mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,212
- 6,409
Hatuchagui chama cha ;
1. Kutubagua kikabila na kikanda
2. Kukandamizia uhuru, haki na demokrasia
3. Kubambikia kesi wakosoaji, kuwateka, kuwatesa na kuwauwa
4. Kutoboresha maslahi ya watumishi wa umma
5. Kutolipa hela za korosho
6. Kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa vijijini kwao
Watanzania sio wajinga wanaelewa
1. Kutubagua kikabila na kikanda
2. Kukandamizia uhuru, haki na demokrasia
3. Kubambikia kesi wakosoaji, kuwateka, kuwatesa na kuwauwa
4. Kutoboresha maslahi ya watumishi wa umma
5. Kutolipa hela za korosho
6. Kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa vijijini kwao
Watanzania sio wajinga wanaelewa