Wilson Mukama: Public and Private Profile

Sasa Daktari anae-kufanyia uchunguzi na akagundua ugonjwa na akasema anaweza kukutibu, umuache ukatafute mwingine?
 
Huu ni ufisadi mwingine, hapo wame2pa tena hoja. Bomu jingine kwa CCM. Mi nakipenda hiki chama kwa kuboronga!!. Kwa hilo Hawa Ghasia anatakiwa ajiuzuru
 
I believe u made a big mistake in putting up this criticism. Actually umetoa maneno mengi tu ya kumsifia huyu Mukama!
I wish to point out kuwa header ya thread imefanyiwa editing without my consent or even consultation na one of the JF's unknown moderators

Header yangu ilikuwa : WILSON MUKAMA: Public and Private Profile

Sijaweka bado personal view kama ambavyo thread header inavyosema ila nimeweka criticism on the article ambayo MUKAMA aliandika kujisifia



02_11_hvcj74.jpg



Naam in continuing with our tradition ya KU RECYCLE WATAWALA this time tumeletewa huyu jamaa ambaye if anything

-Alikuwa mstari wa Mbele kuwatisha Madaktari walipogoma Muhimbili. By then alikuwa ni Permanent Secretary wizara ya afya. Badala ya kutafuta njia ya maana ya kutatua ule mgogoro he was busy devising brutal methods za kuuzima ule mgomo badala ya kuangalia njia mbadala.



-Alipokuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar hakuna lolote la maana alilolifanya ambalo tunaweza kusema kuwa lili kuwa ni major achievement zaidi ya kuwa the City was more dirtier, unsafe and disorganised than ever. Traffic police wakapewa kazi za kudumu kuongoza magari badala ya kutengeneza taa za kuongeza magari. Waliofanya naye kazi kule jiji wanasema kuwa huyu bwana if anything ali alienated a lot of people (direct and indirect) not necessarily with his policies, but with his undisguised belief kama alivyokuwa Keenja that Dar belonged to him. Bwana Mukama alisahau kuwa he was there to serve wana Dar lakini instead treated jiji like his fiefdom.

Mtakaosema kuwa namwonea lakini lets face it yeye mwenyewe aliwahi kusema hivi alipokuwa City Director:

"I want to see a much more livable Dares Salaam -- in terms of security, of course, but especially in terms of affordability".....a much more planned Dares Salaam" would eventually lead to "a much more manageable", "much cleaner" and "much safer" city.


The truth ni kuwa what we got from him was the opposite

Na kwa kuonyesha kuwa he is out of touch hebu soma solution yake kuhusu vijana wanaotafuta rizki Dar:

"of course, we have to address the causes underlying rural problems. We have to encourage the youth to stay in the rural areas so that there is less migration to Dares Salaam. But that means that there must be viable economic activities to sustain them there--cash crops, good living conditions and availability of services, for which they normally come to town, such as education, health and the provision of safe water. The temptation to move will ease if these services are made available within our rural areas and if the people there have some gainful economic activities--they produce their crops and they sell them.



Typical response from out of touch City Director ambaye kasahau kuwa its basic human right ya Mtanzania kuishi kokote kule atakako Tanzania without interference from people like MUKAMA.

Anazungumzia kupeleka huduma vijijini lakini nani kamwambia kuwa kila kijana anataka kuishi kijijini? au kila kijana anataka kuwa mkulima? dont worry, haya ndio mawazo na mentality ya MUKAMA juu ya vijana ...wakae vijijini wawe wakulima. Cha ajabu wanawe hawaishi vijijini.

MUKAMA THE RACIST:

Showing out of touch na jiji la Dar Mukama anaendelea kuwatuhumu vijana toka mikoa ya kusini kujaza jiji la Dar bila any supporting data or any facts kwa kudai kuwa:

"Most of these young men, who peddle goods on the road, are from the South."


really? Kama anazungumzia Immigration caps to Dar why single out vijana from Kusini?

MUKAMA THE OUT OF TOUCH:

Huyu bwana anajisifia alivyotumia pesa za walipa kodi kwenda kwenye mikutano ya kimatafaifa kwa kusema hivi:

In my one year as City Director of the City Council of Dar es Salaam, I have benefited from attending a number of international conferences. Some of the best practices discussed at these conferences have contributed immensely to my understanding of the ways local authorities around the world are getting the people involved, especially in the area of governance
.

Ukweli ni kuwa local authorities Dar chini yake hazikuwa involved kwenye chohcote kile. Mfano chini yake leseni za Bar zimetolewa kama uyoga bila kuzingatia sheria za serikali za mitaa ( msisahau alishawahi kuwa TAMISEMI) ambazo ziko very strict on eneo la mraba na time ambazo hizi bar zinatakiwa kufunguliwa. Maoni ya wananchi waliopo eneo lile, issues za afya na biala kusahau wagonjwa na watoto..mfano mzuri chini ya uongozi wake eneo lilalo zunguka hospitali za Mwananyamala na Ilala zimekuwa na Baaa nyingi ambazo zinapiga makelele za miziki mpaka saa 9 usiku bila kuzingatia wagonjwa na watoto ambao wanatakiwa kwenda kusoma kesho yake.

Sasa whats the point of kujisifia kwenda kusoma halafu kakuna faida ya hiyo misafara?

KUHUSU DAR

Mukama the Walter Mitty Character anasema hivi:

"I want to see a much more livable Dar es Salaam--in terms of security, of course, but especially in terms of affordability. A city, in other words, where people have a good income and can afford to pay for the various services available to them--housing, transport, recreation areas. We plan to carry out an urban renewal in some areas, because if we don't have enough open spaces, our city won't be able to breathe and will choke. We are attempting to make our beaches safe and clean so that people can relax there. They should not just always spend their free time inside their houses because they have no better choice. We need more open spaces, with more gardens, recreational parks."


Sina haja ya kusema mengi kuhusu hili kwani kila mtu anajua what we got in return.


Baadae ntarudi na mengine

Lakini in short this is another incompetent propagandist aliyeteuliwa ambaye hana jipya...infact amekuwa RECYCLED like the other lot

source ya majisifa aliyojipa Mukama iko hapa:

'A Much More Livable Dar Es Salaam': Sustainable Urban Development. Magazine Title: UN Chronicle. Volume: 38. Issue: 1. Publication Date: March-May 2001. Page Number: 24+. COPYRIGHT 2001 United Nations Publications


 
Sasa Daktari anae-kufanyia uchunguzi na akagundua ugonjwa na akasema anaweza kukutibu, umuache ukatafute mwingine?

Sasa wewe Majimshindo unaleta utani. Unasema daktari anae wakati yupo kwenye pay roll ya serikali na sio CCM, sasa ane kivipi. Suala hapa ni kwanini Mkama aishi kwa kodi ya watanzania wapatao milioni 43 wakati anaifanyia kazi CCM yenye wanachama ambao hata baada ya kuchakachua idadi ni milioni 5 tu? Tumia ubongo na sio tumbo katika kufikiri ndugu yangu
 
Anaweza kuwa incompentent katk sehemu hizo nyingine ulizosema lakini akawa ameshinda ndani ya chama. kwa hiyo tutampima baadaye maana sijamsikia sana katika siasa ndiyo leo namsikia. Ila naona kama is another gamble for JK
 
Nyoka ndie huvua magamba yake"ngozi ya juu". Ina maana CCM ni kama Nyoka. Na kwa nyoka asili yake Shetani!! Na Nyoka huvua gamba lake lote na la kichwa. Mbona Kikwete ndo kichwa cha CCM hakuvuliwa!! Kwani Membe, Mkuchika na Chiligati ni mafisadi mpaka tuseme chama kimejisafisha????
 
Kwa hyo makamba aliwafaa sana? Duu.

Mbona munahangaika sana na Mukama, Makamba, CCM na uchafu wao?

Kwani nyoka akivua gamba anakuwa mbuzi wa shughuli. Mukama like Makamba is another liability.

Huwezi kubadilisha CCM kwa kubeba kiumbe kingine kilichotumika na CCM kwa miaka yote hiyo na ukategemea eti umefanya changes!

TAKA-TAKA!
 
Is he a politician?

