Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Nimehuzunika sana kuona wasanii wa bongo fleva wakiimba wimbo huo ambao hauna maana kwa MTANZANIA WA HALI YA CHINI.JE wasanii wetu wametumia akili kusifia miaka 50 ya uhuru kwa kusema eti tuna amani,sijui nini nini....
Wameisifia SERIKALI wakati hakuna lolote.....Kweli wasanii wa bongo fleva ni MAJUHA KABISA. Waje huku kijijini kwangu waone jinsi tunavyo lala na njaa ndani ya miaka 50 ya uhuru.Kifupi waneniudhi sana.
Wameisifia SERIKALI wakati hakuna lolote.....Kweli wasanii wa bongo fleva ni MAJUHA KABISA. Waje huku kijijini kwangu waone jinsi tunavyo lala na njaa ndani ya miaka 50 ya uhuru.Kifupi waneniudhi sana.