Honestly Pasco I like your style and you are such a charmer!
Kwa kweli hutabiri bali unabashiri kitu ambacho ni wazi ya kuwa Mh ataenda kumwona. He is a people's person. No matter
what lazima aende kumjulia hali. Watanzania wote wanapenda kumjulia hali na wanampa POLE.
Ila nakubaliana na wewe kwamba many great thinkers must have wisdom. Hii issue ni sensitive sana hivyo busara inatakiwa when discussing.
Dr ULI Mwenyezi Mungu atakuafu, Amina.
Kwa kweli hutabiri bali unabashiri kitu ambacho ni wazi ya kuwa Mh ataenda kumwona. He is a people's person. No matter
what lazima aende kumjulia hali. Watanzania wote wanapenda kumjulia hali na wanampa POLE.
Ila nakubaliana na wewe kwamba many great thinkers must have wisdom. Hii issue ni sensitive sana hivyo busara inatakiwa when discussing.
Dr ULI Mwenyezi Mungu atakuafu, Amina.