Don Draper
Senior Member
- May 30, 2012
- 176
- 87
Haya ndio maneno ya bwana William Malecela
Hivi huyu anadai kasoma Tanzania na kaenda National Service utadhani kuwa angeweza kujua jinsi gani mtu kama Jonasa Savimbi na waasi wake wa UNITA walivyo ua watu wengi INCLUDING comrades wetu toka hapa Tanzania ambao walienda kusaida wenzetu wa Angola
This is a basic primary school history text book kama kweli alisoma kwenye shule zetu na kujua mchango wetu kama taifa kwa Angola na watu wetu waliopoteza maisha
Kweli William Malecela tunakutegemea kuwa unawakilisha GREAT THINKERS wa JAMII FORUM lakini kama unafikia stage ya kumwona JONAS SAVIMBI as a hero then nashindwa kuelewa what exactly he stands for.
Is it arrogance au ndio maisha ya kuishi kwenye Ivory tower na kuwa detached from the real world out there?
thread hii hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/270008-mwenyekiti-wa-ukombozi-na-ufahari.html
Hivi huyu anadai kasoma Tanzania na kaenda National Service utadhani kuwa angeweza kujua jinsi gani mtu kama Jonasa Savimbi na waasi wake wa UNITA walivyo ua watu wengi INCLUDING comrades wetu toka hapa Tanzania ambao walienda kusaida wenzetu wa Angola
This is a basic primary school history text book kama kweli alisoma kwenye shule zetu na kujua mchango wetu kama taifa kwa Angola na watu wetu waliopoteza maisha
Kweli William Malecela tunakutegemea kuwa unawakilisha GREAT THINKERS wa JAMII FORUM lakini kama unafikia stage ya kumwona JONAS SAVIMBI as a hero then nashindwa kuelewa what exactly he stands for.
Is it arrogance au ndio maisha ya kuishi kwenye Ivory tower na kuwa detached from the real world out there?
thread hii hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/270008-mwenyekiti-wa-ukombozi-na-ufahari.html