myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 615
- 234
Wakuu kuna DJ moja alikuwa anaitwa Mangapi, je kuna mtu anataarifa zake? Mara ya mwisho kumtia usono ilikuwa mwanzoni mwa 1990, mtaa wa TOGO, Kinondoni A.
dj Mangapi kwa taarifa nilizozipaga amefariki mkuu...alikuwa anapatikana sana MERIDEAN(MASAI CLUB) kinondoni...miaka ya mwisho ya uhai wake