Windows choice: Ipi ni nzuri kati ya hizi?

Windows choice: Ipi ni nzuri kati ya hizi?

Mbona windows 10 ni very simple kutumia...Haina tofauti na 7
Ilinishinda mwanga ulikuwa mkali sana. Vitufe vya kuongeza mwanga na kupunguza pia vilikuwa havifanyi kazi.
Nikapiga driver pack solution ikakataa. Ikibid niitoe niweke 8pro bit 64.
Hongera sana mkuu, nimependa ulivyooniuliza. Mwingine anakuja ana kuquote, anaandika si kweli analala mbele. Unashindwa kumwelewa alikuwa anataka nn?
 
Wewe jamaa ni mbishi halafu hujui unachokibishia. Uliyoongea si kweli, na sababu umepewa hapo juu. Lakini still unabisha.

Unasema Windows 10 screen haipunguzi mwanga, umeambiwa solution ni kuwa hujainstall driver bado unabisha.

Unaambiwa security windows 10 ni bora kuliko hiyo 8, bado unabisha.

Unaambiwa software za windows 8 zinakubali katika windows 10 bado unabisha.

Sasa usaidiwe vipi.?
Sasa unisaidie mm ili iweje? Nimekuomba msaada? Ona sasa unavyochanganyikiwa. Msaidie mtoa uzi.
Ww jamaa vipi?
 
mkuu eka windows 10 sababu. ni ya kisasa zaidi ya windows zote na hutahitaji ant virus matumizi ya kawaida windows defender inayokuja na windows 10 inalinda vizuri tu
Cha kwanza kabisa watu wanikwepa Win10 kwa sababu Wanatumia Software Ambazo ziko Expired ...Windw defender haitaki ujinga wa old software such as Antivirus software na hakuna kabisa Window inayo ifikia Wind 10 kwa features na Driver zake istoshe ni Angavu haitaki Mashine za kitoto.... Hiyo ni High level kabisa..... Chief uko vizur kwenye maelezo aiseee
 
Mkuu juzi tu niliweka window 10 ilinishinda mwanga ni mkali na haipungui. Zote zina window defender 8, 8.1 & 8.1.1
Km unasimu hapo install Joikuspot halafu isearch kwenye window 8.1 km utaipata?
Unaijua joikusport?
Nimetumia window zote na pia najua mapungufu yake

DRIVER PACK SOLUTION UKIPIGA KWENYE WINDOW 10 HATA HAIFUNCTION KBSA.
mkuu hakuna kitu kama hicho sema specifications za mashine yako ni Unsupported Na window 10
 
Ahsante [HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] umenisaidia kumjibu khaaa!!!
Nimuulize nani? Wakati wote tunatumia vitu vya mzungu? Ningekuona wa maana sana km hata hiyo pc ungekuwa umeitengeneza ww.
Software zote unatumia za mzungu, hakuna hata software uliyotengeneza halafu bado unajiita mtaalamu. Hii bongo ni matatizo sana
 
Mkuu install window 8 ndiyo nzuri na pia inasoftware nyingi.
-Window 8.1 kuna baadhi ya program inakataa mfano wale wanaotumia nokia kuna program inaitwa Joikuspot inakataaa kbsa hata kaspersky antivirus inakataaa.
-Window 10 ina program chache na tatizo lake inamwanga mkali na huwezi kupunguza hata ukipiga driver pack solution inakataaaa
-window 8.1.1 nayo ni kimeo tu

Window ninazozikubali ni 7 & 8 pro sbb ni rahisi kutumia, zina features na program nyingi.. Bit 64 ndiyo mwake
Mkuuu mbona naona kama huelewi chocho kuhusu Windows, sio lazima uchangie kama huna uhakika na unachoongea, windows 10 iko poa mkuu kuliko hizo unazotaja njoo nikufundishe matumizi yake
 
Mkuuu mbona naona kama huelewi chocho kuhusu Windows, sio lazima uchangie kama huna uhakika na unachoongea, windows 10 iko poa mkuu kuliko hizo unazotaja njoo nikufundishe matumizi yake
Nimeomba msaada kutoka kwako? Mbona unajichanganya sana mkuu.
Siyo lazima kila mtu atumie window 10. Mtu anatumia kulingana na matumizi yake. Nakushangaa unavyonilazimisha nitumie window 10
 
1. tatizo la mwanga inamaana hujaeka drivers za graphics, itakuwa hio windows 8 yako ilikuja na pc na hizo drivers zilikuwa pre installed tayari.

