Kariakoo mtaa wa uhuru na msimbazi kama unaenda mnazi mmoja kwenye kona pale round about, upande wa kushoto lakini kama unaenda mnazi mmoja kuna duka ambalo lipo Updated mimi huwa ndo nanunua hapo, kaulizie Microsoft Lumia 950 XL LTEMkuu nimetokea kuzipenda hizi simu naweza kupata mpya ambayo inakuja na os ya window 10 kwa bajeti ya 1 million hapa dar
Hakuna clone za windows phone na zikiwepo ukiiangalia tu unaijua yaani haitahitaji ujuzi mkuubwaPouwa mkuu nitatembelea nikacheki lakini inaitaji umakini siunaweza kuuziwa kitu cha clone
Music na Picture hamishia kwenye Memory card, Sms backup OneDrive, Contacts zenyewe zinakaa kwenye Microsoft account. Yaani uki Signin kwa email yako ya Microsoft account contacts zako zote zinarudi
Kama huna Microsoft account apps store unadownload vipi? Yaani Windows Phone ni kama Android na Playstore. Bila Microsoft Account huwezi download Applications kwenye Windows Phone storeMkuu utanisamehe kwa usumbufu....hiyo microsoft acount sina na utaratibu wake ukoje wa kuifungua.....na maelekezo jinsi ya kuzuhamjshia hizo contct plz.
Hebu tusaidiane kwa hili kwenye internet eploler naona maandishi ni madogo sana tofauti na ilivyokua kwa window 8.1 denim sasa kila ninapojaribu kufanya kwenye setting maandishi yakue naona kama vile bhado kabisa ni madogo ingawa nimeselekt font size large nifanyaje ?Kama huna Microsoft account apps store unadownload vipi? Yaani Windows Phone ni kama Android na Playstore. Bila Microsoft Account huwezi download Applications kwenye Windows Phone store
Nenda Settings>Ease of Access>More Settings>Text ScalingHebu tusaidiane kwa hili kwenye internet eploler naona maandishi ni madogo sana tofauti na ilivyokua kwa window 8.1 denim sasa kila ninapojaribu kufanya kwenye setting maandishi yakue naona kama vile bhado kabisa ni madogo ingawa nimeselekt font size large nifanyaje ?
Lumia 950 using mtalk
Mkuu hii nimeifanya inafanya fonts kua kubwa sehemu zingine zote isipokua kwenye internet exploler bhado maandishi n kidogo sanaNenda Settings>Ease of Access>More Settings>Text Scaling
jmn nahitaji kuapdate account yangu ya whatsap inaniambia niwashe wife je wife nawashaje natumia lumia 525.
jmn nahitaji kuapdate account yangu ya whatsap inaniambia niwashe wife je wife nawashaje natumia lumia 525.
Nilishalijibu hili namna ya kulitatua..... Ingia Store>Settings>Only get updates over Wi-Fi weka Offje kwa sisi tunaotumia nokia lumia 1320 tumo kwenye hili au tumetupwa?
mkuu nimeweka off ila inaniletea hii mesejiNilishalijibu hili namna ya kulitatua..... Ingia Store>Settings>Only get updates over Wi-Fi weka Off