Mukama sio mwanasiasa wa kuweza kuhimili mikikimikiki ya akina Dr Slaa. Ningekuwa ndani ya akili na utashi wa JK, Kinana angekuwa chaguo langu kwa sasa. Kwa nini Kinana anakwepa jukumu hili mimi sielewi.
 
wakuu kama ni huyu kwenye picha, jamaa anauwezo mkubwa sana wakutetea hoja hata kama ni PUMBA, Nilimwona wakati wakampeni jamaa alijitahidi kutoa data za kutetea chama na kwa kweli aliweza kutetea sehemu kubwa JAMAA NI MZURI tatizo ni huo ufisadi wa ccm!
 
This guy seems to be better off makamba and many more withn CCM,kwa hili nakupa tano JK.Dhamira njema.

hakuna dhamira hapa. Nape hali yake ni mbaya kwani UKIONDOA WAJUMBE WA KUDUMU, anazungukwa na pro RA and EL. EITHER JMK HANA UHUSIANO MZURI NA TISS (MANAKE TETESI NI KUWA BOSI NI PRO RA) OR ANACHEZA NA PUBLIC MAKUSUDI. HAKUNA JIPYA JAMANI...THE WHOLE SYS. IS CORRUPTED
 
watu mmejaa majungu tuuuuu humu,sifieni panapostahili,tunahitaji wanaCDM wenye hekima na busara humu ndani,mana mnatufanya hata watu ambao kazi yetu ilikuwa ni kusoma tu hii page tuanze kuboreka,hebu tuifanye hii page iwe ya kizalendo zaidi we will get more and more people,master wetu mwenyewe(Mbowe) kakubali hilo chezo walioicheza CCM,huo ndo utashi wa kisiasa,penye urojo unasema na penye mnofu unapasema,kilichobaki ni kuwa watendaji ndani ya serikali nao waanze kubandua magamba yao mapema,kamanda mbowe na wenzie watusaidie ili kukamilisha hili mana moja kati ya majukumu ya vyama vya upinzani inapoisha uchaguzi ni pamoja na kuikosoa serikali ili ifanye vzuri siyo majungu tu kama ambavyo wanaJF wengi wanadhani.
 
Ninavyofahamu Katiba ya CCM, Katibu Mkuu na hata wale makatibu wa mikoa wanatokana na wajumbe wa NEC ya CCM. Wilson Mukama sio MNEC. Anapewaje Ukatibu Mkuu?
 
hahahaaaaa asante bwana mkubwa
Sio kama wewe sio mwana CCM unataabika na nini...au huko ni kujikomba? CCM kama chama wametafakari na wamegundua he is the only clean guy amongst themselves...ukweli hata mimi nilitarajia kuwa huyo mzee angeleiweza kupewa hiyo nafasi...hebu tazama mdahalo fulani pale ITV akiwa anongea kuhusu uchaguzi kama muwakilishi wa CCM...mlingasnishe na Chiligati au Tambwe Hiza....hata hivyo Zito Kabwe atakuwa mahututi kwani alichelewa kutoa uamuzi wa kuhamia CCM ili apewe nafasi aliyopewa NAPE.
 
ikiwa Mkama ndani ya ccm ndiye anaonekana kuwa the best chief strategist (Gen Secretary) basi ccm is in the blink of corrupsing. Kwa sababu for sure, mbali ya utendaji wake ktk nafasi zote alizowahi kuzawadiwa, ni mbabaishaji just like Makamba. I expected ccm wangekuja na mtu anayeweza kuonekana au kuwa na mvuto wa kisiasa kama walivyo makatibu wakuu wa vyama vya upinzani.

Jk ameondoa garasa, kisha amechagua garasa.
 
ikiwa Mkama ndani ya ccm ndiye anaonekana kuwa the best chief strategist (Gen Secretary) basi ccm is in the blink of corrupsing. Kwa sababu for sure, mbali ya utendaji wake ktk nafasi zote alizowahi kuzawadiwa, ni mbabaishaji just like Makamba. I expected ccm wangekuja na mtu anayeweza kuonekana au kuwa na mvuto wa kisiasa kama walivyo makatibu wakuu wa vyama vya upinzani.

Jk ameondoa garasa, kisha amechagua garasa.


Sawa sawa mkuu wangu
 
Back
Top Bottom