Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/N.Spika!

Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/N.Spika!

Katika hili nakuunga mkono Pasco bunge kwa sasa linaendeshwa kitemi na udikteta unaoongozwa na Makinda na mwenzie Ndungai. Bunge letu limepoteza mwelekeo sio tena bunge la kumtetea mwananchi, inasikitisha kuona kwa sasa hatuna tena watetezi. Imenitia hasira sana

Mkuu Nitonye, kwa kinachotokea sasa bungeni nimekukumbuka!, nakushuhudia hiki tulichokiona mwaka mmoja uliotangulia!.
Pasco
 
Wanabodi,
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kananuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!

Hakuna ubishi kuwa Mhe. Makinda kama spika, kuna wakati analiendesha bunge kidikteta ila udikteta wa Makinda unatokana na mazingira na hulka.

Mazingira ni kwa vile kaupata uspika kutokana na jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able lazima aonyeshe uwezo.

Kwa upande wa hulka yeye Mama Makinda ni emotional na hot tempered lady hivyo anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira kirahisi na kutoa maamuzi ya kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni dhaifu!.

Ila huyu Naibu Spika Mhe. Job Ndungai yeye ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana ila ndie dikteta mbaya zaidi kuliko Mama makinda kama alivyo simba mwenda kimya!.

Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.

Hoja imeombwa kwa kifungu no. 47 ambapo Dugai akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata blink ya jicho kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!. Kitendo tuu cha kuibuliwa na wageshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni kuungwa mkono tosha, alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi!.

Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha ni dharura!.

Mhe. Ndugai na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anasmile as if nothing happened, wakati kwa kawaida stab hufanywa on your back!.

Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Ndugai na Mama Makinda wasiabuse powers vested on them na kanuni!.

Nakumbushia kuhusu hayo nilobold hapo, yalitokea huko nyuma, nilalizungumza hili, yamekuwa yakijirudia rudia, na jana yametokea tena!.

Na kuhusu bunge letu, nimeisha wahi kuzungumza mengi!.

Kuna siku nilichambua kanuni humu baada ya Mhe. Speaker kukasirika na kuamuru hakuna cha muongozo wa spika wa cha nini, bunge linaendelea!. Nakauli mamlaka hayo ya kuzuia muongozo wa spika, huyu mama anayapata wapi?,

Sikujibiwa!.

Juzi mbunge ametoa hoja binafsi, kwa kanuni za bunge, serikari inatakiwa kujibu hoja, waziri anasimama anatoa hoja ya kuiwithraw hoja ya mbunge!, spika anaridhia!. Kwa mujibu wa kanuni, hoja ikishakubaliwa, mwenye mamlaka ya kuiondoa kabla haijajadiliwa ni mbunge mtoa hoja only!, no one else!.

Tangu mama Makinda anachaguliwa, nilikuwepo Dodoma!, nilipost hii kitu, Bunge la 10: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start! . Press Conference yake ya kwanza nilihudhuria, na nilimuuliza kuhusu kupigiwa upatu wa nafasi hiyo na kumtajia waliompigia upatu huo, akawaruka!, Spika Makinda Press Conference Live!.

Sio mara moja wa mbili, Mhe. Spika amejidhihirisha her ignorance on kanuni, kitendo cha kuzifuta hoja zote binafsi, ni uthibitisho wa udhaifu wake kuendesha bunge, hivyo kwa kifupi, Spika wa Bunge Mhe. Anne Semamba Makinda (MP), ameshindwa Kazi!.

When she was picked to top kutokana na "alichonacho", CCM thought that she was an "asset!", now she has proven beyond reasonable doubt that she is a not an asset anymore but she is a liability waiting for disposal!. Kama kawaida yao CCM watagangamala naye, this makes the 2015 job more easier!.

Paskali
 
Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Ndugai na Mama Makinda wasiabuse powers vested on them na kanuni!.

Hapana. hicho hakiwezekani kabisa. tubadili kwanza bunge na mengine yote yatafuata.idadi kubwa ya bunge la mafisadi haliwezi kupitisha mabadiliko ya namna hiyo bila kuwabadili wao.
 