2. joikuspot ni ad-hoc windows zote zina adhoc zinaweza tu kutofautiana jinsi ya kuset

3. hakuna program inayoingia kwenye win 8 ikatae kwenye 8.1 au 10 taja hio program nitest kwenye machine yangu

4.driver pack solution ni takataka watu wanazokusanya pamoja hivyo itategemea zimekusanywa lini, windows 10 ni ya 2015 usitegemee driver pack solution ya 2014 kushuka ikafanya kazi na windows 10. driver toa kwenye website ya laptop yako na sio driver pack.

5.
Chief nielekeze namna ya kutoa driver kwenye website ya laptop yangu, naona ka point yako iko vizuri.
 
Sasa unisaidie mm ili iweje? Nimekuomba msaada? Ona sasa unavyochanganyikiwa. Msaidie mtoa uzi.
Ww jamaa vipi?

Hatuwezi kuona unapoteza raia katika jukwaa tukakaa kimya. Hili ni jukwaa tofauti na yote unayoyaona humu JF. Humu we care about facts and sharing.

Na hii ni science, hamna siasa humu ni facts tuu hakuna porojo.
 
Hatuwezi kuona unapoteza raia katika jukwaa tukakaa kimya. Hili ni jukwaa tofauti na yote unayoyaona humu JF. Humu we care about facts and sharing.

Na hii ni science, hamna siasa humu ni facts tuu hakuna porojo.
Unajua tatizo la jukwaa hili limelifanywa km jukwaa la watu fulani, special wakati aliyebuni alimpe uhuru mtu yyte kutumia jukwaa lolote.
Ni vizuri km nyie kweli ni wataalamu mngetengeneza Forum tofauti na hii na inayohusu vitu hivi na siyo kudandia forum za watu.
Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo. Nakushangaa ww unayejiita mtaalamu hata browser haujatengeneza.
HUMU KUNA NYUZI NYINGI SANA HAZIJAJIBIWA LKN KWA VILE NYIE NI BORA KULIKO WENGINE MEUONA HUU
Si ujuha huu
 
Mkuu install window 8 ndiyo nzuri na pia inasoftware nyingi.
-Window 8.1 kuna baadhi ya program inakataa mfano wale wanaotumia nokia kuna program inaitwa Joikuspot inakataaa kbsa hata kaspersky antivirus inakataaa.
-Window 10 ina program chache na tatizo lake inamwanga mkali na huwezi kupunguza hata ukipiga driver pack solution inakataaaa
-window 8.1.1 nayo ni kimeo tu

Window ninazozikubali ni 7 & 8 pro sbb ni rahisi kutumia, zina features na program nyingi.. Bit 64 ndiyo mwake
we jamaa ni muongo wa karne asee , sema kama hata kupunguza mwanga hujui sikushangai kuandika uongo hvo
 
Unajua tatizo la jukwaa hili limelifanywa km jukwaa la watu fulani, special wakati aliyebuni alimpe uhuru mtu yyte kutumia jukwaa lolote.
Ni vizuri km nyie kweli ni wataalamu mngetengeneza Forum tofauti na hii na inayohusu vitu hivi na siyo kudandia forum za watu.
Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo. Nakushangaa ww unayejiita mtaalamu hata browser haujatengeneza.
HUMU KUNA NYUZI NYINGI SANA HAZIJAJIBIWA LKN KWA VILE NYIE NI BORA KULIKO WENGINE MEUONA HUU
Si ujuha huu

Najua ni hulka yako ubishi. Ila somo umelipata na umeelewa. Hapa ni facts tuu. Sipo tayari kwa majibizano yasiyo na kichwa wala miguu. Kama una facts za kisayansi leta mezani tujadili. Otherwise tuendelee kujadili yaliyo katika main thread na yanayoibuka katika huu uzi.
 
