Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

apolycaripto

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
644
225
Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

peeeeeeopleeeees Power!
 
Kufa kwa ajili ya mbowe na slaa hapana!

.
Nipo tayari kupigania demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli, uchumi bora, elimu nzuri, maisha bora kwa kila mTZ, lakini nife ili mboe achukue milioni tisini HAPANA!
 
Mjomba,

Nakupongeza kwa wazo lako!

Kama unamaanisha unachoandika, hili ni wazo la msingi kabisa!

Kukaa nyuma ya keyboard tu na kuandika sentenso, productivity yake ni minimal.
Kwa wale ambao watakuwa radhi kukusanyika, napendekeza yafuatayo YAFANYWE NA MLETA MADA!

i. Weka hadharani agendA ZA KUSANYIKO lenu, maana wengine tunavutwa zaidi na agenda.

ii. Anonimity iwe utilized at maximum...i mean Aidha watu watumie majina ya nyumbani, au waachane na
agenda ya utambulisho kabisa.

iii. Agenda ziwe result-Oriented, na si hadithi za kufurahishana...Kuna mambo mengi sana ambayo yapo kwenye uwezo wa wanaJF, yanayoweza kufanyiwa maamuzi ya bila kuvuta muda.

iv. Kama tunaweza kukutana kwaajili ya starehe na kupongezana kwa wikiendi, kwanini tusiweze kukutana kwaajili ya yale tunayohubiri kila siku hapa majukwaani.


Naunga mkono hoja!
 
Kufa kwa ajili ya mbowe na slaa hapana!

.

Nipo tayari kupigania demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli, uchumi bora, elimu nzuri, maisha bora kwa kila mTZ, lakini nife ili mboe achukue milioni tisini HAPANA
!
.
Utopian politician...Ni bora kuwa maiti kuliko kuwa na mawazo ya jinsi hii!...Bora kuwa mfu!
 
nadhani wote tunapenda taifa letu zaidi ya vyama vya siasa na wana jf si wapenzi wa vyama zaidi ya taifa nadhani mboe. dr slaa na jk watapita lakini taifa litabaki kwa hiyo basi nadhani si vema watu wa jf wasikutane wakiwa na majibu ya kile wanachotaka kujadili cha msingi ni watu wataodhani wanaweza kukutana wakutane na kuzungumza juu ya mwenendo wa taifa na nini cha kufanya ili kuliwezesha taifa kuneemeka kutokana na rasilimali zake.
napenda kueleza ya kuwa isifike wakati mawazo ya wanajf yakawa yanafanana kwani kutapoteza radha ya forum yenyewe kwani wengi tulio humu tunakuwepo kwa sababu ya kupata mawazo tofauti na si hitikadi za watu fulani
 
Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

peeeeeeopleeeees Power!

You're Jf Seniour member with inducement from accross those two ways. Kuna watu wanavuta bangi pale!
 
Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

peeeeeeopleeeees Power!
Hapo kwenye red naamini ulitaka kuandika aidha saa 3.30 za asubuhi, au saa9.30 za alasiri, lakini kwa hivyo ilivyo sasa haiko clear!..Weka sawa hilio....Uzungu huu unatuathiri, au msisitizo!
 
.
Utopian politician...Ni bora kuwa maiti kuliko kuwa na mawazo ya jinsi hii!...Bora kuwa mfu!

Mkuu PJ Heshima mbele,

Binafsi namuunga mkono Ndugu Uswe kutokana na ukweli kuwa mwanzisha mada amekusudia zaidi hili suala kuwa kichama. Tukumbuke kwamba hapa JF kuna members ambao siyo wana-CHADEMA lakini wanaunga mkono harakati za CHADEMA kutokana na ukweli kuwa zinagusa maslahi ya watanzania wote. Hivyo badala ya kumshambulia Ndugu hapo juu, tungeangalia namna ya kulitengeneza hili wazo ili lisiegemee chama chochote. Na kwa kuanza mwanzisha mada afute kauli yake ya Kufa kwa ajili ya Mbowe na Dr. Slaa badala yake iwe ni kwa ajili ya watazania wote wanaoteseka na mfumo mbovu wa Uongozi.

Naomba kuwasilisha.
 
Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

peeeeeeopleeeees Power!
Leo umekuwa mpenzi wa Chadema na kupongeza maandamano ya CDM you must be joking, endelea na mipango yako ila humpati mtu kwa njia hiyo, changanya na zako.
 
Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,..........

tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

peeeeeeopleeeees Power!
Sikiliza bwana mdogo,nguvu ya umma huwa haiamshwi na wanasiasa kama wanavyofanya Slaa na kundi lake.Umma unapozidiwa usimama wenyewe na wanasiasa wakatokeza baadae.Hii ya CDM si nguvu ya umma ni Chama cha siasa katika uzushi ili kupata member wa kudhani watakifikisha ikulu baada ya ballot box kushindikana.Huu ni uchochezi na hakuna nguvu ya umma hapa dogo.
Wewe ndiyo upo tayari kufa kwa ajili ya Slaa usifikiri unaandikia watoto wadogo, siku nyingine waza kwanza kabla ya kufikiri.
 
Kufa kwa ajili ya mbowe na slaa hapana!

.
Nipo tayari kupigania demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli, uchumi bora, elimu nzuri, maisha bora kwa kila mTZ, lakini nife ili mboe achukue milioni tisini HAPANA!
Acha kuwa mwoga wa kivuli chako, ni maisha bora gani unayoyapigania kwenye meli yenu ya CCM ambayo nahodha wake ni mafisadi?
 
Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

peeeeeeopleeeees Power!

Naomba uniuzie hii komedi. Nikiifanyia editing kidogo tu inalipa.
 
duh mkutano huo utakuwa wa ukwe-e. Ila itapendeza kama moja ya ajenda itakuwa juu ya kupunguza mapato(mavuno) ya wabuge wetu. Million 12 kwa mwezi sawa na Tsh laki nne kwa siku. Juzi kati wamepewa million 90 mkopo ambazo ukigawa kwa mwaka ni million 18, anafanya kazi gani itakayomuwezesha kurudisha mkp huo ndani ya miaka 5?. Akiacha ubunge analipwa kiinua mgng million 60. Ha ha ha ha mbowe unawapenda wtz kweli mbona hujakataa hela hiyo kaka?? Ongeza ya kwako,....
 
Back
Top Bottom