Nini kifanyike kwenye bongo fleva ya Sasa?

Zombie S2KIZZY

JF-Expert Member
Mar 15, 2021
823
1,613
Wakuu mambo vipi ?
Kutokana na maoni ya mashabiki wengi wa huu muziki wetu pendwa wa bongo fleva kwamba muziki wa Sasa hauna ladha kama muziki wa zamani ,
Je nini kifanyike? Tufanye kama zamani au vipi?
Na generation ya sasa hivi wanasemaje kuhusu muziki wetu wa Sasa tuendelee nao au kama maproducer tushirikine na maproducer wa zamani au wasanii wazamani?
Je wanasema muziki umeharibiwa ,wamlaumu nani mwenye makosa,
Je ni sisi maproducer,wasanii,media,wadau,au mashabiki wanaohitaji sound ya Sasa?
NB:Maoni yako ni muhimu ,
Changia hoja kistaarabu bila kejeli,dhihaka, na matusi.

Hapo chini nimekuwekea baadhi ya midundo ya zamani na ya Sasa.

Nawapenda mashabiki zangu.
 

Attachments

  • Diamond Platnumz ft Chley Nkosi - SHU.mp3
    4.3 MB
  • Daz baba - Nipe tano(MP3_128K).mp3
    4.4 MB
  • Mandojo _ Domokaya - Nikupe(MP3_128K) (1).mp3
    4.5 MB
  • ​_Costa Titch _ _Diamond Platnumz - Superstar ft Ma Gang Official (Official Music Video) _ Am...mp3
    4.4 MB
  • Patoranking - Kolo Kolo [Feat. Diamond Platnumz] (Official Music Video)(MP3_128K).mp3
    3.4 MB
  • JUGNI _ OFFICIAL MUSIC VIDEO _ DILJIT DOSANJH X DIAMOND PLATNUMZ(MP3_128K).mp3
    3.3 MB
  • Lulu Diva Ft Rich Mavoko - Ona (Official Video)(MP3_128K).mp3
    2.8 MB
  • WEUSI - SWAGIRE (Official Music Video)(MP3_160K).mp3
    5.1 MB
  • Nikki Wa Pili Ft Joh Makini X S2kizzy - Hesabu (Of(MP3_128K).mp3
    3.8 MB
  • InShot_20231015_110807727.mp4
    2.9 MB
Wakuu mambo vipi ?
Kutokana na maoni ya mashabiki wengi wa huu muziki wetu pendwa wa bongo fleva kwamba muziki wa Sasa hauna ladha kama muziki wa zamani ,
Je nini kifanyike? Tufanye kama zamani au vipi?
Na generation ya sasa hivi wanasemaje kuhusu muziki wetu wa Sasa tuendelee nao au kama maproducer tushirikine na maproducer wa zamani au wasanii wazamani?
Je wanasema muziki umeharibiwa ,wamlaumu nani mwenye makosa,
Je ni sisi maproducer,wasanii,media,wadau,au mashabiki wanaohitaji sound ya Sasa?
NB:Maoni yako ni muhimu ,
Changia hoja kistaarabu bila kejeli,dhihaka, na matusi.

Hapo chini nimekuwekea baadhi ya midundo ya zamani na ya Sasa.

Nawapenda mashabiki zangu.
mi nadhani waendelee hivohivo kupiga makwaito na mamidundo ya souz na nigeria kwa kila wimbo ili bongo flava ipotelee huko huko kusikojulikana, maana hukuna namna nyingine sasa....
 
Wakuu mambo vipi ?
Kutokana na maoni ya mashabiki wengi wa huu muziki wetu pendwa wa bongo fleva kwamba muziki wa Sasa hauna ladha kama muziki wa zamani ,
Je nini kifanyike? Tufanye kama zamani au vipi?
Na generation ya sasa hivi wanasemaje kuhusu muziki wetu wa Sasa tuendelee nao au kama maproducer tushirikine na maproducer wa zamani au wasanii wazamani?
Je wanasema muziki umeharibiwa ,wamlaumu nani mwenye makosa,
Je ni sisi maproducer,wasanii,media,wadau,au mashabiki wanaohitaji sound ya Sasa?
NB:Maoni yako ni muhimu ,
Changia hoja kistaarabu bila kejeli,dhihaka, na matusi.

Hapo chini nimekuwekea baadhi ya midundo ya zamani na ya Sasa.

Nawapenda mashabiki zangu.
Watu waache kuwa misukule, watumie akili zao
 
Huu muziki haujabadilika kwa siku moja, umechukua hatua katika kubadilika huko.

Na waliochangia kuubadilisha ni industry nzima naweza kusema, tukianzia kwa wasanii wenyewe kuiga vya nje na kusahau vya nyumbani.

Maprodyuza kuwabadilisha watu kwa kile msanii anachokifanya na kumtaka afanye tofauti na vile anavyoomba msanii.

Media kukumbatia na kukuza ujinga ujinga tu at the meanwhile wanaua vipaji vya wasanii wengine ambao wako real and talented as well.

Sasa kuja kuubadilisha tena na kuutoa kwenye mstari uliopo sasa hivi sio suala la mara moja ni process. Kwenye swali lako la nini kifanyike angalieni mlipojikwaa sio mlipoangukia.

Kila la heri...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom