Mnakumbuka kipindi Magufuli alipopita top 3 kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea urais CCM? William Lukuvi alikua mpambe wake kipindi Magufuli akiasalimiana na wajumbe na hakutaka kumuacha kwani walikua bega kwa bega.
Katika watu walio karibu na Magufuli na ambao Magufuli anaowakubali Lukuvi ni mmoja wapo, na kuna kila dalili JP Magufuli akishinda atamteua yeye kuwa PM.
By Abel sere from Moshi.
Hivi bado maguu ana hope la ushindi?
Tumutendee haki. Lukuvi ni graduate. Ana Masters degree. Rejea web ya bunge. Tusitihumu bila ushahidi.
Mnakumbuka kipindi Magufuli alipopita top 3 kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea urais CCM? William Lukuvi alikua mpambe wake kipindi Magufuli akiasalimiana na wajumbe na hakutaka kumuacha kwani walikua bega kwa bega.
Katika watu walio karibu na Magufuli na ambao Magufuli anaowakubali Lukuvi ni mmoja wapo, na kuna kila dalili JP Magufuli akishinda atamteua yeye kuwa PM.
By Abel sere from Moshi.
Mkuu ni watu wachache wanao lifikiria hilo ndio maana wanazungumza lolote just 2 get even na Dk.Magufuli wanafikiri na yeye kapata shahada zake Online! Mwanasayansi/Engineer gani anapewa Shahada kupitia kwenye Internet? Kama mbogo zako hazichemki huwezi kudiriki kwenda huko utaishia kwenye ngonjera, kupika majungu na kuwaponda ponda watu ambao unawaona wamekuzidi na hiki ndicho kinaendelea humu.Hakuna mwana MAHESABU na mwana SAYANSI mwenye low thinking capacity.Wewe utakuwa wale wa Qt au form four Arts Pure,mara zote akilı zenu zınawaza NAHAU na miaka ya vifo vya machıfu.
Yaani Lukuvi awe PM...!!!