Happy birthday to yo !:A S-heart-2::A S-heart-2:
Happy birthday to you!
Happy birthday dear Erickb52 happy birthday to yo
How old are you now, how old are you now, happy birthday, happy birthday , happy birthday to you !
Kata keki tule, kata keki tule......happy birthday, happy birthday, happy birthday to you !:A S-heart-2::A S-heart-2:
Dear Erickb52 , your birthday is as much a celebration for me as it is for you!
I wish you the best of birthdays, the best one ever and may each birthday be better than the last!
Most of all, I hope you will always be as happy as you have made others..............may all your dreams come true not only on your special day but always, all life through!
:A S-heart-2:
:A S 465: Happy birthday :A S 465:
Wapendwa wote wa chit chat kama mnavyojua kuwa mwenzetu
Erickb52 kaachwa solemba na mpenziwe
Amyner....hivyo basi kwa heshima na taadhima nawaomba wote tuchukue jukumu la kumfanya mwenye furaha katika siku yake hii muhimu.......mimi na lovely husband
Vin Diesel tumeamua kuhakikisha kuwa sherehe hii inafana!......kamati zitakuwa kama ifuatavyo;
VINYWAJI watakuwepo hawa wafuatao:
Asprin ,
Kaizer,
PakaJimmy,
Preta na
Blaki Womani ( PJ atakuwa msimamizi kwenye hili kundi )
CHAKULA watashughulikia hawa wafuatao:
Kongosho,
gfsonwin,
cacico,
ummu kulthum,
charminglady,
Remmy na
CUTE
MAPAMBO : afrodenzi, firstlady1,
Kipipi,
beibe nasty,
King'asti na
Meritta (plz hakikisheni ukumbi unapambwa mapema iwezekanavyo na unapendeza )
Yummy na mumewe
Mr Rocky waliahidi kuleta beseni la kumwogesha mtoto
Erickb52.....hili mtamkabidhi
Kaunga manake ndie aliyepangiwa kazi ya kumwogesha !
Catherine,
Madame B na
The secretary nyie mtafuatilia keki kule tulipoweka order na muhakikishe inafika ukumbini kwa wakati !
Bishanga na
nitonye watafanya kazi ya ulinzi manake wamepitia mgambo.....plz hakikisheni hakuna atakayezamia kwenye hii shughuli !
HYGEIA ,
Ndahani na
Judgement watakuwepo ukumbini kuhakikisha hakuna mgeni atakayekaukiwa na kinywaji!
Kwa bahati mbaya au nzuri huyu mtoto amezaliwa akiwa na ndevu hivyo basi ni jukumu la
Mwanyasi,
Mentor na
platozoom kuhakikisha kuwa mtoto ameenda saluni !.................mavazi ya mtoto atashughulikia
The Finest !
Katavi na
BAGAH watakuwepo ukumbini kwa ajili ya kukusanya chupa zitakazokuwa zimeisha vinywaji !
Erotica,
AshaDii na
Yummy vile wana bed rest hatutawapangia shughuli yoyote !
Rejao ,
Mwali na
Ritz watatuandalia futari kwaajili ya wale waalikwa watakaokuwa wamefunga
Kutakuwepo pia na bendi ya Mashauzi Classic inayomilikiwa na
klorokwini pia
Zinduna ameahidi kutuletea mchiriku toka zanzibar ! .....
BADILI TABIA na
Mamndenyi mtakuwa hai table kumfuta na kumpepea mtoto jasho!
Mtambuzi atatufungulia sherehe na
Dark City atatufungia !
Nyani Ngabu ameahidi kutoa gari litakalomleta mtoto ukumbini na
The Boss ameahidi kutoa gari la kumrudisha mtoto nyumbani baada ya sherehe !
Ni matumaini yangu kuwa sherehe yetu hii itafana :flypig::flypig::flypig: