Wilfred Lwakatare: Afya yangu iko imara

Wilfred Lwakatare: Afya yangu iko imara

Lowasa alikutembelea au hata tu kukupigia simu? Na ni viongozi wepi hao wa chadema waliokutembelea kwa maana mama Tiba umemtaja kwa jina ila wale wa chadema umegoma kuwataja, kwa nini?

Hata hivyo ugua pole huu ndiyo wkt wa kumjua rafiki na chama cha kiutu, nina uhakika watu wanaopenda kiki za media wa chama chako kama Domo kaya hakuja kukuona kwa maana kulikuwa hakuna tv wala magazeti!
 
Pole cn kamanda naamin mungu you nawe cha mcng sali cn na pia tutambuwe kunamda wa siasa na mambo ya msingi kiukwel tunashindwa kufautisha hayo mambo pole cn
 
Kweli mtu akipenda chongo huliita kengeza. Post imetumwa kwa verified user ID na bado aliyetuma akaambatanisha picha yake ya leoleo. Lakini bado 'Genius wetu' unahoji kuwa siye?!

Ungepewa kulinda kaburi la Yesu, siku alipofufuka ungetangazia ulimwengu kuwa aliyefufuka ni kaburi na si Yesu!
Nadhani hukuisoma hoja ya asubuhi...moja ya maandishi ya lizaboni yaliainisha wazi kuwa accounts zote za mitandao ya kijamii za Mh Lwakatare zilikuwa zinaendeshwa na kijana wake sasa kwa thread hii sioni evidence ya kwamba ni yeye anayerusha hii habari au ni huyo kijana wake.

Press Release ingekuwa better kama kweli tunataka kuondoa doubt.

TATIZO HAMSOMI mnakurupuka tu.
 
hiyo hoja iko wapi sasa?
Nadhani hukuisoma hoja ya asubuhi...moja ya maandishi ya lizaboni yaliainisha wazi kuwa accounts zote za mitandao ya kijamii za Mh Lwakatare zilikuwa zinaendeshwa na kijana wake sasa kwa thread hii sioni evidence ya kwamba ni yeye anayerusha hii habari au ni huyo kijana wake.

Press Release ingekuwa better kama kweli tunataka kuondoa doubt.

TATIZO HAMSOMI mnakurupuka tu.
 
Unajuwa jingalao ulichokiandika nikweli mtu akisoma yy haelewi anacho kisoma na pia anakurupuka nacho utafikili hakufundishwa jinsi ya kutafakari nini anachokisoma
 
Nadhani hukuisoma hoja ya asubuhi...moja ya maandishi ya lizaboni yaliainisha wazi kuwa accounts zote za mitandao ya kijamii za Mh Lwakatare zilikuwa zinaendeshwa na kijana wake sasa kwa thread hii sioni evidence ya kwamba ni yeye anayerusha hii habari au ni huyo kijana wake.

Press Release ingekuwa better kama kweli tunataka kuondoa doubt.

TATIZO HAMSOMI mnakurupuka tu.
Wewe ni zaidi ya ID yako,tunamwachia mungu akuhukumu
 
Unajuwa jingalao ulichokiandika nikweli mtu akisoma yy haelewi anacho kisoma na pia anakurupuka nacho utafikili hakufundishwa jinsi ya kutafakari nini anachokisoma
Nawashangaa wanaokurupuka kwenye hoja hii....hii ID ya lwakatare haijatumika muda mrefu sana jiulize kwa nini leo hii ije kurespond kwa 'uzushi' wa lizaboni halafu responce yenyewe haiko deep.
 
Nawashangaa wanaokurupuka kwenye hoja hii....hii ID ya lwakatare haijatumika muda mrefu sana jiulize kwa nini leo hii ije kurespond kwa 'uzushi' wa lizaboni halafu responce yenyewe haiko deep.
Jingalao ni vema ukajua kuwa siasa za upinzani siyo vita bali ni kutofautiana mawazo
 
Jingalao ni vema ukajua kuwa siasa za upinzani siyo vita bali ni kutofautiana mawazo
Nyie ndio mnaleta vita badala ya kujadili hoja ili thread ya asubuhi uliisoma?
 
Kamanda kanywa juisi ya Nyati Cement,afya yake iko imara.
 
Nyie ndio mnaleta vita badala ya kujadili hoja ili thread ya asubuhi uliisoma?
Niliisoma vizuri sana na kuielewa ndio maana napata shida sana kuwaelewa nyinyi ndugu zetu wa upande wa pili,siasa mnazigeuza kuwa uadui
 
Mh. Wilfred Lwakatare tuko pamoja na MUNGU azidi kukua afya ili uendelee kuwatumikia wakwe zangu! Kuna kajinga kamoja humu JF kanajiita ka-dada Lizaboni kalileta habari iliyojaa majungu mpaka nikajisikia kukasirika, bora umekuja mwenyewe na kupost na picha yako ukiwa kwako. Mungu azidi kukubariki na akupe afya tele ili na 2020 uwape kichapo kingine!!
 
Kamanda Pole sana, binafs ktk watu tuliyokwazika kwa taarfa mm ni mmoja wapo!! Unajua Lumumba sasa iv wamechanyikiwa sana!! Nakuomba uwasamehe bure, coz wasipozusha uwongo na Unafki familia zao haziend chooni,!!
 
Press Release ingekuwa better kama kweli tunataka kuondoa doubt.
Bahati nzuri leo tunayo case nzuri ya uhalali wa Press Release naomba niitumie. Kuna Press Release inazunguka kwenye mitandao toka asubuhi ikiwa na jina na namba ya simu ya Mnyika. Hiyo release tayari Mnyika ameikana kuwa si yake. Kwa muktadha wa ushahidi wa hoja yako unataka kutuaminisha kuwa Mnyika kajikana na hiyo release ni halali au kwa ufupi inatoka kwake?

Si vibaya nikufahamishe kuwa nilisoma comments zote na si post ya @Lizabon pekee kama unavyofikiri!
 
Niliisoma vizuri sana na kuielewa ndio maana napata shida sana kuwaelewa nyinyi ndugu zetu wa upande wa pili,siasa mnazigeuza kuwa uadui
Hivi wakati Mwakyembe anaongelewa humu kuwekewa sumu ulikuwepo?

Pamoja na Mwakyembe kukanusha bado mjadala ule (wa Polonium)utadumu milele
 
Bahati nzuri leo tunayo case nzuri ya uhalali wa Press Release naomba niitumie. Kuna Press Release inazunguka kwenye mitandao toka asubuhi ikiwa na jina na namba ya simu ya Mnyika. Hiyo release tayari Mnyika ameikana kuwa si yake. Kwa muktadha wa ushahidi wa hoja yako unataka kutuaminisha kuwa Mnyika kajikana na hiyo release ni halali au kwa ufupi inatoka kwake?

Si vibaya nikufahamishe kuwa nilisoma comments zote na si post ya @Lizabon pekee kama unavyofikiri!
Nasema press Release ingekuwa better na ingekuwa ni mwanzo wa mjadala sio mwisho wake
 
Back
Top Bottom