Hehe hehe hehe hehe
Asha nimekuwa almaarufu siku hizi. Hata Chinga anijua ati. Kwa anayetaka kuonana nami nikiwa jang'ombe au hapa dsm aniandikie tu ashabdala@yahoo.com.
On a serious note: Hivi Zitto, Mnyika na Eric Ongara mbona hatuwaoni humu? Kuna mtu ana namba zao tuwaite waje kuchangia mambo haya? Mbona wapo kimya jamani!
Ile thread ya UDHURU iko wapi eti, ule mtindo wa kuagana ulikuwa mzuri. Ulikufa?
WEWE UNA CLAIM KUWA NI MWANACHAMA MWANDAMIZI. VIPI HUNA NAMBA NA HUJUI WAPI UTAWAPATA KINA MNYIKA? KWANINI UNAKUJA JF CHADEMA BRANCH?
MNYIKA KAONA UJINGA KWANI ALICHANGIA SANA LAKINI PESA ANAPEWA KITILA MKUMBO (ASHA ABDALLAH)NA MWANAKIJIJI TU.KWA HIYO MNAOLIPWA NA MZEE WA BILICANAS FANYENI KAZI.