William Lukuvi kumrithi Mizengo Pinda

William Lukuvi kumrithi Mizengo Pinda

Kurithi nini Tanzania akuna urithi Wa uwaziri mkuu mstaafu makufuli ni mgombea tu rais anajulikana
 
Hakuna mwana MAHESABU na mwana SAYANSI mwenye low thinking capacity.Wewe utakuwa wale wa Qt au form four Arts Pure,mara zote akilı zenu zınawaza NAHAU na miaka ya vifo vya machıfu.

Unafanya kazi kwa mchina au muhindi??
 
Nina uhakika mkuu hufuatilii kinacho endelea field, hata Magufuli mwenyewe anajua hatashinda, c kwa bao la mkono wala goli/bao halali. Watu wameisha anza kutuma application UKAWA we unqzungumzia u PM? JK mwenyewe kajikatia tamaa hata kaamua kwenda zake kula bata USA. Magufuli kaongea hadharani sehemu 2 tofauti, Shinyanga na Muleba kwamba wapo watu wana muunga mkono mchana lakini usiki wapo UKAWA, sasa we unadhani kaona nin hapo?
 
Huyo PM mtarajiwa akipata wageni wanaoongea kiingereza itakuwa Kazi (labda apate mkalimani)
 
Mnakumbuka kipindi Magufuli alipopita top 3 kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea urais CCM? William Lukuvi alikua mpambe wake kipindi Magufuli akiasalimiana na wajumbe na hakutaka kumuacha kwani walikua bega kwa bega.

Katika watu walio karibu na Magufuli na ambao Magufuli anaowakubali Lukuvi ni mmoja wapo, na kuna kila dalili JP Magufuli akishinda atamteua yeye kuwa PM.


By Abel sere from Moshi.

Akishinda nini sasa?kupiga push up au kitu gani?
 
Mnakumbuka kipindi Magufuli alipopita top 3 kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea urais CCM? William Lukuvi alikua mpambe wake kipindi Magufuli akiasalimiana na wajumbe na hakutaka kumuacha kwani walikua bega kwa bega.

Katika watu walio karibu na Magufuli na ambao Magufuli anaowakubali Lukuvi ni mmoja wapo, na kuna kila dalili JP Magufuli akishinda atamteua yeye kuwa PM.


By Abel sere from Moshi.

Siupatii picha ule mdomo jinsi utakavyozidi kubetuliwa
 
Hakuna mwana MAHESABU na mwana SAYANSI mwenye low thinking capacity.Wewe utakuwa wale wa Qt au form four Arts Pure,mara zote akilı zenu zınawaza NAHAU na miaka ya vifo vya machıfu.
duuh kwa hiyo mtu akijua hesabu ana akili?
 
Mnakumbuka kipindi Magufuli alipopita top 3 kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea urais CCM? William Lukuvi alikua mpambe wake kipindi Magufuli akiasalimiana na wajumbe na hakutaka kumuacha kwani walikua bega kwa bega.

Katika watu walio karibu na Magufuli na ambao Magufuli anaowakubali Lukuvi ni mmoja wapo, na kuna kila dalili JP Magufuli akishinda atamteua yeye kuwa PM.


By Abel sere from Moshi.

Magufuli hawezi kushinda kwa mujibu la Jaji Lubuva mabox ya kura yataishia vituoni mwa kupigia kura hamna box litakalobebwa na kura zote hadi za rais zitabandikwa vituoni.

alafu Lukuvi ni mdini alienda kanisani kusema waislamu wa Zanzibar wasipewe uhuru wa kuabudu mana wataanzisha dola ya kiislamu. vipi aje awe Waziri Mkuu??
 
Tindu Liso au Freeman Mbowe kuwa waziri mkuu!!!!!!!
 
Mnakumbuka kipindi Magufuli alipopita top 3 kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea urais CCM? William Lukuvi alikua mpambe wake kipindi Magufuli akiasalimiana na wajumbe na hakutaka kumuacha kwani walikua bega kwa bega.

Katika watu walio karibu na Magufuli na ambao Magufuli anaowakubali Lukuvi ni mmoja wapo, na kuna kila dalili JP Magufuli akishinda atamteua yeye kuwa PM.


By Abel sere from Moshi.

Ni sawa lakini hiyo serikali itakuwa too local ingawa ni jambo Jema lakini kwa namna fulani inaweza kuinyima nchi fursa kwenye nyanja za kimataifa, Pinda pamoja na udhaifu wake katika baadhi ya maeneo kama binadamu wengine ana Uwezo mkubwa wa kuimudu lugha ya kingereza na ndio maana aliweza kumwakilisha rais katika mijadala mingi ya kimataifa sina hakika na uliyemtaja mleta mada Ila kuna hatari ya serikali ijayo kuliaibisha taifa katika nyanja ya kimataifa.
 
Ni sawa ni jambo Jema lakini hiyo serikali itakuwa too local pamoja na udhaifu wa Pinda katika maeneo mengine kama tulivyo binadamu lakini anaimudu vyema lugha ya kingereza na ndio maana aliweza kumwakilisha rais katika mijadala mingi ya kimataifa. Ingawa linaweza kuonekana Kuwa sio muhimu sana suala hili lakini binafsi naamini kuna fursa tutapoteza kama nchi.Sina hakika sana na mtu uliyemtaja mleta mada lakini naona hatari ya serikali ijayo kuliaibisha taifa katika nyanja ya kimataifa.
 
Back
Top Bottom