Wimbo mpya wa Anjella-Nobody

Wimbo mpya wa Anjella-Nobody

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,520
Reaction score
2,059
Habarini JF.

Kwa kitendo hivhi kinachoondelea kiukweli hakuna pale msanii yaani WIMBO mbovu saana Tena saana.

Tatizo anamuiga sana ZUCHU na manajiment Yake kiujumla bado inawawaza sana WCB.

Kiukweli huu Ni ukweli mchungu Sana Ila yote haya kayataka mmakonde underground [emoji23][emoji23][emoji23]

Na kwa stahili hii acha WCB waendeleee kurun game ya bongo flavour.

WCB na NLM ndio LABEL kubwa EAST AFRICA.
 


1620819884522.png
 
Ni lebo ya mchungaji mzimbabwe anayeishi marekani ambae anamfadhili jahprazah na ameweka nusu ya uwekezaji ambapo imeanzishwa kwa mgongo wa rayvany lakini vanyboy ni msimamizi tu pale na mgao unakwenda wcb na kwa huyo paster mzimbabwe
Endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora hata huo mashahiri yake unaweza kusikiliza ukiwa na watoto...leo nimepishana na watoto wanatoka shule wanaimba eti "kwenye zipu kuna kirungu usikamate utawaita wazungu baikoko"
Mashahiri kwenu hapa Ni hit song tu
 
Back
Top Bottom