GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,575
- 108,931
Na tayari nimeshaanza Kuusikia huu Wimbo ukianza Kuimbwa na Watangazaji kadhaa wa Redio Asubuhi hii na najua kwa sasa baada ya Bahasha za Pesa za Makusanyo za Saidia Taifa Stars kupenyezwa kwa Wahariri, Watangazaji na Wachambuzi na ili Kujikomba kwa Mheshimiwa Rais huu Wimbo utaimbwa kila mara na Wengine hata kuwasaidia kupata Teuzi za Kisiasa / Kiserikali.
Wimbo pekee ambao tunatakiwa Kuuimba hasa ni kwamba 'tumetolewa kwa Uzembe, Wachezaji kutojitoa Kikamilifu na Siasa za CCM na Chawa wenye Nuksi kuhusishwa' basi.
Wimbo pekee ambao tunatakiwa Kuuimba hasa ni kwamba 'tumetolewa kwa Uzembe, Wachezaji kutojitoa Kikamilifu na Siasa za CCM na Chawa wenye Nuksi kuhusishwa' basi.