Wanabodi,
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kananuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!

Hakuna ubishi kuwa Mhe. Makinda kama spika, kuna wakati analiendesha bunge kidikteta ila udikteta wa Makinda unatokana na mazingira na hulka.

Mazingira ni kwa vile kaupata uspika kutokana na jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able lazima aonyeshe uwezo.

Kwa upande wa hulka yeye Mama Makinda ni emotional na hot tempered lady hivyo anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira kirahisi na kutoa maamuzi ya kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni dhaifu!.

Ila huyu Naibu Spika Mhe. Job Ndungai yeye ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana ila ndie dikteta mbaya zaidi kuliko Mama makinda kama alivyo simba mwenda kimya!.

Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.

Hoja imeombwa kwa kifungu no. 47 ambapo Dugai akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata blink ya jicho kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!. Kitendo tuu cha kuibuliwa na wageshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni kuungwa mkono tosha, alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi!.

Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha ni dharura!.

Mhe. Ndugai na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anasmile as if nothing happened, wakati kwa kawaida stab hufanywa on your back!.

Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Ndugai na Mama Makinda wasiabuse powers vested on them na kanuni!.

Kwa yanayotekea bungeni sasa, yananifanya nimkumbuke sana Spika Sitta, kulikuwa hakuna ujinga ujinga kama huu tunaoushudia sasa.

Paskali
Ni kumbukizi tuu ya kukumbuka Samweli Sitta.
RIP SS.
Paskali
 
Wanabodi,
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kananuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!

Hakuna ubishi kuwa Mhe. Makinda kama spika, kuna wakati analiendesha bunge kidikteta ila udikteta wa Makinda unatokana na mazingira na hulka.

Mazingira ni kwa vile kaupata uspika kutokana na jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able lazima aonyeshe uwezo.

Kwa upande wa hulka yeye Mama Makinda ni emotional na hot tempered lady hivyo anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira kirahisi na kutoa maamuzi ya kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni dhaifu!.

Ila huyu Naibu Spika Mhe. Job Ndungai yeye ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana ila ndie dikteta mbaya zaidi kuliko Mama makinda kama alivyo simba mwenda kimya!.

Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.

Hoja imeombwa kwa kifungu no. 47 ambapo Dugai akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata blink ya jicho kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!. Kitendo tuu cha kuibuliwa na wageshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni kuungwa mkono tosha, alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi!.

Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha ni dharura!.

Mhe. Ndugai na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anasmile as if nothing happened, wakati kwa kawaida stab hufanywa on your back!.

Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Ndugai na Mama Makinda wasiabuse powers vested on them na kanuni!.

Kwa yanayotekea bungeni sasa, yananifanya nimkumbuke sana Spika Sitta, kulikuwa hakuna ujinga ujinga kama huu tunaoushudia sasa.

Paskali
Baada ya kuiangalia clip hii, nafanya tuu rejea niliwahi kusema nini juu ya mtu huyu.

Paskali
 
Wanabodi,
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kananuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!

Hakuna ubishi kuwa Mhe. Makinda kama spika, kuna wakati analiendesha bunge kidikteta ila udikteta wa Makinda unatokana na mazingira na hulka.

Mazingira ni kwa vile kaupata uspika kutokana na jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able lazima aonyeshe uwezo.

Kwa upande wa hulka yeye Mama Makinda ni emotional na hot tempered lady hivyo anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira kirahisi na kutoa maamuzi ya kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni dhaifu!, ila baada tuu ya muda mfupi, hasira hizo za Kihehe hupoa na mkikutana nje mtacheka!.

Ila huyu Naibu Spika Mhe. Job Ndungai yeye japo ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana kwa nje, ila ndie dikteta mbaya na hatari zaidi kuliko hata Mama Makinda, Ndugai ni ile type ya watu kama alivyo simba mwenda kimya!.

Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.

Hoja imeombwa kwa mujibu wa kifungu no. 47 ambapo Ndugai akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata kupepesa macho wala ku blink jicho kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!.

