naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,420
we jamaa kweli ni poyoyo wala hujatumwa lkn unajipendekeza ili huyo baba yenu akujue sasa kwa taarifa yako urais siyo shamba la bibi na kama mna njama zenu bas mmefeli mwambie huyo kibaraka mwenzio kua uraisi kwake utabaki story tu za jamii forum,ata juice na chai za Ikulu ataendelea kuzinywa kwa ofa.Tukubali tukatae Ngeleja Ndie rais 2015