Wanabodi,
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kananuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!
Hakuna ubishi kuwa Mhe. Makinda kama spika, kuna wakati analiendesha bunge kidikteta ila udikteta wa Makinda unatokana na mazingira na hulka.
Mazingira ni kwa vile kaupata uspika kutokana na jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able lazima aonyeshe uwezo.
Kwa upande wa hulka yeye Mama Makinda ni emotional na hot tempered lady hivyo anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira kirahisi na kutoa maamuzi ya kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni dhaifu!.
Ila huyu Naibu Spika Mhe. Job Ndungai yeye ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana ila ndie dikteta mbaya zaidi kuliko Mama makinda kama alivyo simba mwenda kimya!.
Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.
Hoja imeombwa kwa kifungu no. 47 ambapo Dugai akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata blink ya jicho kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!. Kitendo tuu cha kuibuliwa na wageshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni kuungwa mkono tosha, alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi!.
Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha ni dharura!.
Mhe. Ndugai na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anasmile as if nothing happened, wakati kwa kawaida stab hufanywa on your back!.
Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Ndugai na Mama Makinda wasiabuse powers vested on them na kanuni!.
Nakumbushia kuhusu hayo nilobold hapo, yalitokea huko nyuma, nilalizungumza hili, yamekuwa yakijirudia rudia, na jana yametokea tena!.
Na kuhusu bunge letu, nimeisha wahi kuzungumza mengi!.
Kuna siku nilichambua kanuni humu baada ya Mhe. Speaker kukasirika na kuamuru hakuna cha muongozo wa spika wa cha nini, bunge linaendelea!. Nakauli mamlaka hayo ya kuzuia muongozo wa spika, huyu mama anayapata wapi?,
Sikujibiwa!.
Juzi mbunge ametoa hoja binafsi, kwa kanuni za bunge, serikari inatakiwa kujibu hoja, waziri anasimama anatoa hoja ya kuiwithraw hoja ya mbunge!, spika anaridhia!. Kwa mujibu wa kanuni, hoja ikishakubaliwa, mwenye mamlaka ya kuiondoa kabla haijajadiliwa ni mbunge mtoa hoja only!, no one else!.
Tangu mama Makinda anachaguliwa, nilikuwepo Dodoma!, nilipost hii kitu,
Bunge la 10: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start! . Press Conference yake ya kwanza nilihudhuria, na nilimuuliza kuhusu kupigiwa upatu wa nafasi hiyo na kumtajia waliompigia upatu huo, akawaruka!,
Spika Makinda Press Conference Live!.
Sio mara moja wa mbili, Mhe. Spika amejidhihirisha her ignorance on kanuni, kitendo cha kuzifuta hoja zote binafsi, ni uthibitisho wa udhaifu wake kuendesha bunge, hivyo kwa kifupi, Spika wa Bunge Mhe. Anne Semamba Makinda (MP), ameshindwa Kazi!.
When she was picked to top kutokana na "alichonacho", CCM thought that she was an "asset!", now she has proven beyond reasonable doubt that she is a not an asset anymore but she is a liability waiting for disposal!. Kama kawaida yao CCM watagangamala naye, this makes the 2015 job more easier!.
Paskali