Windows phone fans: Windows phone mobile 10 is officialy out

Lumia 640 na lumia 535

Kituu
Inanikomandi mkuu niwe na wifi nielekeze de way nitaweza tengeneza wifi kupitia simu zangu mbili ili niweze fanya hiyo makitu
Ktk simu zako moja ingia setting washa data,scroll down,internet sharing iweke On hapo kwa chini pana password utazozitumia ili kuruhusu sharing ila hakikisha una bundle at least 2Gb kama alivyosena mkuu hapo juu.hiyo unayotaka kui-update washa WiFi itakudai password ingiza namba au maneno yaliyo ktk simu ya mwanzo.kama sikueleweka wadau watakuja kujazia nyama,good luck.
 
Ktk simu zako moja ingia setting washa data,scroll down,internet sharing iweke On hapo kwa chini pana password utazozitumia ili kuruhusu sharing ila hakikisha una bundle at least 2Gb kama alivyosena mkuu hapo juu.hiyo unayotaka kui-update washa WiFi itakudai password ingiza namba au maneno yaliyo ktk simu ya mwanzo.kama sikueleweka wadau watakuja kujazia nyama,good luck.
Nimejaribu lakini naona inazingua ninayoconnect haikubali kufua net
 
Nimejaribu lakini naona inazingua ninayoconnect haikubali kufua net
Hakikisha hiyo unayotumia kama chanzo cha network inakuwa na bundle pia kabla yakuwasha internet sharing washa data kwanza kisha hiyo unayotaka kuupdate washa WiFi fuata maelekezo ya mwanzo.
 
Unataka nini.? weka unalotaka kuna wadau wengi sana wa Windows phone humu. Hakika hutokosa msaada kivyovyote vile.
Nataka ni updat window nipate window 10 lakin hata sielew na kingine nawezaje kudownlod aplication ya jf maan natumia browser tu
MSAADA
 
Wadau Kuna changes nazionabaada ya kuinstall window ten xo nafanyaje mfano kuipata redio manake siioni
 
Kwa wale fans wa Windows phone, Tayari annivesary update kwa windows phone ishatolewa kwa baadhi ya simu zinazotumia windows. Binafsi natumia Lumia 640, Mwaka jana nilisema ngoja nitest ladha ya WP10. Nikaingia katika insider rings na kuupdate kwenda WP10 preview.

Bahati mbaya nilikuwa disappointed sana, kwani baada ya updates kadhaa simu ilikuwa na matattizo lukuki kama vile app kucrash bila sababu, Na tatizo sugu la simu kuisha chaji haraka. Kwani kuna update moja nilifanya simu ilikuwa inaisha chaji baada ya masaa manne, haikujalisha umeitumia ama laa. Nikaona isiwe tabu. Acha nifall back to WP8, nikarudi zangu WP8 na simu kurudi katika normal mode. Maisha yakaendelea.

Sasa August 16 Microsoft wametoa official release ya windows phone 10. Kuipata na kujua kama simu yako inauwezo wa kupata WP10, nedha katika market, download app inayoitwa "Upgrade advisor". Ukishaipata hii app itakueleza na kukuguide through whole upgrade process. kutokana na reviews nyingi mitandaoni zinasema matatizo sugu ya charge, simu kuhang, na app kucrash yamekwisha.

Pia inashauriwa kama ulikuwa na windows phone 10 preview hapo kabla uliyoipata katika isider rings, just fall back to WP8 kwanza. Then uanze fresh WP10 annivesary update kwa kupitia upgrade advisor. Binafsi baada ya microsoft kutoa annivesary update nilikuwa nangoja reviews za wadau nione kama hayo matatizo ya WP10 niliyokumbana nayo yaliyokuwa katika preview version yamekwisha au laa. Wadau wengi walioenda WP10 annivesary update wamerecomend vizuri. So i am preparing kufanya major update ya WP10.

Kumbuka kufanya backup ya files zako muhimu kama vile picha, video, docs etc kabla ya kufanya update. kwani zitapotea baada ya kuupdate.


So nawakaribisha wadau wote wa windows phone hususan wale walioupdate OS kwenda WP10 anniversary kutoa experience zao baada ya kufanya updates.
Vp Microsoft lumia 535 itapata update?
 
Reports zinasema itapata update ya W10M. Jaribu kutumia update advisor app uone kama tayari ishaanza kupokea update ama laa.
Imepokea mkuu mie nimeupdate ilikua nouma ilichukua Kama one hour kukamilisha procedure zote na nikainjoy mwonekano Mpya wa simu yangu hakika window os kupitia Microsoft siham ng'o
 
Imepokea mkuu mie nimeupdate ilikua nouma ilichukua Kama one hour kukamilisha procedure zote na nikainjoy mwonekano Mpya wa simu yangu hakika window os kupitia Microsoft siham ng'o

Pamoja sana. Wasio katika Windows phone hakika wanakosa mengi.
 
pia kuna huu utamu hapa mwanzo
wp_ss_20160828_0001.png
haukuwepo
 
Msaada kwenu plz manake Naona kwenye window exploler Kuna vi features vimeongezeka ila kwangu Mimi Napata tabu kukuza fonts nashindwa kabisa ibadili ingawa nafika mpaka sehemu ya kubadili ila naona size ya maansishi iko pale pale Kama nilivyoikuta Kwa medium though nime opt large&extra large pia
 
Back
Top Bottom