Huyu ni Mkerewe aina ya Wahaya - tabia sawa. Au la ni Mgita
Sifa ya mara hakuna ufisadi, Hakuna historia ya ufisadi.teh teh teh
Huyu ni Mkerewe aina ya Wahaya - tabia sawa. Au la ni Mgita
Sifa ya mara hakuna ufisadi, Hakuna historia ya ufisadi.teh teh teh
Akina Advocate Mkono, Maregesi ni wa wapi?
anaweza kuwa ana mapungufu yake, lakini comment ulizo weka hapa zinaonyesha ni mtu mwenye uelewa, na kama ni utekelezaji hilo suala la social services huko vijijini nk si darisalaam , kama city director bali la kitaifa hivyo lipo nje ya uwezo wake wakati huo, sasa kama unaona kuna maneno menngine angeya tumia kuongelea hiyo rural to urban migration na vice versa ebu tupe. lakini point alizo ongea ni very relevant. kuhusu mgomo wa madkatari anaweza kuwa alipotoka/alikosea kutokana na nature ya viongozi wengi wa serikali/chama kuona wao ndio wao wengine hawajui kitu, but humn habits huwa zinabadilika kutokana na challenge zilizopo. ni sawa na wewe na mimi tunaweza kujiadjust na maisha kutokana na hali tunayo kabiliana nayo. leo hii wajapan walio zoe kila kitu bie, leo wanakubaliana na hali ya kuishi maisha tete, hakuna umeme/mgawo nk nk
Hivi CCM ni ya wananchi wote au wanachama? kama wanachama wamemcahgua kelele za nini? za toka wapi?
Hivi ni Zakia Meghji yupi vile? Ndiye yule aliyesimamia ukwapuzi wa fedha za EPA zinazoitesa serikali ya CCM hadi leo, mlaghai mkubwa aliyekanusha kutotokea hujuma hiyo Benki kuu (Akijua fika uharamia walioufanya) na baadae kuumbuka na kuwekwa pembeni kwa muda ili 'Wadanganyika' wasahau?Mwenzenu mchana wote nimeshinda salama lakini baada ya kusoma eti katibu wa uchumi na fedha ZAKHIA Meghji niko hoi. Nashindwa ku koment ngoja nipate nafuu labda kesho
uliposema profile nikafikiri unaweka kazaliwa lini, kafanya kazi wapi, education background yake nk nk
after reading slidingroof's article between lines, i have concluded that mtoa hoja anatumia reverse psychology to disseminate his/her message. You don't have to be a neurosurgeon to realize that the author is an ardent supporter of mr. Mukama....
none of your businessthere are currently 48 users browsing this thread. (48 members and 0 guests)
not normal
Hapa mimi ndio nachoka na hawa members wenzetu, angalia hawa wte wako kwenye hii thread lakini hawachangii kitu. very interesting.
« Previous Topic | Next Topic »
Topic Information
There are currently 95 users browsing this thread. (95 members and 0 guests)
- Saigon
- Pelle mza
- Mndamba
- bonvize
- masalakulagwa
- Lilombe
- papaa-H
- Rose Peter
- Mshindo
- Madabwada
- Rweyemam
- njorogee22
- Nyamizi
- Billionea
- Edmund
- kitumbua
- mbu sugu
- rwegokato
- whale
- Developer
- NJUKURI
- sonyojr
- mafinga kwetu
- Thesi
- LAU
- Butola
- Gottee
- Godwine
- QAMBAQE
- LINCOLINMTZA
- Kiti
- nangasu
- mbarbaig
- Mtumishi Wetu
- Obi
- anti-fisadi
- THE PRINCE
- Peaceforever
- Mlachake
- Sandes
- OgwaluMapesa
- izihaka
- Adrian Kim
- Gaitan Banzi
- morogoro
- ibaga
- Mbonafingi
- Mariatu
- Arsenal
- Xuma
- mbina
- SHINENI
- kayombo
- mimimkuu
- Dindai
- fame
- Gamalle
- Justifiable
- Jabulani
- chiefmasanja
- Economist
- Mbayuwayu
- Pdidy
- Hutaki Unaacha
- mbawallla
- MINAKI
- MchunguZI
- whizkid
- arnoldmoshi
- MISHI
- Mabuya
- Mantaleka
- Hapapetu
- Midas Touch
- mlagha
- nzom
- DawaKali
- SwaiMosha
- HAJUPIN
- Congo
- Michese
- Ipole
- Bob Nash
- Kibode
- Njowepo
- Mrubana
- Mwamboni
- Mwalu
- Sir R
- KIGENE
- PakaJimmy
- Verily Verily
- mariana dawi
- ndevu
Just thinking aloud, wakuu ? hivi ni chama kipi hapa nchini hakina recycled material?Naam in continuing with our tradition ya KU RECYCLE WATAWALA this time tumeletewa huyu jamaa ambaye if anything CCM should have done better badala ya kuleta tuu jina la mtu kuwa ndio SG bila kuleta mchakato uliotumika kumpata na pia kuleta profile yake kikamilifu na kuelezea mafanikio yake