asilimia 90 we ni mchagga na asilimia 10 we ni muiraq na asilimia 100 ww ni mkaskazini
mimi ni chotara wa mkwama na m,'kwere!asilimia 90 we ni mchagga na asilimia 10 we ni muiraq na asilimia 100 ww ni mkaskazini
Umenena kweli kaka bt huwa unapoteaga sanaUnaanzisha wewe uzi, unajijibu mwenyewe zaidi ya post nne kisha unaendeleaaaa,
Haya, Mwigamba hajafukuzwa bali kasimamishwa tu kwaajili ya hatua za kinidhamu
MTOTO KITAA
===>Mimi hapa ndio panaponishangaza,tangu jana suala hili la Mwigamba lilipoibuka watu wengi waliomba kuwa hata kama atafukuzwa je hoja alizotoa pia ni za uongo?
===>Suala la kutofanyika kwa uchaguzi pia ni la uongo?kwa kweli hata sisi mashabiki wa CDM tunaanza kushikwa na ka uoga kuhusiana na hali ya mambo ndani ya CDM,
===>Pamoja na yote haya naanza kuhisi kuwa CDM hasa viongozi hawasikilizi maoni ya wanachama wenzao,na pia inawezekana kabisa ukiongea kitu ambacho hakimfurahishi Mbowe au Dk Slaa basi wewe ni adui na ni muasi wa chama,kwa sababu kwa maelezo aliyotoa Tumaini Makene jana kuwa Mwigamba alikisifia chama kwa kutekeleza ahadi za chama vizuri,na muda huo huo akaposti tamko lililosababisha akaondolewa hii inaonekana kuwa ukisema kitu tofauti na kile ambacho viongozi hawakifurahii basi unaondolewa madarakani
===>Taratiibu naanza kumuna Zitto kama kiongozi makini na mvumilivu sana ndani ya CDM,
===>Mbowe na Dk Slaa tunaamini mnahusika kwa namna moja ama nyingine kwenye mgogoro hasa kwa nyie kuendelea kukaa madarakani bila kufuata taratibu na sheria za chama,mkijifanya mnajua na kuanza kufukuza watu ambao wanahoji yale ambayo mmekuwa mnayakosea basi mkae mkijua CDM itawafia mikononi mwenu,si lazima kwa Mbowe au Dk Slaa kugombea urais mwaka 2015,au kuendelea kukaa madarakani maisha,waacheni wana CDM waamue wenyewe,kama wana CDM wanataka nyie muwe wagombea hilo halina ubishi mtakuwa tu,lakini taratibu zifuatwe ili kukinusuru chama.
===> Kitila Mkumbo,Prof Safari na wengineo wasaidieni hawa viongozi wa CDM na huu ndio wakati wa kuwa pamoja kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2014,kama msiporekebisha haya itakula kwenu mapema sana.
Chd sio chama kinachokumbatia mafisadi au uovu ukikosa utaadhibiwa bila kujali ww ni Chenge, Lowassa, Ngeleja au Rostam ndio tofauti na chama cha majambazi. Mtasema sana lakini Mbowe na Slaa ni kiboko yenu. Ilo mnalijua kwani ndio mana maneno mengi na mmejaribu sana kuwahonga lakini hakuna kitu. Mbona hamzungumzii cuf, nccr, tlp tatizo lenu mkikamatwa mnataka kuwachagulia watu viongozi katika vyama vyao. Kwani wanachama wa cdm wamelalamika. Mnapandikiza mamluki mkitegemea kuivuruga cdm, ndio mana mlisema cdm haifiki 2014 mkiwategemea watu kama hao. Yeye ni mwenyekiti tena wa kanda alishindwa nn kuwakilisha mawazo yake kwenye vikao vya chama. Hapa ndio mjue cdm wako juu hakuna alie juu ya sheria. Mtabaki kusema oh Mbowe na Sla ni viongozi wa kudumu na ss wanacdm tunasema watakuwa wa kudumu mpaka Tanganyika ipate uhuru. Hata marehemu baba wa taifa alikaa miaka kibao kabla hajamwachia Mwinyi. Mbona hamsemi unajianya kumbukumbu huna.
Unapojadili hakikisha unabaki kwenye hoja.. Hoja ni kwa nini kipengele cha ukomo wa madaraka kwenye uongozi wa juu kimeondolewa katika katiba???
Hoja hii inahitaji majibu kutoka kwa viongozi wa juu.
PakavuNatelezaKwanini wafuasi wa CCM na anti CHADEMA wote wanataka uongozi wa CDM ubadilike?Wenye akili zetu tunajua kwamba huu ndio Uongozi utakaoipeleka CDM ikulu na kutuondoa kwenye utawala wa mkoloni mweusi CCM
Huyu Mamluki anayejiita Maskini Mkulima amenaswa leo mtasikia habari zake kesho, Watu wanahatarisha maisha yao kwa kutaka kuleta mabadiliko halafu wahuni wachache wanasaliti dhamira njema.. Tutapambana hadi tone la damu la mwisho.
PakavuNateleza
===>Hili kila mtu naliombea,hakuna mtu anaetaka kuona CCM inaendelea kutawala lakini tatizo hapa linaloonekana ni kutokufuatwa kwa taratibu za kichama,kwa nini chaguzi zilizopangwa hazifanyiki?
m.maranya kumbe watatawala milele kwa sababu wameitoa mbali hakuna tofaut ya sharifu na slaa mrema na mbowe.au cheyo na mbowe kumbe chadema sio mbadala tena kama hoja ni kuitoa mbali basi nyerere angekufa akiwa rais au mtei angebaki kuwa mwenyekiti.
Mkuu Maskini Mkulima, nyinyi Chadema, hamtaki kabisa kuambiwa ukweli!, pole kwa yaliyokukuta kwa kuusema ukweli huu!. Kwenye hili, mimi niko upande wako ingawa kwenye lile la kina Shonza, japo ulijua sheria, taratibu na kanuni hazikufuatwa na ni wewe ndiye aliyeposti hii postiKufuatia malumbano yanayoendelea kwenye vyombo vya habari namadhaifu mengi ambayo tumeshayashuhudia kwenye chama kwa sasa, natoa wito kwawana CHADEMA wote nchini kwamba wakati umefika tubadilishe uongozi wa juu wachama.
Nitaendelea kuwadondolea ili muonekwa nini napendekeza tuung'oe uongozi huu chini ya Mbowe.
Ahsanteni kwakunisoma!
Kama nilivyoahidi dakika chache zilizopita, naomba kuweka hapa mtandaoni barua ya kufukuzwa uanachama wa BAVICHA Bi. Juliana Shonza aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa".
asilimia 90 we ni mchagga na asilimia 10 we ni muiraq na asilimia 100 ww ni mkaskazini