Naomba nitajie mtu maarufu yoyote duniani aliyekufa kwenye matukio kama yale na kuwekwa mitandaoni picha kama ii, We Zio unasema hivyo ila fikiria kama ndugu yangu ndo anadhalilishwa hivi mitandaoni ungejisikiaje?
Naomba nitajie mtu maarufu yoyote duniani aliyekufa kwenye matukio kama yale na kuwekwa mitandaoni picha kama ii, We Zio unasema hivyo ila fikiria kama ndugu yangu ndo anadhalilishwa hivi mitandaoni ungejisikiaje?
Sasa huo udhalilishaji upo wapi hapo?? Mbona husomeki..Muwacheni marehemu apumue huko peponi/motoni sijuiNaomba nitajie mtu maarufu yoyote duniani aliyekufa kwenye matukio kama yale na kuwekwa mitandaoni picha kama ii, We Zio unasema hivyo ila fikiria kama ndugu yangu ndo anadhalilishwa hivi mitandaoni ungejisikiaje?
Naomba nitajie mtu maarufu yoyote duniani aliyekufa kwenye matukio kama yale na kuwekwa mitandaoni picha kama ii, We Zio unasema hivyo ila fikiria kama ndugu yangu ndo anadhalilishwa hivi mitandaoni ungejisikiaje?
inasikitisha sana. madaktari na polisi wanashudia maajabu. wangekuwa wanapiga picha na kuziweka hadharani sijui ingekuwaje.
Jamani mi napenda kujua ivi inakuwa mtu anakufa kwa ajali mbaya kama ile alafu wewe unachukua ile picha yake ya ajali unaiweka kwenye mtandao huu wa JamiiForum na wana jamii wanao monitor ii forum hawachukulii hatua yoyote. Mi nilitegemea kuwa wangeweka picha yake kabla ya kifo chake wakati anafanya kazi zake. Ivi watanzania tunajua kweli maadili ya izi forum????, huu ni udhalilishaji wa hali ya juu sana, na napenda kuwauliza nyie wamiliki wa wana jamii ivi kama mama yako amesikika kuwa amebakwa na ikatokea tukaweka picha yake humu wakati akibakwa utaiwacha kweli watu waanze cocomments!!!! Mi nafikiri ifikie muda hao wamiliki wawape elimu wanao monitor huu mtandao wajue wanalolifanya. Mi nawasilisha hoja tu na kama mkiamua mnifute kwenye hii forum poa ila swala kama lile la kuruhusu picha ya mtu aliyeumia kama vile halikubaliki kabisa na mnaitaji kujifunza na matukio yanayotekea kama haya uko nje huwezi kukuta upuuzi kama huu !!!!!!!!
umbeya tu. Hakuna blog yoyote walioweka picha