Wito kwa mitandao ya kijamii na vyombo vya habari (tafadhali someni)

Wakuu, kama kuna mtu aliona picha za maiti sio marehemu wa SEPTEMBER 11, Marekeni aiweke hapa jamvini. Walikufa watu karibia 4000.
 
mtzd, unao uhuru wa kutoa mawazo yako juu ya hili, ila ninacho shangaa mimi kwanini mawazo ya wachangiaji wachache au flani flani may be yanakua sheria kabla hata ya kujadiliwa. Nini maana haya ya watu kuchangia wakati kuna Moderator wanatumia utashi wao zaidi katika kachagua thread gani iendelee na ipi wa crush.

Mimi ndio nilio leta thread ya HIVI NDIVYO ALiVYO UMIA SHAROBARO (Mwili wake), of course kuna waliokua na mtazamo tofauti lakini sio wate, jamii ilishaanza kutoa mitazamo yao, to my suprize, moderator hawakutaka kusubiri mchango ya wana jamii, bali waka jump into conclusion na kuicrush ile thread.

Sidhani kama Tanzania kuna sheria inayotukataza kuonyesha maiti ya marehemu, kwani ingekuwepo, hata kuaga maiti ingekua ni kukiuka sheria hiyo.

Pili kuna msemo usemao, you can not declare someone is dead without showing his/her dead body, kama mlivyo ona kwa watoto wawili wa Saadam Hussein, Uday na Qusay, vile vile kwa Gadafi etc.

Lengo sometimes ni kujiridhisha tu kua flani hatunae tena. Hivyo haiwezi kua halali kwa watu flani na haramu kwa watu wengine.

kwa mfano wote tume huzunishwa na kifo cha sharo, ni kuinyoshe picha ya alivyoumia katika ajali nikatika kuonyesha kua kwa ukweli aliumia sana asingeweza kupona na kukubali kua Sharo alipata ajali ya gari ilio sababisha kifo chake.

Anyway, it was upon people to decide that sio Moderators. I think some moderator they are really not up to their jobs. Some things sound fishy.

Sometimes Matumizi ya Picha yana maana yake. Kulingana na Matukio. Sasa Moderator waikrash hii thread picha ya huyo mtu katika mchango wa Safari ni Safari ilio nukuliwa na kibogo.

Some one take care of those incompetent moderators.

 
mkuu invisible unatoa muongozo gani? Naona zimeshatinga hata humu!

hivi huu utamaduni wa kumaliza mada kwa kutumia moderators umeanza lini?. Kwanini watu wasijadili hoja kwa uhuru. You know this behavior rises a lot of questions about the forum itself.

Hii tabia ya kudeka badala ya kujadili inamsaidia nani. Huu sio utamaduni utakoleta maendeleo. Hivi kila mtu akiwa na forum yake then nani atachangia ya mwenzake.

So far so goood kwa jamii forums, imekubalika, then what is this narrow mindedness?


crushing threads, banning members, why can't we face points with points?

Hebu tuacheni hii tabia ya kitoto ya nenda kusema kwa baba.
 
kuna swali nilikuwa najiuliza ivi kama we upendi hizo picha kuziona kwenye hizo blog ulifwata nn? mi sioni kosa la walioweka izo picha kama vile kielelezo as ni kweli hatunae sema kwa mm nionavyo zingekuwa na limition as ziwepo hewani kwa mda gani mfano labda mpaka siku ya mazishi as siku 3 baadae na vitu kama ivo inasaidia kuzuia uzushi pia usio na maana kusema zisiwekwe kabisa haitakuwa sawa
 
hivi huu utamaduni wa kumaliza mada kwa kutumia moderators umeanza lini?. Kwanini watu wasijadili hoja kwa uhuru. You know this behavior rises a lot of questions about the forum itself.

Hii tabia ya kudeka badala ya kujadili inamsaidia nani. Huu sio utamaduni utakoleta maendeleo. Hivi kila mtu akiwa na forum yake then nani atachangia ya mwenzake.

So far so goood kwa jamii forums, imekubalika, then what is this narrow mindedness?


crushing threads, banning members, why can't we face points with points?

Hebu tuacheni hii tabia ya kitoto ya nenda kusema kwa baba.

Mkuu Mods si vichaa wana akili timamu na ubora wa Forum hii tunaouona ni kutokana na kazi zao nzuri (mapungufu hayawezi kukosekana).Issue kama hii tunayoijadili inachangamoto nyingi za kisheria na utamaduni pia hivyo close supervision ya Mods ni muhimu sana kwani haiwezekani Mods wakawa kila mahali bila sisi kuwastua sometimes.

Binafsi nimemstua Invisible mara mbili kwenye thread hii kama uchokonozi kujua atasema nini kwa uzoefu wake wa social media na mambo ya habari.

Naamini watu kulalamika kwa Mods ni jambo jema kwani ndio utaratibu wa humu unavyotaka kuepusha mengi na Mods hawakurupuki kutoa maamuzi bila kuzingatia haki na wajibu wao!
 
Last edited by a moderator:
mkuu mods si vichaa wana akili timamu na ubora wa forum hii tunaouona ni kutokana na kazi zao nzuri (mapungufu hayawezi kukosekana).issue kama hii tunayoijadili inachangamoto nyingi za kisheria na utamaduni pia hivyo close supervision ya mods ni muhimu sana kwani haiwezekani mods wakawa kila mahali bila sisi kuwastua sometimes.

Binafsi nimemstua invisible mara mbili kwenye thread hii kama uchokonozi kujua atasema nini kwa uzoefu wake wa social media na mambo ya habari.

Naamini watu kulalamika kwa mods ni jambo jema kwani ndio utaratibu wa humu unavyotaka kuepusha mengi na mods hawakurupuki kutoa maamuzi bila kuzingatia haki na wajibu wao!

Supervision sio mbaya, lakini kama mada imeshabebwa na jamii, waachwe jamii kwanza wa exhaust kwanza kabla ya kukrush mada. Kuna baadhi ya memba ni wavivu wa kufikiria, hivyo wao kazi zao ni kuwa pm tu mamoderators ili wa crush mada au wawa ban members wengine.

Anything controversial, is good for discussion. Let people give out their feelings. Mwisho wa siku muafaka utapatikana tu. Kwani si mnaona hata bungeni inafika wakati waheshimiwa wanatukanana.

Mfano Mheshimiwa Mnyika, aliwahi kuwaita wabunge wote wa CCM ni wajinga na Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ni mdhaifu. Mbona Rais haku hamaki. That is freedom of speech. Tuwe wavumilivu jamani.
 
Back
Top Bottom