Wito kwa John Mnyika na wenzake!!

Hehe hehe hehe hehe

Asha nimekuwa almaarufu siku hizi. Hata Chinga anijua ati. Kwa anayetaka kuonana nami nikiwa jang'ombe au hapa dsm aniandikie tu ashabdala@yahoo.com.

On a serious note: Hivi Zitto, Mnyika na Eric Ongara mbona hatuwaoni humu? Kuna mtu ana namba zao tuwaite waje kuchangia mambo haya? Mbona wapo kimya jamani!

Ile thread ya UDHURU iko wapi eti, ule mtindo wa kuagana ulikuwa mzuri. Ulikufa?

WEWE UNA CLAIM KUWA NI MWANACHAMA MWANDAMIZI. VIPI HUNA NAMBA NA HUJUI WAPI UTAWAPATA KINA MNYIKA? KWANINI UNAKUJA JF CHADEMA BRANCH?
MNYIKA KAONA UJINGA KWANI ALICHANGIA SANA LAKINI PESA ANAPEWA KITILA MKUMBO (ASHA ABDALLAH)NA MWANAKIJIJI TU.KWA HIYO MNAOLIPWA NA MZEE WA BILICANAS FANYENI KAZI.
 
nadhani Mnyika kaamua kufanya kitu kama nilivyomuahidi but he chose a different route. Naona shamba hakupaweza na sasa kaenda kujichanganya na wamachinga !
 
maombi hubakia kuwa maombi tu, na maombi yako ya aina nyingi, na watu kuomba hawakatazwi, kwa hiyo kwa vile ni ombi basi tusubiri kuona kama litajibiwa!

tayari kashafuata ombi langu lakini different route, maana sikutaka akae kijiweni/ofisini huku mbowe akijipatia ulaji, nadhani kashtuka na kuamua kwenda kuongea na wamachinga as usual kutoa ripoti, ripoti, ripoti, ripoti with no solutions as usual !
 
Kada Mpinzani! Heshima mbele....

Hivi mbona unalazimisha kuwa John Mnyika amekubalina na ombi lako? Mzee mwana kijiji amekuelewesha kwa ufasaha kabisa lakini naona hauelewi sijui ni mtu wa aina gani wewe, Hapa unaonyesha udikteta kwa kulazimisha watu wote humu wakubali ushawishi wako kuwa John Mnyika amekubali ushauri uliompa inaonekana dhahiri umedumazwa na udikteta uliopo kwenye chama chako.
Kumbuka watu kutochangia comments humu ndani si kana kwamba wameingia mitini, wanaweza wakawa wanalogin JF lakini hawapost comments sasa ni vyema ukaelewa hivyo.

Naungana na INVISIBLE once again na nakua chia ujumbe huu kwa mara ya mwisho

(FICHA UPUMBAVU WAKO USIFICHE HEKIMA YAKO)



Tumechoka na PUMBA ZAKO
 
sasa mnalia kwamba MNYIKA AMEFANYA OMBI LA KADAMPINZANI KWA KUJISHULISHA NA AMEENDA KWA WAMACHINGA ?? ni kweli niliomba ajishughulishe ili asipotezewe muda wake na mbowe na kweli kijana kafuata ushauri sasa mnalia nini tena hakuchukua muda kukubali ombi. au kosa langu kumshauri, au mnyika kufuata ushauri ? give me a break !
 
Hehe hehe hehe hehe

Asha nimekuwa almaarufu siku hizi. Hata Chinga anijua ati. Kwa anayetaka kuonana nami nikiwa jang'ombe au hapa dsm aniandikie tu ashabdala@yahoo.com.

On a serious note: Hivi Zitto, Mnyika na Eric Ongara mbona hatuwaoni humu? Kuna mtu ana namba zao tuwaite waje kuchangia mambo haya? Mbona wapo kimya jamani!

Ile thread ya UDHURU iko wapi eti, ule mtindo wa kuagana ulikuwa mzuri. Ulikufa?

Kuthibitisha kuwa wewe si ASHA ABDALLAH unatoka ZNZ. vipi jina lako ushindwe kuandika? hakuna Mzanzibar anayeweza kuandika ASHA ABDALA badala ya ABDALLAH AU ABDULLAH. HATA WASWAHILI WENYE JINA LAO HAWAWEZI KUANDIKA ABDALA.

bwana Kitila MKUMBO kama vipi bwana hata jina kuandika linakushinda?
 
Back
Top Bottom