Wimbi la wanawake viazi

Wimbi la wanawake viazi

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
748
Reaction score
789
Ndugu wanajamvi kutokana kuwa na wimbi kubwa la wanawake viazi wanaume siku hizi wamekuwa ndo wanahemea nyanya sokoni, wanapika, wanasafisha nyumba, wanaosha vyombo nk.


Ndugu zangu wanaume tuweni magentromen inasikitisha Sana dume zima unaosha vyombo mkeo yupo Instagram.


Suluhisho la tatizo hili wanaume tuwe magentromen usipende kucheka cheka na mke wako without reason

Am done wakuchukua achukue
 
Kama wewe ni kibovu basi mkeo atakuwa ni kiazi kibovu.
 
Ndugu wanajamvi kutokana kuwa na wimbi kubwa la wanawake viazi wanaume siku hizi wamekuwa ndo wanahemea nyanya sokoni, wanapika, wanasafisha nyumba, wanaosha vyombo nk.


Ndugu zangu wanaume tuweni magentromen inasikitisha Sana dume zima unaosha vyombo mkeo yupo Instagram.


Suluhisho la tatizo hili wanaume tuwe magentromen usipende kucheka cheka na mke wako without reason

Am done wakuchukua achukue
kama niwewe umebananishwa omba ushauri usilete upimbi.
 
Ndugu wanajamvi kutokana kuwa na wimbi kubwa la wanawake viazi wanaume siku hizi wamekuwa ndo wanahemea nyanya sokoni, wanapika, wanasafisha nyumba, wanaosha vyombo nk.


Ndugu zangu wanaume tuweni magentromen inasikitisha Sana dume zima unaosha vyombo mkeo yupo Instagram.


Suluhisho la tatizo hili wanaume tuwe magentromen usipende kucheka cheka na mke wako without reason

Am done wakuchukua achukue
Hujui hata maana ya kuwa gentleman. Kiazi/kilaza namba moja ni wewe
 
Ndoa yako imekushinda unataka na wenzako waharibu? Kwani kuna shida gani ukimsaidia mkeo kupika au kuemea?
 
Kama ww ni gentleman na unaosha vyombo your pathetic
There is nothing sexier than a dude who can help his woman, cook, wash etc. in the house.
There is nothing worse than a guy who assume its up to 'the woman to cook, wash etc.

Usimwaibishe mwalimu wako nwa kingereza
 
Kamusi tafadhali,gentromen Ndio nini?
Ameniboa kiasi kwamba sikugundua kuwa hata neno lenyewe hajui kuliandika. kilaza kweli huyu asante [TAG]Maserati[/TAG]

CC [TAG]Kibovu[/tag] kweli wewe ni kiazi
 
Back
Top Bottom