Win 8 zinajulikana sana kua na matatizo ya WiFi connectivity. Kuna muda inaweza kugoma tu. Win 10 sina experience nayo.

My own opinion, chukua win 7. Suburi mpaka hizi win mpya ziwe stable ndo ubadilishe. Maana win 7 is almost perfect, majanga yote yanasolviwa kirahisi, kwa sababu it has been around for awhile. Sasa kama win 10 naikia inatabia ya kucrash ovyo hata kwa PC yenye uwezo mkubwa. Nilishaiona Dell xps 15 inarun win 10, laptop ni top end, ilinunuliwa 7 mil. Lakini win 10 inacrash ukiwa unatumia adope phptoshot au kama umeopen a lot of tabs. Na case sio moja tu, we nenda Google. Lakini ukilinganisha win 7, win 8 na win 10. Utakuta win 7 ndo reliable zaidi, it has a lot of bugs fixed na kama zipo you can fix them on your own.

TL;DR win 7 is the king

-callmeGhost
 
JF NI JUKWAAA HURU NA KILA MTU ANAMTAZAMO WAKE. KUNA WENGINE WANAJIONA WAO NI BORA ZAIDI KULIKO WENGINE. NI VIZURI MAWAZO YA MTU YAHESHIMIWA KM UNAJIONA NI BORA SANA KWANN BADO MPAKA LEO UNATUMIA SOFTWARE ZA WENGINE?
Kwann usitengeneze zako km ww ni nondo sana? Mm nimeeleza kulingana na uelewa wangu halafu from nowhere mtu anasema ''si kweli'' halafu anakaa kimya, huu si ujinga kiwango cha PHD.
Km mtu kakosea ni vizuri ueleze from A-Z na siyo kukaa kimya.
CHA KUSHANGAZA MTU ANAYEJIONA BORA KULIKO WENGINE BADO ANATUMIA VITU ALIVYOTENGENEZA MWANAUME MWENZAKO.
No offence bro ila wewe ni hothead.. unajifanya unajua halafu kumbe vumbi tu.. no offence lakini.
 
Win 8 zinajulikana sana kua na matatizo ya WiFi connectivity. Kuna muda inaweza kugoma tu. Win 10 sina experience nayo.

My own opinion, chukua win 7. Suburi mpaka hizi win mpya ziwe stable ndo ubadilishe. Maana win 7 is almost perfect, majanga yote yanasolviwa kirahisi, kwa sababu it has been around for awhile. Sasa kama win 10 naikia inatabia ya kucrash ovyo hata kwa PC yenye uwezo mkubwa. Nilishaiona Dell xps 15 inarun win 10, laptop ni top end, ilinunuliwa 7 mil. Lakini win 10 inacrash ukiwa unatumia adope phptoshot au kama umeopen a lot of tabs. Na case sio moja tu, we nenda Google. Lakini ukilinganisha win 7, win 8 na win 10. Utakuta win 7 ndo reliable zaidi, it has a lot of bugs fixed na kama zipo you can fix them on your own.

TL;DR win 7 is the king

-callmeGhost
directx 12 tu inaifanya windows 7 kuwa ya kizamani. unapokuwa na mashine ya windows 10 na gpu ya direct x12 utafanya mambo ambayo kwenye windows 7 yalitaka specs kubwa. kuna games zina enjoy perfomance boost hadi asilimia 100,

kuna vitu kama task manager ya windows 7 ambayo ni ya kizamani sana, ukiwa na windows 10 task manager ni nzuri sana na imeekwa ki mtumiaji wa kawaida. wakigawanyisha matumizi ya cpu, ram, storage, network etc

yapo pia mambo kama universal windows apps, modern apps, uboreshaji wa sleep, start menu mpya, cortana, windows defender, snap assist, messaging everywhere, central notification, etc etc

yani ukigoogle utapata mambo zaidi ya 100 ambayo win 7 haiwezi kuyafanya, kifupi kama mtu unataka os ya kisasa win 10 ni next level.

kuhusu kucrash na kutofungua tabs nyingi si lazima liwe tatizo la os, inawezekana una browser tu mbaya au software mbaya,
 
Unajua tatizo la jukwaa hili limelifanywa km jukwaa la watu fulani, special wakati aliyebuni alimpe uhuru mtu yyte kutumia jukwaa lolote.
Ni vizuri km nyie kweli ni wataalamu mngetengeneza Forum tofauti na hii na inayohusu vitu hivi na siyo kudandia forum za watu.
Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo. Nakushangaa ww unayejiita mtaalamu hata browser haujatengeneza.
HUMU KUNA NYUZI NYINGI SANA HAZIJAJIBIWA LKN KWA VILE NYIE NI BORA KULIKO WENGINE MEUONA HUU
Si ujuha huu
Sorry...
Kwa uzoefu wangu mimi windows 10 is a best ever
Kwa ishu yako mkuu ya kuto kupungua mwanga ilo ni swala la drivers tu..
Nikushaur... unapoweka windows yeyote ile fanya UPDATED online.. ili upate latest driver na zinazo endana laptop/computer yako
Njia nzuri ambayo HATA mimi naitumia
Baada ya ku istall window.. na istall software SLIMDRIVER hiyo software itakupa option ya ku scan laptop yako na kubainisha driver zilizo miss na zile zilizo out of date....
Ni simple sana. maana iyo software ni free na uta update laptop/computer yako BURE KABISA
WINDOWS 10 IS BETTER
 
Watu wengine ubishi ni jadi yao. Katika hiki kitengo watu wanakuwa huru kurekebishwa pale ambapo alikosea. Techology kila leo inabadilika na yaweza kuwa wewe uko level fulani na mwenzako akawa juu kidogo. Haitakiwi kukariri.ili upate na kuelewa yakubidi kuuliza na kufanya research kwa kile unachoambiwa. Mada ilikuwa nzuri ila baadhi ni waelewa.usitake unachoamini wewe basi ndiyo iwe suluhisho.sababu yaweza kuwa unachokiamini ni kosa au nimatokeo ya hitlafu/ vigezo fulani. Ulikoishia wewe wengine ndiko walikoishia.
 
m
Mkuu install window 8 ndiyo nzuri na pia inasoftware nyingi.
-Window 8.1 kuna baadhi ya program inakataa mfano wale wanaotumia nokia kuna program inaitwa Joikuspot inakataaa kbsa hata kaspersky antivirus inakataaa.
-Window 10 ina program chache na tatizo lake inamwanga mkali na huwezi kupunguza hata ukipiga driver pack solution inakataaaa
-window 8.1.1 nayo ni kimeo tu

Window ninazozikubali ni 7 & 8 pro sbb ni rahisi kutumia, zina features na program nyingi.. Bit 64 ndiyo mwake
mbona mimi natumia windows 10 mkuu na mwanga napunguza na kuongeza vizuri tu.
 
Mkuu install window 8 ndiyo nzuri na pia inasoftware nyingi.
-Window 8.1 kuna baadhi ya program inakataa mfano wale wanaotumia nokia kuna program inaitwa Joikuspot inakataaa kbsa hata kaspersky antivirus inakataaa.
-Window 10 ina program chache na tatizo lake inamwanga mkali na huwezi kupunguza hata ukipiga driver pack solution inakataaaa
-window 8.1.1 nayo ni kimeo tu

Window ninazozikubali ni 7 & 8 pro sbb ni rahisi kutumia, zina features na program nyingi.. Bit 64 ndiyo mwake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom