Wilfred Lwakatare: Afya yangu iko imara

Wilfred Lwakatare: Afya yangu iko imara

Kamanda hivi mpaka leo hujui kwamba ccm imejengwa kwa misingi ya uongo , uzandiki na unafiki ? Sisi tunakufahamu wala hatuna wasiwasi , hao ni kuachana nao tu .
 
Haya sasa wale wambea waje tena na umbea mwingine. Inasikitisha sana mtu hana taarifa za uhakika anakuja kupotosha humu. Kama huna cha maana kaa kimya sio lazima upost.
Pole sana kamanda.
 
Ugua Pole Kamanda...!

Kwa kiasi kikubwa au asilimia kubwa aliyosema Lizaboni ni sahihi

Kwamba ni kweli umeumwa na kulazwa.

Kwamba Ukiondoa mama Tibaijuka hakuna kiongozi mwingine aliyekuja kukufariji kiasi cha kumtaja kwa jina.

Nadhani la msingi hapa ni wewe kuwa mwenye afya njema haya mengine ni siasa lakini zenye umuhimu wake wa kipekee.

Bado hatujaclear doubt ya kama anayepost humu ni wewe au kijana wako.

Pole sana Lwaks
Toa UNAFIKI wako hapa...!
 
Toa UNAFIKI wako hapa...!

Mwenyewe kakiri kuumwa. Akapata huduma Government hospital Dodoma. Ingekuwa ni kawaida tu malaria au fluu usingepelekwa dar kwa specialist wako.
Na pia viongozi wenzako walikutembelea kukusabahi. Kwa hiyo uliumwa na sasa umepata ahueni. Mficha ugonjwa kilio.... Afya ni bora kuliko mali.
 
Ugua Pole Kamanda...!

Kwa kiasi kikubwa au asilimia kubwa aliyosema Lizaboni ni sahihi

Kwamba ni kweli umeumwa na kulazwa.

Kwamba Ukiondoa mama Tibaijuka hakuna kiongozi mwingine aliyekuja kukufariji kiasi cha kumtaja kwa jina.

Nadhani la msingi hapa ni wewe kuwa mwenye afya njema haya mengine ni siasa lakini zenye umuhimu wake wa kipekee.

Bado hatujaclear doubt ya kama anayepost humu ni wewe au kijana wako.

Pole sana Lwaks
Umenena mkuu
 
Kamanda pole sana kwa kuumwa jambo ambalo limeumbwa kwa kila kiumbe,lkn pia pole sana kwa kuvumishiwa huko kuzidiwa na lazima ujue kuwa maadui zako ndio wanao kuombea mabaya,tulikosa amani mida ya asubuhi baada ya kusoma uzi ulioletwa na kijana wa lumumba. Pole sana mkuu wacha tupambane naye
 
Pole sana,Mungu akurejeshee afya yako,ila hii mitandao jamani,unaanzaje kumzushia mwenzako habari za uongo?Imenikumbusha enzi za kampeny ya Brexit,Gazeti la the sun lilichapisha picha ikionyesha wahamiaji wengi kabisa,likasema hawa wahamiaji wote ni wa nchi zilizopo EU na wote wanataka kuja UK,kumbe ni uongo ile picha ilikuwa ni wahamiaji wa kutoka middle east.Ila ndo hivyo tena jamii ikawa imeshaaminishwa
 
Mungu akulinde daima mkuu, nchi yetu imejaa kizazi chenye siasa za hovyo za hadi kuchuriana mabaya baada ya kushindwa kwa hoja, Ni suala la muda tu, wananchi wengi wataelewa tofauti na rangi zao halisi.....wish you soon recovery brother
Mkuu lizaboni ndiyo kaleta uzi hapa asubuhi
 
Pole sana ndugu yetu Rwakatare. Binadamu sote, kama hukuugua leo basi uliugua jana, kama siyo jana basi utaugua kesho. Ni mwehu pekee yake anayedhani kuugua ni dhambi.

Mungu wa rehema akujalie afya njema siku zote na wenye kufurahia kuugua kwako, Mungu mtoaji wa yote awaoneshe ukuu wake.
 
Wish u all the best Mh. Lwakatare katika utumishi wako.
 
Pole sana kamanda Lwakatare,Mwenyenzi Mungu akupe tahfif.
Kuna shoga kaleta thread asubuhi sijui anafaidika nini na watu kuumwa
Kuna siku yatamfika
Msimlaumu sana mtu anaeleta habari zisizo za kweli bali muombeeni,na yeye labda alipotoshwa,watu walimuona YESU na miujiza yake lakini walimpa mangumi mpaka wakamsulubisha msalabani,leo ndugu yetu mheshimiwa?pole Mh.Lwakatare..samehe kibinadamu na songa mbele
 
Tatizo hoja za kitaifa huwa hamtaki kujadili ukweli lakin za maisha ya watu ndio mnashupaaa kutaka ukweli na hiyo ndo rangi halisi ya mnafiki.
Wewe ndiye mnafiki usiyetaka kujadili kwa ukweli...hoja hujibiwa kwa hoja sio vihoja
 
Bado hatujaclear doubt ya kama anayepost humu ni wewe au kijana wako.
Kweli mtu akipenda chongo huliita kengeza. Post imetumwa kwa verified user ID na bado aliyetuma akaambatanisha picha yake ya leoleo. Lakini bado 'Genius wetu' unahoji kuwa siye?!

Ungepewa kulinda kaburi la Yesu, siku alipofufuka ungetangazia ulimwengu kuwa aliyefufuka ni kaburi na si Yesu!
 
Back
Top Bottom