Will the real Paul Makonda please stand up?


Mbona unazidi kujitoa ufahamu?
wewe umewahi kwenda mahakamani au polisi?

unapelekeja shauri la jinai mahakamani? si lazima upitie polisi?
na unajua polisi wana option ya kulipeleka shauri lolote mahakamani au wasipeleke?

Mbona Manji hapelekwi mahakamani na police wanamshikilia?
 
Mkuu mbona unajitoa ufahamu?
wewe umewahi kwenda mahakamani kwa kumtuhumu mtu jinai?

Jinai zote zinaanzia polisi...
Na Police wote wa Dar wako chini ya mwenyekiti wa kamati ya mkoa ya usalama....ambae ndo boss wao
unaanzaje?
Sasa mbona Meya wa Ubungo amedai atafungua mashitaka dhidi ya buana Bashiteior[emoji12]
 
Nyani Ngabu acha kututoa ktk mstari , issue ya Paul ipo wazi kabisa .
Kwanza tambua mwenye cheti halisi aitwi Makonda (makonda liliongezewa mahakamani tu ili Kurasimisha cheti , kutoa ubini was yule Paul alisi , alikiongezea hakiwa chuo Ushirika Moshi )
Ukimtafuta MTU anayeitwa Paul makonda halisi uwezi kumpata ,na wewe unajua wazi please don't propagate your propaganda.
Kama kweli umemkusudia kumtafuta mwenye cheti mtafute Paul Albert M (iyo M sio Makonda, makonda iliongezewa mahakamani )
Ngoja tumalize issue za TLS then issues za Makonda zitafuata mana tunazibeba kwa uzito huo huo kama walivyowajibishwa walimu polisi na manesi waliofoji vyeti.Haki itatendeka
 
Mpwa, nadhani unataka umwagiwe omo saivi[emoji12]
 
 
Kwa kukusaidia,ingia insta kwa kubwa la maadui utajibiwa hayo maswali yako yote.
Lakini pia ulipaswa ujue ni nani anapaswa kutekeleza jukumu la kuudhibitisha ukweli wa sakata lake.
Nikuulize kidogo.....mahala fulani pakivamiwa na majambazi,kazi ya wananchi ni nini?
Kama si kutoa ripoti/taarifa kwa mamlaka husika.
Na je mamlaka zisipotekeleza jukumu lake tumlaumu nani?
Mwananchi mtoa taarifa? au mamlaka husika?
 

Hujasikia ya meya wa ubungo kutumia sijui 'private prosecution' kuwa atapeleka shauri mahakamani?

Eniwei mi ni kilaza tu so sijui zaidi ya nilivyosikia hivyo.
 
Hujasikia ya meya wa ubungo kutumia sijui 'private prosecution' kuwa atapeleka shauri mahakamani?

Eniwei mi ni kilaza tu so sijui zaidi ya nilivyosikia hivyo.

Hiyo private prosecution TZ ndo kwaanza naisikia
sidhani watu wote wanaomtuhumu wanaijua hiyo option
au ujasiri tu wa kuitumia hata kama wanaijua

tunaishi kwenye police state ....uhuru na ujasiri wa kumshtaki kiongozi sio kila mtu anaweza kuwa nao
 

Mbona unapenda kutumia neno kujitoa ufahamu...???....ina maana wewe mtu mliyetofautiana naye mitazamo basi amerukwa na fahamu......!???

Huamini katika mawazo huru au mawazo kinzani.....!!??

Au unaongozwa na mahaba na huna mawazo huru.....

Mbona unaongelea mambo ambayo hayajatokea.....!!??

Ina maana wakina Lissu au Gwajima walishalipeleka hili shauri polisi....na ikashindikana kulipeleka mahakamani.....!!??


Kwanini wasilipeke kwanza alafu tuone ikishindikana...!??

Sitaki kusikia kuwa na wewe umekuwa mtumwa wa porojo za wanasiasa kwamba unameza kila kitokacho kinywani mwa mwanasiasa pasi na kutumia akili yako kuchuja.....!!!
 
