homeless1
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 427
- 948
Wiki hii niliamua ku download nyimbo mpya za bongo ili zinifariji kwenye hichi kipindi kigumu cha maisha sababu na amini burudani ya muziki ni rahisi kukupunguzia mawazo, Nilikosa radha halisi ya bongo na sikupata hata nyimbo ya kunifariji nikahisi labda sababu ni mimi kua na mambo mengi lakini baada ya kufikiria nikagundua muziki hauna radha kama zaman na hizi ndo sababu ninazoona zimetufikisha hapa
1. Production, producers wa sasa hivi wanaleta midundo inayochosha kuisikiliza imagine huwezi ukapata producer ambae ameliteka soko sababu ya midundo yake mikali,Zaman tulikua na p funk majani baba paula ,Master J,Mika mwamba,Nahreel na wengine kibao wakali hawa watu walileta midundo mikali ambayo msanii hata akiimba vibaya bado inambeba, chukulia mfano nyimbo za Mr nice midundo yake au hata mpenzi ya Dudu Baya aliyoandaa mika mwamba,Fagio la chuma,au hata Pico kikongwe nyimbo wasanii wanaimba kawaida ila midundo iliwabeba,,,Huwezi amin P funk aliandaa midundo mikali kwa vifaa vya kawaida tena ghetto kwake hili kathibitisha kipindi kajala anawekwa kinyumba kwa siri akiwa mwanagunzi alisema kua alikua analala na kujifunika blanket kuogopa aibu ya kuonekana mwanafunzi mzinzi wakati kina Juma nature wanatengeneza hits zao
2. Ideas na Melodies, Idea za sasa ni nyepesi mno na melodies ni za kawaida sana,yaani wasanii wa sasa hawajui kuumiza kichwa,Idea karibu zote ni za mapenzi utawasikia wasanii jinsi gani wanaumizwa,au jinsi gani wanapenda,au jinsi gani wanajua kufanya mapenzi ,au jinsi gani mademu zao wazuri na wana maumbo au hata wanawafikishaje kileleni, kuna muda wasanii walikua na idea za mapenzi nyingi zilikua tofauti na melodies zilisimama,mfano kipind kina linah na Barnaba wanatoa wrong number au Diamond anatoa kamwambie,mbagala..na idea zaman ziligusa kila angle za maisha na zilikua na melodies Kali sana
3. Uandishi, wasanii wa sasa sio waandishi wazuri na hata wanaowaandikia wasanii sio waandishi wazuri imagine eti Foby ni moja ya waandishi bora kabisa Tanzania na kawaandikia wasanii wengi lakin hata yeye hajiandikii vizuri,et chin bees nae mwandishi na ana jikubali ila Kila siku anaandika vilevile,Siamin bongo kwa sasa kuna msanii ananunua daftari kwa ajili ya kuandika tu kitu cha lazima kabisa kwa wasanii wa zamani
4. Matusi: jamani wasanii wa sasa wanajua kutukana nlikua nasikia All night ya harmonize mmakonde kaja na Nyimbo Kali sana alinikata maini aliposema anahamisha pale nilipozoea anataka niweke kwenye mtaro,nikasikia Baikoko ya Mbosso nikaishia pale Diamond aliposema demu anataka anipeleke kwetu pekupeku akamalizia kunduchi juu anifikishe kwetu,Yaan mondi afiki akila mbele mpaka nyuma,nikaacha nikatazama trace mziiki nikaskia bonge la mdundo na melod nikafungua shazzam kuupata wimbo ulikua Baila ya Malaika jaman ile nyimbo ni kali lakini huwezi kaa ukaimba au ukataman yaan uwekezaji wa ovyo kabisa,,,inaanza tu anaimba inapoingia pekupeku yan mpaka inazama.
