndo huwa hawaelei kwamba huduma ni huduma tu.
 
Wizara ya Nishati umeshindwa kutatua kero za kuunga umeme kwa wananchi na badala yake imezidisha ugumu wa kupata huduma ya umeme hasa kwa wateja Wanahitaji nguzo 1,2,3,4,5,6,7,8,9, Hadi kumi.

Wizara ilitoa sharti gumu kwa TANESCO inayojiendesha kihasara kupunguza gharama za umeme wa nguzo na kufanya zote ziwe 27,000/= yaani mtu atalipia nguzo moja 27000 badala ya 177000/= nguzo mbili atalipia 27000/= badala ya 385000 na hata mtu akitaka nguzo 10 atalipia 27000/=
Maelekezo hato ni hatua nzuri kwa machoni kwa wengi lakini kiukweli watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.
Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.

TANESCO wanadai walilazimishwa na serikali kuwalipisha watu 27000, Ila wao hawakuridhia, hivyo kwao ni sawa wananchi kuendelea kukosa umeme. Naamini serikali itatatua shida hii na kuacha kuitwika tanesco mizigo na lawama
Ndugu yangu umeme ilitakiwa ufungwe BUREEE kwa sababu unalipia kila mwezi unapotumia. Hapo TANESCO waache kukwepa majukumu yao. Hata hiyo 27,000 inatakiwa ifutwe tuu.
 
Wizara ya Nishati umeshindwa kutatua kero za kuunga umeme kwa wananchi na badala yake imezidisha ugumu wa kupata huduma ya umeme hasa kwa wateja Wanahitaji nguzo 1,2,3,4,5,6,7,8,9, Hadi kumi.

Wizara ilitoa sharti gumu kwa TANESCO inayojiendesha kihasara kupunguza gharama za umeme wa nguzo na kufanya zote ziwe 27,000/= yaani mtu atalipia nguzo moja 27000 badala ya 177000/= nguzo mbili atalipia 27000/= badala ya 385000 na hata mtu akitaka nguzo 10 atalipia 27000/=
Maelekezo hato ni hatua nzuri kwa machoni kwa wengi lakini kiukweli watu Wana zaidi ya mwaka mmoja hawajaungiwa umeme na wamelipia nguzo 27000. Kiuhalisia TANESCO hawana bajeti ya kulipia hizo nguzo, hivyo wananchi wengi kukosa umeme.
Ukitaka kulipia gharama halisi tanesco hawataki wanaogopa kufukuzwa kazi lakini hapo hapo mteja hapati huduma.

TANESCO wanadai walilazimishwa na serikali kuwalipisha watu 27000, Ila wao hawakuridhia, hivyo kwao ni sawa wananchi kuendelea kukosa umeme. Naamini serikali itatatua shida hii na kuacha kuitwika tanesco mizigo na lawama
Kweli hunw akili wewe. Unalipiaje nguzo wakati sio mali yako?

Na unakuja kutamba hapa unajiona mjuaji....
Ndio nyie kula kulala hamuwezi kujua mipaka ya majukumu kwenye huduma
 
Nguzo muwauzie wananchi, umeme muwauzie wananchi, umeme muukate mnapojiskia kukata

Tanesco inarudisha uchumi wa nchi nyuma sana, hili shirika ni mzigo mkubwa sana tunaopaswa kuutua Kama nchi ili tupige hatua kiuchumi.

Dunia ya leo huduma ya umeme haipaswi kuwa ya kuombaomba na kunyenyekea ni aibu na kituko!
Siku tukipata spika mwenye akili bungeni nadhani tutalifumua hili shirika
 
Kweli hunw akili wewe. Unalipiaje nguzo wakati sio mali yako?

Na unakuja kutamba hapa unajiona mjuaji....
Ndio nyie kula kulala hamuwezi kujua mipaka ya majukumu kwenye huduma
Hapo ni unalipia tu gharama ya kuingiziwa umeme na kama nguzo iko mbali gharama inaongezeka, na kama nguzo iko karibu na kwako
Utalilipia 320000

Ova
 
Back
Top Bottom