Wingu zito chadema mbeleni

Wingu zito chadema mbeleni

mbung'o muba

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
10
Reaction score
1
:embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma iamue..............usafi wao uchunguzwe..........malengo yao yachunguzwe.............
 
Sasa hivi hakuna atakaekubali kutumika na Magamba labda we na akili za maiti. We unajua sukari kilo shilingi ngapi? Na umesikia riport za kamat za bunge?
 
wakija si wanakuwa wanachama wa kawaida,tutawajuwa tutakapoona wanataka nini.......
 
hata mataahira waliokuwepo ccm waingie CDM iwapokee .... nipo tayari kugharamia matibabu yao hospitali ya Mirembe ili tupate kura zao 2015
 
Kwa hiyo wazo lako ni kuwa wakataliwe? Hapana mbona hata muda huu wako walio watukutu! Suala ni kutokuwapa madrk mapema
 
Tusimbague mtu yoyote lete anafaa, hata wagonjwa leteni
 
:embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma iamue..............usafi wao uchunguzwe..........malengo yao yachunguzwe.............

WaTZ wamebadilika, siyo wale wa 95... Wanaofanya mabadiliko ni Wananchi.. Mfano mzuri ni shibuda kama utasikia anaendele na mzaha wake subiri bajeti inayokuja kama ataongea kama iliyopita.

Sasa hivi wanaoendesha harakati za mageuzi ni wananchi na si viongozi wanaohama kutoka CCM kwenda CDM.
 
Nani kasema watapewa madaraka ndani ya chama kwa ghafla bila kuchunguzwa na kufundwa? Lakin kama wananchi wakitaka kuwapa kazi nje ya chama ili wawatumikie mimi sioni tatizo
 
Hata lowasa akija tunapokea tu we vipi?? ndiyo toba yenyewe hiyo! Nyooooooooooooooote karibuni kwa bwana mtubie basiiiiiiiiiiiii
 
Its a means to an end..., kama hao kenge wakisaidia kumwondoa mjusi (CCM), who cares.., after all sisi ambao hatuamini vyama (bali upinzani) tunafurahia kifo cha CCM ambacho kitaleta upinzani wa kweli
 
:embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma iamue..............usafi wao uchunguzwe..........malengo yao yachunguzwe.............

" that is fear for unknown !!!"
 
Its a means to an end..., kama hao kenge wakisaidia kumwondoa mjusi (CCM), who cares.., after all sisi ambao hatuamini vyama (bali upinzani) tunafurahia kifo cha CCM ambacho kitaleta upinzani wa kweli

well said.
 
CDM ina viongozi makini.
Pia, magamba wakitubu na kujuta, tuwasemehe.
 
siku utasikia kauli kama hizi tena nimegundua chadema ni chama cha kikabila na kidini nimeamua kurudi tena ccm!
 
pia naunga mkono hoja,ila cdm inapaswa kuwa na maamuzi ya kidikteta ili kudumisha chama,yawezekana wakaja wengi,wakatumia hoja ya uhuru wa maoni wakajenga hoja ya kuwaondoa viongozi wakuu wa cdm waliotufikisha apa ili wakaud chama,nashauri kamati kuu ijiandae kuwa na maamuzi magumu kwa akina shibuda wapya wajao. Ila tunamkaribisha kila mtu ata J K aje ila wote wajiandae kunyooshwa! karibu wote mtakaswe tujenge nchi!
 
pia naunga mkono hoja,ila cdm inapaswa kuwa na maamuzi ya kidikteta ili kudumisha chama,yawezekana wakaja wengi,wakatumia hoja ya uhuru wa maoni wakajenga hoja ya kuwaondoa viongozi wakuu wa cdm waliotufikisha apa ili wakaue chama,nashauri kamati kuu ijiandae kuwa na maamuzi magumu kwa akina shibuda wapya wajao. Ila tunamkaribisha kila mtu ata J K aje ila wote wajiandae kunyooshwa! karibu wote mtakaswe tujenge nchi!
 
:embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma iamue..............usafi wao uchunguzwe..........malengo yao yachunguzwe.............

Acha woga wewe! Hivi wewe biashara yako ikichanganya utawakataa wateja wanapoongezeka? Wakidoda? Mwanadamu hata ukimpa nini milele hataridhika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom