Warue
JF-Expert Member
- Aug 9, 2012
- 424
- 810
Leo star tv William Malecela Kasema alikuwa moja wa waanzilishi wa JF lakini alilazimika kujiondoa kwa sababu ya Itikadi ya kisiasa. Je Zito kuandamana na JK kwenda Ethiopia inatoa picha gani?. Je aoni kwamba wafuasi wake wanaonekana wamepotea?. The only trust I had for him is gone.