Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Masikini Migamba! Nani kakuponza hadi ukaingia mkenge? Au ni hayo yasemwayo kuwa ulipewa ahadi ya kufutiwa kesi na mshiko juu? Unasaliti nafsi yako kwa woga? Umefanya kazi na Lema muda mrefu bado tuu hujajifunza kutoka kwake juu ya kauli mbiu yake kuhusu WOGA?
Lema alisha waonhesha watawala kuwa haiogopi jela kwa kukataa dhamana na kwenda jela kwa kusimamia ukweli na uliona heshima yake ilivyokuwa hapo Arusha na Tanzania nzima. Sasa hivi hata hiyo serikali sasa inamwogopa na kumheshimu na mambo ndani ya Halmashauri ya Arusha yanaenda vema. Juta na kurudia uadilifu na utasamehewa.
Lema alisha waonhesha watawala kuwa haiogopi jela kwa kukataa dhamana na kwenda jela kwa kusimamia ukweli na uliona heshima yake ilivyokuwa hapo Arusha na Tanzania nzima. Sasa hivi hata hiyo serikali sasa inamwogopa na kumheshimu na mambo ndani ya Halmashauri ya Arusha yanaenda vema. Juta na kurudia uadilifu na utasamehewa.