Wishing you a Happy Birthday @Erickb52

Wishing you a Happy Birthday @Erickb52

Heheheee mnamtafuta ugomvi eeeh
Yeye Asprin Kaizer na mzee Bishanga watakaa tu kuangalia mienendo ya sherehe siunajua wazee wa jukwaa hawapaswi kusumbuliwa wakati vijana wapo
Bishanga ni mgambo mstaafu hivyo atatusaidia kulinda mlangoni wazamiaji wasizamie !.....atasaidiana na mdogo wake nitonye !
 
Last edited by a moderator:
Heheheee yan unavyomkana na mimi ndivyo ntakavyomkana Amyner lol
Mapenzi ni kama upepo....unapita tu lol

Hahahaha umeonae ?.....mume gani wakati nahitaji faraja yeye yuko shamba ?.....mie akuuuu nshajichukulia maamuzi magumu atajiju !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom