mm1
JF-Expert Member
- Aug 17, 2014
- 569
- 170
Nina uhakika mkuu hufuatilii kinacho endelea field, hata Magufuli mwenyewe anajua hatashinda, c kwa bao la mkono wala goli/bao halali. Watu wameisha anza kutuma application UKAWA we unqzungumzia u PM? JK mwenyewe kajikatia tamaa hata kaamua kwenda zake kula bata USA. Magufuli kaongea hadharani sehemu 2 tofauti, Shinyanga na Muleba kwamba wapo watu wana muunga mkono mchana lakini usiki wapo UKAWA, sasa we unadhani kaona nin hapo?
hata dodoma kakazia tena