Ni mtazamo wako. Kila mtu anafunguka kulingana na uzoefu. Sasa km ww uelewa wako unamtegemea mtu mwingine. Shauri yako.
Mm window zote nimetumia mkuu, najua mapungufu yake.
Au kwa vile Mkwawa aliposema window 10 ni nzuri? Hakuna la maana kwenye window 10 zaid ya kucopy kweny window 8.
NINGEKUONA MTU WA MAANA SANA KM UNGEKUJA NA MTAZAMO WAKO.
HALAFU MKUU UTAMPINGAJE MTU KWA HOJA YA KIJI.NGA NAMNA HIYO? FUNGUKA USIWE KAMA MTOTO WA DARASA LA KWANZA.
Kama huelewi mambo mengine bora ukauliza kuliko kusema una experience wakati unachokiandika ni tofauti.
Umesema windows 10 haipungui mwanga,kama una uelewa mzur ilikua ni issue ya driver tu hapo,ulitaka tukuweke video hapa ikionyesha mwanga unavyopungua na kuongezeka?
Pia unasema windows 10 ina program chache,hivi ni program gani ambayo ni very useful na still developers wameiacha kweny windows 8 kurud nyuma?
Pia unatakiwa kuwa mtu wa maendeleo,yani watu watoe windows 10 wewe uwaze kurud nyuma ,huwez compare performance ya windows 10 na Windows za nyuma ,Windows 10 imetoa boost kwa cpu nying tu
Pia nimesha tumia kerspersky kwenye Windows 10 update ya anniversary sasa sijui uliweka kerspersky ya 2013
Kingine Microsoft nayeye amehamisha nguvu zote kwenye windows 10 na sio hizo windows za nyuma, the same kwa developers
Alafu unaongelea joiku spot leo hii? You need to check your self bro!
Ni sawa na kusema android lolpop ni the best compared na marshmallow au nougat .