Windows choice: Ipi ni nzuri kati ya hizi?

Windows choice: Ipi ni nzuri kati ya hizi?

Ilinishinda mwanga ulikuwa mkali sana. Vitufe vya kuongeza mwanga na kupunguza pia vilikuwa havifanyi kazi.
Nikapiga driver pack solution ikakataa.
Windows ina meneja wake kwa ajili ya drivers. Kwa nini ulazimishe Windows 10 iwe compatible na hiyo third-party software?

Sababu zako sioni kama ni valid kwa sababu ni kukosea. Most of the Time natumia Linux but kwa Windows sishauri any Win 8.x version. It was a failure!

Nashauri Windows XP kwa kompyuta za zamani sana na kama at least recent tumia Windows 7 au 10.
Windows 8 ni no! no! no!
 
Windows ina meneja wake kwa ajili ya drivers. Kwa nini ulazimishe Windows 10 iwe compatible na hiyo third-party software?

Sababu zako sioni kama ni valid kwa sababu ni kukosea. Most of the Time natumia Linux but kwa Windows sishauri any Win 8.x version. It was a failure!

Nashauri Windows XP kwa kompyuta za zamani sana na kama at least recent tumia Windows 7 au 10.
Windows 8 ni no! no! no!
Nakubaliana na wewe 100%, Windows 8, 8.x haikua nzuri at all though nimeitumia muda wote toka itoke mwishoni mwa 2012, ila kama nnatoa ushauri kwa mtu I always recommend windows 7 au jump straight to windows 10, older hardware sio mbaya XP is still good.
 
Kwa hii thread imenifanya leo hii muda huu ni install win10 pro v.1511 En-usx64 july2016..

Niliusoma huu uzi leo asubuhi ya leo nikiwa kwenye mwendo kasi kuelekea moroco..

But comments za watu makini nimezielewa niliporudi home mida ya saa kumi mchana nikaingia piratebay.se nikashusha mzigo fasta... Within 35 minutes setup iko mkononi tayari... Sitaki makuu halotel yangu ya 3000 sawa na 4.8GB ndiyo iliyoniwezesha.

Nafanya updates kutoka 8.1 pro to 10, mrejesho nitawarudisha.
 
Kwa hii thread imenifanya leo hii muda huu ni install win10 pro v.1511 En-usx64 july2016..

Niliusoma huu uzi leo asubuhi ya leo nikiwa kwenye mwendo kasi kuelekea moroco..

But comments za watu makini nimezielewa niliporudi home mida ya saa kumi mchana nikaingia piratebay.se nikashusha mzigo fasta... Within 35 minutes setup iko mkononi tayari... Sitaki makuu halotel yangu ya 3000 sawa na 4.8GB ndiyo iliyoniwezesha.

Nafanya updates kutoka 8.1 pro to 10, mrejesho nitawarudisha.
kama una key ya windows 7 au 8 fanya clean installation halafu tumia hio key ku activate, utapata windows 10 genuine,
 
1. tatizo la mwanga inamaana hujaeka drivers za graphics, itakuwa hio windows 8 yako ilikuja na pc na hizo drivers zilikuwa pre installed tayari.

2. joikuspot ni ad-hoc windows zote zina adhoc zinaweza tu kutofautiana jinsi ya kuset

3. hakuna program inayoingia kwenye win 8 ikatae kwenye 8.1 au 10 taja hio program nitest kwenye machine yangu

4.driver pack solution ni takataka watu wanazokusanya pamoja hivyo itategemea zimekusanywa lini, windows 10 ni ya 2015 usitegemee driver pack solution ya 2014 kushuka ikafanya kazi na windows 10. driver toa kwenye website ya laptop yako na sio driver pack.

5.
Yaani ukishaanzaga kujibu hoja by hoja tu ndo nnapokukubaligi mzazi. Binafsi nna hp6739b natumia win8.1 pro na dell inspiron 1545 nimeweka win 10. So far am enjoying win10 more kuliko 8.1 simply because its user friendly zaidi ya 8.
I agree more na Chief.
Drivers pack sio solution nzuri. Tafuta drivers za machine yako online.
Kutumia 8 ni kama kurudi nyuma wakati the whole world inaenda mbele.
Anyway, kila mtu na ladha yake but I definitely can't buy corolla limited ya 1995 when there is Toyota allion ya 2007
 
kama una key ya windows 7 au 8 fanya clean installation halafu tumia hio key ku activate, utapata windows 10 genuine,
Naam mkuu..

Nilichokifanya nimeupgrade mana hii pc leo ina matumizi makubwa sana ya kushusha movies..

Imejiupgrade drivers zote, profiles pamoja na doc zangu zote kifupi nimehama na personal setting zangu zote.

Ila kuna hatua ambayo niliambiwa niingize serial key so nimeingiza then nikamove on
 
Msaada nikitaka kuupdate Lumia 830 Ina gona inatokea ivyo
wp_ss_20161125_0001.png
 
Back
Top Bottom