Ukiangalia mtiririko wa story yenyewe utakumbuka jina la cheti anachodaiwa kukitumia linasomeka mwisho muyenge, ila la makonda alikuja kulibuni mwenyewe na kuapa mahakamani
 
Hiyo private prosecution TZ ndo kwaanza naisikia
sidhani watu wote wanaomtuhumu wanaijua hiyo option
au ujasiri tu wa kuitumia hata kama wanaijua

tunaishi kwenye police state ....uhuru na ujasiri wa kumshtaki kiongozi sio kila mtu anaweza kuwa nao

Kwanza lifanyike hilo ndio tuone ikishindikana.....!!
 
Hakuna mtu aliyekwenda police kushitaki...

Hata Kama ni wajibu wa police,

Sidhani km wanaweza kupress hii issue forward Kama hakuna mshitaki,

Na mtupe mfano wa cases ambazo hakuna mshitaki

Makonda bana kimya,

Kukaa kimya ni moja ya tactics, lol
 
The Boss

Naona umeninukuu vibaya ila nimeona ulichoandika kuhusu wale birthers.

Hapo kuna tofauti kidogo.

Hao birthers sikuwahi kuwasikia hata siku moja wakidai wanacho cheti cha kuzaliwa cha Obama ambacho kinaonyesha alizaliwa Kakamega au kwingineko huko Kenya.

Au waliwahi kudai hivyo?

Licha ya hivyo, unajua ilimchukua muda gani Obama kukionyesha cheti chake?

Mimi pia nataka kuviona hivyo vyeti vya Makonda.

Kama yeye mwenyewe hataki kutuonyesha, na madhali kama Gwajima anasema yeye anavyo ofisini kwake.

Kwa nini sasa Gwajima asituonyeshe tu yeye mwenyewe kuliko kumsubiri Makonda?
 
Unahongwa na wauza madawa ya kulevya kuja kumchafua shujaa wetu wa Dar??

Kila siku makonda makonda who are you??
Huyo Bashite wenu si ndo huyo amehongwa magari na hao anaowaita wauza unga???.....tena ndo anaambatana nao kila sehemu?
Huwezi kumtetea mchafu kama wewe si mchafu zaidi yake.
 
Hiyo private prosecution TZ ndo kwaanza naisikia
sidhani watu wote wanaomtuhumu wanaijua hiyo option
au ujasiri tu wa kuitumia hata kama wanaijua

tunaishi kwenye police state ....uhuru na ujasiri wa kumshtaki kiongozi sio kila mtu anaweza kuwa nao

Well, meya wa Ubungo kwa kushirikiana na wasoma majiniasi akina Kibatala and co. wataenda mahakamani.

Hicho ndicho nilichosikia.
 
Hilo mkuu nami nimeishaliuliza humu sijapewa majibu...

Kweli Paul Christian Makonda hata anuani yake tu ya alipozaliwa au anapoishi sasa imekosekana????

Walau kuhoji wazazi wake au yeye atuthibitishie kuwa vyeti alivyonavyo huyo the so called Bashite ni vya kwake.

Ila mbona huyu RC Dar es Salaam tumemjua toka ni Rais wa TAHLISO na Rais wa vyuo vya Afrika Mashariki na alikuwa akifanya vizuri tu....akiwa mwanafunzi kipindi hicho

Hebu labda acha waende Mahakamani huko tutaujua ukweli....ila nionavyo mie ni jambo ambalo limeanzishwa kupotezea watu muda
 
Mimi pia nataka kuviona hivyo vyeti vya Makonda.

Kama yeye mwenyewe hataki kutuonyesha, na madhali kama Gwajima anasema yeye anavyo ofisini kwake.

Kwa nini sasa Gwajima asituonyeshe tu yeye mwenyewe kuliko kumsubiri Makonda?
Gwajima atatoa vyeti katika sehemu ya nne ama ya tano ya mahubiri yake.

Kwa sasa wewe subiri tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…