Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,244
sikio la kufa
...halivai hereni.
sikio la kufa
Mamndenyi niko chimbo nakula mema ya nchi naomba Theboss aendelee na ikiwezekana mwongezef nguvu afanye kazi.
mpe 0784 ... Usiku mwemahv,nikupe nini ili uniachie ndoa yangu.
Patachimbika
hv,nikupe nini ili uniachie ndoa yangu.
We na mmeo acheni ubahili,nasikia mnalumanga ugali kwa picha ya samaki,boo!
napinga kamati ya Baba V iweje Bishanga ni mdaiwa wa talaka halafu tena awe mdhamini.corrupted
Nimekusoma charminglady , sikutaka kukuhusisha kwa wasutaji sababu ya hicho kitumbo mama
Kosa la marehemu?Mambo si ndio hayo sasa.
Twen'zetu The secretary tukajiopolee viserengeti boy vibichii,
tuachane na hii mizee ya humu,
kwanza spring zao za viuno zimekatika.
Nye.ge mbaya.........Nashanga na shanga zangu.
Raha yao hata gengeni wanaenda,sio mijanaume ya humu,hata kufua haifui.
Watupishe,hatujaolewa na TV sisi,kwetu mwenyewe nimviacha hvo Tv,kitanda,laptop,sofa,gari.
Nimeolewa na wewe hapo.
Sijaolewa na hvo vitu.
Tia kiuno grisi.
We na mmeo acheni ubahili,nasikia mnalumanga ugali kwa picha ya samaki,boo!
kwenda kwaBaba V
kutoka kwa Chimbuvu & Madame B
tarehe:27/11/2012
tunashukuru na tunafurahi kusikia mpango wako kutupeleka katika kamati for screening na kwa maamuzi zaidi.
tunakiri tupo katika mahusiano na tayari watu wanalifahamu hilo,kwa kweli tunaheshimu kiti ama nafasi uliyokalia na tunatumaini hekima itatawala katika maamuzi yako.
kuna maswali tunaomba tujibiwe mimi na mwandani wangu Madame B ,lakini kabla sijakujibu naomba rejea kauli yako kutoka katika thread iliyopita ya kutengua uhusiano wangu na Madame B rejea barua tuliyokuandikia na jibu lako lilikuwa hili,(Kwanza kabisa mnatakiwa kuwasilisha nia yenu kwa kamati ya SCREENING ambayo iko chini ya Mamndenyi akishirikiana na The Boss na Ruhazwe JR , hatua zingine zitafuata kutokana na matokeo na ripoti ya kamati ya SCREENING.Kila la heri katika kutekeleza hilo).
maswali yetu yanakuja 1.je ni kosa la kisheria kuwa katika mahusiano? 2.suala la wapenzi kujitambulisha ni suala la kamati ama ni hao wapenzi watakapoamua?kama ni kamati je nyie ni madalali wa mahusiano?kama sio kwa nini muwapelekeshe wapenzi kujitambulisha hamuoni mnachukua nafasi ya maamuzi yetu?
wapenzi daima
Chimbuvu & @ Madame B
tunaomba utujibu hayo maswal kwanza kabla hatujaendelea na maswali zaidi?
https://www.jamiiforums.com/jf-chit...ti-ya-madame-b-na-chimbuvu-3.html#post5098255
https://www.jamiiforums.com/member.php?u=34132https://www.jamiiforums.com/member.php?u=93459https://www.jamiiforums.com/member.php?u=80055https://www.jamiiforums.com/member.php?u=71917https://www.jamiiforums.com/member.php?u=29658https://www.jamiiforums.com/member.php?u=75985https://www.jamiiforums.com/member.php?u=83729https://www.jamiiforums.com/member.php?u=80055https://www.jamiiforums.com/member.php?u=12177https://www.jamiiforums.com/member.php?u=93459
Hakyamungu the Sekretary una hoja! Nafasi ya Bishanga apewe LiverpoolFC, Katavi hata Blaki Womani kwa gender..