Hapo kwenye hitimisho lako umeandika vizuri,tunaomba sasa hayo mabaya yake ili tupime uzito wa mazuri na mabaya yake.
Tukubali tukatae Ngeleja Ndie rais 2015
Raisi wa ukoo wenu anafaa sana.
"mimi nawaomba watanzania waniamini na waone kuwa mimi ninekaa nikajifikiria sana kuwa nafaa kubeba jukum hili.
Pia rais wa mwaka huu awe na sifa zifuatazo
🌂asiwe mbabe
🌂asiwe na jazba
🌂awe mwenye kuwaunganisha watu
🌂awe mstahimilivu
🌂awe muadilifu kwa watanzania.
🌂asiwe mtu wa kulipiza visasi"
hayo ni maneno aliyoyasema william ngeleja akiwa anachukua form ya kuwania urais kupitia ccm