Windows phone fans: Windows phone mobile 10 is officialy out

Mimi simu yangu ni Nokia lumia 530....tatizo lake kuna wakati sms za kawaida au whasap zikiingia inastack....mpaka niizime-niiwashe tena ndo iwake...pili nawezaje kuiupdate kuelekea hiyo window 10 mana yangu ni window 8.1.....na kunawakati nikitaka kudownload app inakubali mara nyingine inakataa....inaniletea mambo ya kuitaji wifi wakati wifi inakuwa ipo on.....je hapa tatizo ni nini wakuu?,Msahada wakuu.
Haipokei win 10, yaani hapo ndo imeshafika mwisho, kuhusu tatizo la msg fanya update ya hizo application mara kwa mara ikishindikana Restore factory, pia angalia kama software version ya simu yako kama ni Lumia Denim update 1 au vipi?
 
Haipokei win 10, yaani hapo ndo imeshafika mwisho, kuhusu tatizo la msg fanya update ya hizo application mara kwa mara ikishindikana Restore factory, pia angalia kama software version ya simu yako kama ni Lumia Denim update 1 au vipi?

Mkuu kwani ni wndow phone gani zinapata hiyo update ya window 10....na kuitumia hiyo simu kwenda kuangalia hayo uliyonielekeza mkuu ndo sijui....nifanyie mpango jamaa yangu....nifate prcdure zipi?
 
Mkuu kwani ni wndow phone gani zinapata hiyo update ya window 10....na kuitumia hiyo simu kwenda kuangalia hayo uliyonielekeza mkuu ndo sijui....nifanyie mpango jamaa yangu....nifate prcdure zipi?
1. Zenye RAM kuanzia 1GB kuendelea (baadhi hazipati)
2. Ku update application ingia store kisha cheki updates.
3. Kuangalia software version ya simu yako ingia settings ,about, more utaona versions yako
4. Pia nenda Extras & info kuangalia Software release kama ni Lumia Denim
 
1. Zenye RAM kuanzia 1GB kuendelea (baadhi hazipati)
2. Ku update application ingia store kisha cheki updates.
3. Kuangalia software version ya simu yako ingia settings ,about, more utaona versions yako
4. Pia nenda Extras & info kuangalia Software release kama ni Lumia Denim

Mkuu simu yangu kuifanyia restore setting naogopa ntapoteza mambo kadhaa.....ishu ni kwa nn inakataa kudownload baadh ya apps mpka wifi wakati wifi ipo on anytime?
 
aisee windows ten ni tamu.....sana....mm nipo version...hii..
wp_ss_20160914_0002.png
 
Mkuu simu yangu kuifanyia restore setting naogopa ntapoteza mambo kadhaa.....ishu ni kwa nn inakataa kudownload baadh ya apps mpka wifi wakati wifi ipo on anytime?
Ipo On sawa, umei connect na device nyingine? Kama una vitu muhimu tumia OneDrive ku backup. Unapofanya Hotspot hakikisha hiyo device nyingine ina bando, maana file kuanzia MB100 ndo linahitaji wi-fi
 
Ipo On sawa, umei connect na device nyingine? Kama una vitu muhimu tumia OneDrive ku backup. Unapofanya Hotspot hakikisha hiyo device nyingine ina bando, maana file kuanzia MB100 ndo linahitaji wi-fi

Mkuu kuhusu bando hondoa shaka...mana uwa napata 1gb nikijiunga kifurushi...hiyo one drive nayo iligomankuwa downloaded kisa inaitaji wifi....wifi kuiconnect na dives nyingia kama zipi.....na ikiitaji password pengine nifanyeje mkuu?
 
Mkuu kuhusu bando hondoa shaka...mana uwa napata 1gb nikijiunga kifurushi...hiyo one drive nayo iligomankuwa downloaded kisa inaitaji wifi....wifi kuiconnect na dives nyingia kama zipi.....na ikiitaji password pengine nifanyeje mkuu?
Fungua store, settings, Only get updates over Wi-Fi weka Off, shuka chini tena, Only update tile over Wi-Fi na yenyewe weka Off
 
Fungua store, settings, Only get updates over Wi-Fi weka Off, shuka chini tena, Only update tile over Wi-Fi na yenyewe weka Off

Mkuu nashukuru sana baada ya ku-Off only get update over wi-fi,kuna apps kadhaa zimekuwa downliaded....sema ku a app moja inaitwa mp3 tube ndo uwa naitumia kudownload nyimbo na inanisahidia kuziweka kama rington imekataa kabisa inaonyesha kama inadonload ni Mb5 tu....ila haisogei kabsaaa....nifanyeje hapa mkuu?!
 
Mkuu nashukuru sana baada ya ku-Off only get update over wi-fi,kuna apps kadhaa zimekuwa downliaded....sema ku a app moja inaitwa mp3 tube ndo uwa naitumia kudownload nyimbo na inanisahidia kuziweka kama rington imekataa kabisa inaonyesha kama inadonload ni Mb5 tu....ila haisogei kabsaaa....nifanyeje hapa mkuu?!
Hakikisha una Net ya kutosha waweza zimu simu na kuiwasha tena, kisha ukadownload
 
Hakikisha una Net ya kutosha waweza zimu simu na kuiwasha tena, kisha ukadownload

Net ninayo ya kutosha mkuu ila haikubali...nna kama mb500 hivi.....na pia naomba unipe jinsi ya kurestore hii simu bila kupoteza sms,contact+ music+picture n.k....ntashukur sana mkuu.
 
Mku
Unataka nini.? weka unalotaka kuna wadau wengi sana wa Windows phone humu. Hakika hutokosa msaada kivyovyote vile.
Mkuu mi natumia lumia 535 dual window 8.1 lkn baadhi ya apps km hii ya JF siipati ni mpk nibrowse na sipendi kuingilia uko.
Nifanyeje niipate app kamili?
 
Net ninayo ya kutosha mkuu ila haikubali...nna kama mb500 hivi.....na pia naomba unipe jinsi ya kurestore hii simu bila kupoteza sms,contact+ music+picture n.k....ntashukur sana mkuu.
Music na Picture hamishia kwenye Memory card, Sms backup OneDrive, Contacts zenyewe zinakaa kwenye Microsoft account. Yaani uki Signin kwa email yako ya Microsoft account contacts zako zote zinarudi
 
Back
Top Bottom