5. Media conflicts: Hapa sasa ndo unaweza kuchoka kuna wiki niliskia top ten ya redio moja nikakuta Nyimbo namba moja haipo kwenye top 20 ya redio nyingine daaa yan kila redio ina Nyimbo zake bora mpaka kwenye chart zao ,matamasha yao Kila redio na wasanii wake
6. Kukopi ideas na beats toka nje, Saizi tofauti na zamani hatuna identity ya muziki wetu inaweza sound kama naija au hata south ,nakumbuka bongo fleva zamani tulipata radha halisi kabisa ya muziki wetu saizi tupo kuigaiga tu na ni kwa wote wasanii na producers
7. Upcoming Artist,: zamani tulikua na ma underground hata watatu wanaokuja kubadilisha game,saizi ma underground wanasaound kama wasanii waliopo kwenye game ,hii inauma sana underground wa nchi kama Nigeria wanawatoa kabisa wazoefu kwenye game nje ya reli chukulia mfano Tens,Tems,Simi,Omah Lay,Rema,Fireboy Dml,Ckay,niniola,ransome uje ufananishe na underground wetu mbingu na Ardhi
8. WCB, ni ngumu kuamini WCB empire mbali na kufanya vizuri lakini wamechangia sisi kutopata radha halisi ya muziki,sababu ni kua kwa sasa hawana Nyimbo Kali Lava Lava wa bora tuachane na ni huyuhuyu wa walewale,Mboso na Rayavan hawabadiliki tena afadhali na walivokua zamani ,Diamond yupo mbali sana kum Judge jamaa anajua,Zuchu ni upcoming nimuache,Queen hajui lolote, japokua wana peleka mziki international ila wanamadhaifu makubwa naliona hili hata kwa KM music na NLM
9. Bifu za wasanii, Bifu za wasanii was sasa zipo personal sana zamani zilikua bifu za kazi mfano East Coast na TMK, Fid Q na Joh Makini na wengine walifanya bifu kulingana na muziki wao,,Mfano wa bifu ya sasa ni Rayvan na Harmonize ipo too personal na zingine mnazijua
10. Kiki ,mziki wa sasa unakuja na kiki kubwa sana kupita wimbo yaani inakuja kiki hata unawaza ni Nyimbo gani itakuja kufunika hio kiki, zamani kiki ya Juma na Sinta ilileta inaniuma sana na sitaki demu,WCB na konde inaleta Vibaya, hakika wasanii mpo kutuonea
NB: pamoja na yote hongereni kwa video production mnakuja na videos Kali na zinavutia kutazama
1. Production, producers wa sasa hivi wanaleta midundo inayochosha kuisikiliza imagine huwezi ukapata producer ambae ameliteka soko sababu ya midundo yake mikali,Zaman tulikua na p funk majani baba paula ,Master J,Mika mwamba,Nahreel na wengine kibao wakali hawa watu walileta midundo mikali ambayo msanii hata akiimba vibaya bado inambeba, chukulia mfano nyimbo za Mr nice midundo yake au hata mpenzi ya Dudu Baya aliyoandaa mika mwamba,Fagio la chuma,au hata Pico kikongwe nyimbo wasanii wanaimba kawaida ila midundo iliwabeba,,,Huwezi amin P funk aliandaa midundo mikali kwa vifaa vya kawaida tena ghetto kwake hili kathibitisha kipindi kajala anawekwa kinyumba kwa siri akiwa mwanagunzi alisema kua alikua analala na kujifunika blanket kuogopa aibu ya kuonekana mwanafunzi mzinzi wakati kina Juma nature wanatengeneza hits zao
2. Ideas na Melodies, Idea za sasa ni nyepesi mno na melodies ni za kawaida sana,yaani wasanii wa sasa hawajui kuumiza kichwa,Idea karibu zote ni za mapenzi utawasikia wasanii jinsi gani wanaumizwa,au jinsi gani wanapenda,au jinsi gani wanajua kufanya mapenzi ,au jinsi gani mademu zao wazuri na wana maumbo au hata wanawafikishaje kileleni, kuna muda wasanii walikua na idea za mapenzi nyingi zilikua tofauti na melodies zilisimama,mfano kipind kina linah na Barnaba wanatoa wrong number au Diamond anatoa kamwambie,mbagala..na idea zaman ziligusa kila angle za maisha na zilikua na melodies Kali sana
