apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.
peeeeeeopleeeees Power!
wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.
peeeeeeopleeeees Power!