Kitendo tuu cha madaktari kugoma ni very serious kwa sababu kazi yao inaambatana na kiapo cha kulinda uhai wa binadamu!. Kitendo tuu cha hoja hii kuibuliwa na waheshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni uthibitisho tosho kuwa hoja hiyo imeungwa mkono tosha, sasa huyu Ndungai alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi!. Takwa la kanuni ni hoja kuungwa mkono na angalau wabunge wawili. Hakuuliza hata kama kuna wengine wanaounga ukono yeye ni kuizima tuu juu kwa juu!. Watu kama hawa wanafikiri kwa kuzima hoja za msingi ndio kuwakomoa wapinzani, bila kujijua hawamsaidii rais wa JMT.

Kitendo cha Bunge kukataa kuujadili mgomo wa madaktari kutapelekea watu kupoteza maisha, waziri wa afya kupoteza kibarua chake na mwisho kitamlazimisha rais wa nchi kuja kuwapigia magoti madaktari hawa kuwaomba wasitishe mgomo warejee kazini.

Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha hili jambo ni dharura?!.

Mhe. Ndugai na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anakuangalia akismile as if nothing has happened!, wakati kwa kawaida stab hufanywa on your back kwa backstabbing!.

Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Ndugai na Mama Makinda wasiabuse powers vested on them na kanuni haswa katika kutoa ufafanuzi jambo la dharura la kujadiliwa na bunge ni lipi?!. Kama mgomo kama huu, peoples life at stake, sio dharura, jee mpaka kutokee nini ndipo lionekane ni jambo la dharura?, ua kusubiri kwanza watu wafer?!.

Kwa yanayotekea bungeni sasa, yananifanya nimkumbuke sana Spika Sitta, kulikuwa hakuna ujinga ujinga kama huu tunaoushuhudia ukiendelea sasa kwenye bunge letu!.

Paskali
Japo hoja ya msingi ni ya zamani, lakini kwa vile kanuni hazijabadilishwa, haya yanayotokea sasa bungeni ni muendelezo tuu.

News Alert: - Bungeni: Mbunge wa Kibamba, John Mnyika akwaa adhabu kwa utovu wa nidhamu

Kama Wabunge wetu hawatabadili kanuni, siku zote wataendelea kunyanyaswa haswa kwa kuzingatia Spika na Naibu ni makada wa chama!.

Paskali
 
Bila Wabunge kubadili kanuni, wataendelea kunyanyaswa!.

This goes down the history books, mkosaji ni mwingine, wanaohukumiwa ni wengine na hao wanaohukumiwa, wanaoteswa na adhabu hiyo ni wengine kabisa innocent victims!.

Wananchi wa Kawe, Kibamba na Bunda wamekosa nini hadi kukosa uwakikilishi?.

It's high time bunge letu tuachane na adhabu barbaric za kuwaumiza wananchi wasio na kosa. Adhabu ya kufungiwa mwaka mzima ni kwa mujibu wa kanuni gani?.

Kama ni kweli nobody is above the law, pamoja na kuwepo kwa the separation of powers, kama serikali inaweza kushitakiwa, why not Bunge?!.

Paskali
 
Wanabodi,
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kananuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!

Hakuna ubishi kuwa Mhe. Makinda kama spika, kuna wakati analiendesha bunge kidikteta ila udikteta wa Makinda unatokana na mazingira na hulka.

Mazingira ni kwa vile kaupata uspika kutokana na jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able lazima aonyeshe uwezo.

Kwa upande wa hulka yeye Mama Makinda ni emotional na hot tempered lady hivyo anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira kirahisi na kutoa maamuzi ya kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni dhaifu!, ila baada tuu ya muda mfupi, hasira hizo za Kihehe hupoa na mkikutana nje mtacheka!.

Ila huyu Naibu Spika Mhe. Job Ndungai yeye japo ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana kwa nje, ila ndie dikteta mbaya na hatari zaidi kuliko hata Mama Makinda, Ndugai ni ile type ya watu kama alivyo simba mwenda kimya!.

Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.

Hoja imeombwa kwa mujibu wa kifungu no. 47 ambapo Ndugai akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata kupepesa macho wala ku blink jicho kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!.

Kitendo tuu cha madaktari kugoma ni very serious kwa sababu kazi yao inaambatana na kiapo cha kulinda uhai wa binadamu!. Kitendo tuu cha hoja hii kuibuliwa na waheshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni uthibitisho tosho kuwa hoja hiyo imeungwa mkono tosha, sasa huyu Ndungai alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi!. Takwa la kanuni ni hoja kuungwa mkono na angalau wabunge wawili. Hakuuliza hata kama kuna wengine wanaounga ukono yeye ni kuizima tuu juu kwa juu!. Watu kama hawa wanafikiri kwa kuzima hoja za msingi ndio kuwakomoa wapinzani, bila kujijua hawamsaidii rais wa JMT.

Kitendo cha Bunge kukataa kuujadili mgomo wa madaktari kutapelekea watu kupoteza maisha, waziri wa afya kupoteza kibarua chake na mwisho kitamlazimisha rais wa nchi kuja kuwapigia magoti madaktari hawa kuwaomba wasitishe mgomo warejee kazini.

Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha hili jambo ni dharura?!.

Mhe. Ndugai na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anakuangalia akismile as if nothing has happened!, wakati kwa kawaida stab hufanywa on your back kwa backstabbing!.

Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Ndugai na Mama Makinda wasiabuse powers vested on them na kanuni haswa katika kutoa ufafanuzi jambo la dharura la kujadiliwa na bunge ni lipi?!. Kama mgomo kama huu, peoples life at stake, sio dharura, jee mpaka kutokee nini ndipo lionekane ni jambo la dharura?, ua kusubiri kwanza watu wafer?!.

Kwa yanayotekea bungeni sasa, yananifanya nimkumbuke sana Spika Sitta, kulikuwa hakuna ujinga ujinga kama huu tunaoushuhudia ukiendelea sasa kwenye bunge letu!.

Paskali
Paskali, ccm ni wengi, itakuwa ngumu!
 
344738bb3384c1bfed906b72ab65ca37.jpg

Upinzani wamefungua shauri Mahakama Kuu Dodoma wakiiomba mahakama itamke kuwa Spika ataliongoza Bunge kwa kufuata kanuni za kudumu tu.

Hii ni baada ya Spika kumzuia John Mnyika kuhudhuria bunge kwa wiki moja ambapo upinzani wamedai hakuna adhabu kama hiyo kwenye kanuni.

Wabunge Watatu Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo Chadema Wamemfungua Mashitaka Mahakama Kuu Ya Dodoma Kupinga Uamuzi Wa Bunge Kuwapa Adhabu Halima Mdee, Estar Bulaya Na John Mnyika

Mdee, Mnyika Na Bulaya Wawashitaki Spika Na Mwanasheria Mkuu

Hakuna kanuni inayosema Spika anao owezo wa kumfungia Mbunge siku saba. Haipo, bali anaingiza kanuni zake mwenyewe kutoka kichwani mwake.

Angalau sasa wanaanza kufanya kitu!, wapinzani wa nchi hii, maneno mengi vitendo vichache, tunataka actions na sio maneno

P.
 
Paskali hali inazidi kuwa mbaya maana wanachofanya sasa ni kujaribu kumfurahisha dikteta ili wasishughulikiwe.
 
Ukifika Dodoma inabidi usimamie unachokiamini na ukitetee, ukiyumba tu na kuwa muogamuoga i promise you wafaa!. Cowards die many times before their actual death but the valiant only once
 
Duuh, nimekukubali sana pascal......ka umejitoa muhanga vilee.......
Ila lazma yakupate ndugu jiandae
 
At least tunaanza kuona Witch Hunting inafanyika kwa hii article ya 2012.
Hongera Pasco kwa kuonyesha ukomavu wako kwenye hii fani ya freelance journalism.
 
Back
Top Bottom