Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,601
Wanabodi
Kwanza tuungane wote kumpa pole Dr. Stephen Ulimboka na kulaani kitendo kile.
Mimi ndiye nilyeanzisha ule uzi wa "mazuri ya JK", na miongoni mwa mazuri ya rais wetu, ni "mtu wa watu", hujitoa na kushiriki katika matukio mbalimbali ya shida na raha za raia wake, ikiwemo kujitoa sana kushiriki misiba na kuwafariji wagonjwa mbalimbali kwa kuwatembelea mahospitalini, hivyo japo mimi sina nasaba yoyote na Sheikh Yahya Hussein (RIP), lakini natabiri rais JK kutinga Moi, kumpa pole Dr. Stephen Ulimboka kwa maswahibu yaliyomfika!, hivyo natoa wito kwa sisi wana jf, katika umoja wetu, au mtu mmoja mmoja mmoja, kuungana na Watanzania katika kumfariji Dr. Stephen Ulimboka.
Japo mimi siungi mkono mgomo wa madaktari, lakini nalaani vikali kitendo alichofanyiwa Dr. Stephen Ulimboka!.
Kupigwa kwa Dr. Ulimboka, kumepelekea kutengenezwa kwa "conspiracy theories" mbalimbali kuhusu tukio hilo, na wengi ambao sio deep thinkers, wamesha reach conclusion kuwa hiyo ni "inside job" na imefanywa na vijana wa 'sehemu' wajulikanao kama "the oparatives" ndani ya 'sehemu'!, hivyo ni muhimu sana rais JK kama Amiri Jeshi Mkuu, kwenda kumfariji Dr. Ulimboka, with "genuine heart felt feelings za pole" katika move ya kuuthibitishia umma kuwa uvamizi ule is not "inside" job, bali umefanywa na wahalifu, kama uvamizi mwingine wowote!.
Nawaombeni wana jf wenzangu, "please don't assume or insinuate any rush conclusions", tuwe wavumilivu na wastahimilivu kusubiri majibu ya ukweli ambayo its only "time will tell"!.
Kilichomtokea Dr. Ulimboka sio kitu kigeni, na sio mara ya kwanza kutokea kama alivyodai kamanda Kova, bali Dr. Ulimboka is such lucky guy who will "live to tell"!, wenzake kama kina Bazigiza, wale wafanya biashara wa madini, Wakili fulani, Prof. Jwani Mwaikusa na wengine wengi, they were not so lucky!.
Huu pia ndio wakati muafaka wa kujadili, hawa "oparatives" what are they capable of and what they are not, ili tupate "clear conscious" what is "inside job" and what is "isolated events"!.
Lets, wish Dr. Stephen Ulimboka, a speedy recovery!
God Bless him!.
Get well Soon!.
Pasco.
Kwanza tuungane wote kumpa pole Dr. Stephen Ulimboka na kulaani kitendo kile.
Mimi ndiye nilyeanzisha ule uzi wa "mazuri ya JK", na miongoni mwa mazuri ya rais wetu, ni "mtu wa watu", hujitoa na kushiriki katika matukio mbalimbali ya shida na raha za raia wake, ikiwemo kujitoa sana kushiriki misiba na kuwafariji wagonjwa mbalimbali kwa kuwatembelea mahospitalini, hivyo japo mimi sina nasaba yoyote na Sheikh Yahya Hussein (RIP), lakini natabiri rais JK kutinga Moi, kumpa pole Dr. Stephen Ulimboka kwa maswahibu yaliyomfika!, hivyo natoa wito kwa sisi wana jf, katika umoja wetu, au mtu mmoja mmoja mmoja, kuungana na Watanzania katika kumfariji Dr. Stephen Ulimboka.
Japo mimi siungi mkono mgomo wa madaktari, lakini nalaani vikali kitendo alichofanyiwa Dr. Stephen Ulimboka!.
Kupigwa kwa Dr. Ulimboka, kumepelekea kutengenezwa kwa "conspiracy theories" mbalimbali kuhusu tukio hilo, na wengi ambao sio deep thinkers, wamesha reach conclusion kuwa hiyo ni "inside job" na imefanywa na vijana wa 'sehemu' wajulikanao kama "the oparatives" ndani ya 'sehemu'!, hivyo ni muhimu sana rais JK kama Amiri Jeshi Mkuu, kwenda kumfariji Dr. Ulimboka, with "genuine heart felt feelings za pole" katika move ya kuuthibitishia umma kuwa uvamizi ule is not "inside" job, bali umefanywa na wahalifu, kama uvamizi mwingine wowote!.
Nawaombeni wana jf wenzangu, "please don't assume or insinuate any rush conclusions", tuwe wavumilivu na wastahimilivu kusubiri majibu ya ukweli ambayo its only "time will tell"!.
Kilichomtokea Dr. Ulimboka sio kitu kigeni, na sio mara ya kwanza kutokea kama alivyodai kamanda Kova, bali Dr. Ulimboka is such lucky guy who will "live to tell"!, wenzake kama kina Bazigiza, wale wafanya biashara wa madini, Wakili fulani, Prof. Jwani Mwaikusa na wengine wengi, they were not so lucky!.
Huu pia ndio wakati muafaka wa kujadili, hawa "oparatives" what are they capable of and what they are not, ili tupate "clear conscious" what is "inside job" and what is "isolated events"!.
Lets, wish Dr. Stephen Ulimboka, a speedy recovery!
God Bless him!.
Get well Soon!.
Pasco.