3. Uandishi, wasanii wa sasa sio waandishi wazuri na hata wanaowaandikia wasanii sio waandishi wazuri imagine eti Foby ni moja ya waandishi bora kabisa Tanzania na kawaandikia wasanii wengi lakin hata yeye hajiandikii vizuri,et chin bees nae mwandishi na ana jikubali ila Kila siku anaandika vilevile,Siamin bongo kwa sasa kuna msanii ananunua daftari kwa ajili ya kuandika tu kitu cha lazima kabisa kwa wasanii wa zamani
4. Matusi: jamani wasanii wa sasa wanajua kutukana nlikua nasikia All night ya harmonize mmakonde kaja na Nyimbo Kali sana alinikata maini aliposema anahamisha pale nilipozoea anataka niweke kwenye mtaro,nikasikia Baikoko ya Mbosso nikaishia pale Diamond aliposema demu anataka anipeleke kwetu pekupeku akamalizia kunduchi juu anifikishe kwetu,Yaan mondi afiki akila mbele mpaka nyuma,nikaacha nikatazama trace mziiki nikaskia bonge la mdundo na melod nikafungua shazzam kuupata wimbo ulikua Baila ya Malaika jaman ile nyimbo ni kali lakini huwezi kaa ukaimba au ukataman yaan uwekezaji wa ovyo kabisa,,,inaanza tu anaimba inapoingia pekupeku yan mpaka inazama.
5. Media conflicts: Hapa sasa ndo unaweza kuchoka kuna wiki niliskia top ten ya redio moja nikakuta Nyimbo namba moja haipo kwenye top 20 ya redio nyingine daaa yan kila redio ina Nyimbo zake bora mpaka kwenye chart zao ,matamasha yao Kila redio na wasanii wake
6. Kukopi ideas na beats toka nje, Saizi tofauti na zamani hatuna identity ya muziki wetu inaweza sound kama naija au hata south ,nakumbuka bongo fleva zamani tulipata radha halisi kabisa ya muziki wetu saizi tupo kuigaiga tu na ni kwa wote wasanii na producers
7. Upcoming Artist,: zamani tulikua na ma underground hata watatu wanaokuja kubadilisha game,saizi ma underground wanasaound kama wasanii waliopo kwenye game ,hii inauma sana underground wa nchi kama Nigeria wanawatoa kabisa wazoefu kwenye game nje ya reli chukulia mfano Tens,Tems,Simi,Omah Lay,Rema,Fireboy Dml,Ckay,niniola,ransome uje ufananishe na underground wetu mbingu na Ardhi
8. WCB, ni ngumu kuamini WCB empire mbali na kufanya vizuri lakini wamechangia sisi kutopata radha halisi ya muziki,sababu ni kua kwa sasa hawana Nyimbo Kali Lava Lava wa bora tuachane na ni huyuhuyu wa walewale,Mboso na Rayavan hawabadiliki tena afadhali na walivokua zamani ,Diamond yupo mbali sana kum Judge jamaa anajua,Zuchu ni upcoming nimuache,Queen hajui lolote, japokua wana peleka mziki international ila wanamadhaifu makubwa naliona hili hata kwa KM music na NLM
9. Bifu za wasanii, Bifu za wasanii was sasa zipo personal sana zamani zilikua bifu za kazi mfano East Coast na TMK, Fid Q na Joh Makini na wengine walifanya bifu kulingana na muziki wao,,Mfano wa bifu ya sasa ni Rayvan na Harmonize ipo too personal na zingine mnazijua
10. Kiki ,mziki wa sasa unakuja na kiki kubwa sana kupita wimbo yaani inakuja kiki hata unawaza ni Nyimbo gani itakuja kufunika hio kiki, zamani kiki ya Juma na Sinta ilileta inaniuma sana na sitaki demu,WCB na konde inaleta Vibaya, hakika wasanii mpo kutuonea
NB: pamoja na yote hongereni kwa video production mnakuja na videos Kali na zinavutia kutazama