Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,953
- 56,105
Kuna maendeleosasa tushike lipi jamani?!!!!!
juzi nimeona makala maalumu kupitia ITV, aisee kuna walevi huko si mchezo!
Kuna maendeleosasa tushike lipi jamani?!!!!!
juzi nimeona makala maalumu kupitia ITV, aisee kuna walevi huko si mchezo!
ahsante!Kuna maendeleo
Watu wachache ndio wanafanya paonekane pabayaahsante!
nilihisi kitu kama hicho. nimesoma kwenye hiyo post kuna sehemu inasema ardhi nzuri inayofaa kwa kilimo cha maparachichi. nikakumbuka jinsi maparachichi yalivyo na hela, pia nikakumbuka nilivyofika mpaka tandahimba ndani kabisa na kukutana na vijana wa kilimanjaro wakitafuta ridhiki nikabaki najiuliza inawezaje wakimbie kwao na kuja mbali kote huku ilihali ardhi yao iko vizuri tu?!
Hili kwakweli naamini amekoleza chumvi. Ni kawaida watu kuponda pasio kwao na huku kwao kukiwa hohehahe hadi aibu.Labda huijui Rombo.Tuulize sisi tuliozaliwa na kukulia rombo.
Eti rombo hakuna makaburi,huu ni utoposhaji wa kiwango cha juu mno.
Kama hawafanyi kazi,hizo hela za kunywa pombe wanapata wapi?
Kwahiyo haukubali kwamba Rombo kuna ulevi wa kutisha! Mbona hata huyo uliyemnukuu anakubali kwamba kuna ulevi mkubwa, hiki nilichoandika hakina tofauti na kilichotangazwa na ITV jana usiku. Tatizo huwa hamuelewi mada inazungumzia nini, mada haihusu maghorofa wala maduka, inahusu ulevi wa kupindukia.Nilijua ni kweli ila kwa Mada hizo, mtoa mada hapa anachuki au analishwa matango pori na watu wahuko ikuinii.. 🤣
Ulevi wakupindukia ni dalili ya kuwa na akili ya kutafuta, kila mlevi anajua kuchakarika ajue wapi anapata ya kunywa bohora kesho yake, hongera wana Rombo kwa kuongezq mapato ya serikali na kuwezesha wilaya nyingine kupata huduma muhimu kwa kunywa pombeKwahiyo haukubali kwamba Rombo kuna ulevi wa kutisha! Mbona hata huyo uliyemnukuu anakubali kwamba kuna ulevi mkubwa, hiki nilichoandika hakina tofauti na kilichotangazwa na ITV jana usiku. Tatizo huwa hamuelewi mada inazungumzia nini, mada haihusu maghorofa wala maduka, inahusu ulevi wa kupindukia.
Hawanywi hizo za tozo, wao wanaviwanda vyao chupa sh500/= ni kali kuliko hiyo ya sh2,000/=.Ulevi wakupindukia ni dalili ya kuwa na akili ya kutafuta, kila mlevi anajua kuchakarika ajue wapi anapata ya kunywa bohora kesho yake, hongera wana Rombo kwa kuongezq mapato ya serikali na kuwezesha wilaya nyingine kupata huduma muhimu kwa kunywa pombe
Hilo litakuwa kweli, watu wa kutengeneza ajira Kilimanjaro wapo mikoa mingine. Ardhi ya kilimo hakuna, mtu anaamua kupiga tu pombe.Mkoa wa kilimanjaro kwa ujumla imekumwa na wimbi la hili tatizo la unywaji wa pombe uliopitiliza ....nadhani hii inatokana na swala la kudorora uchumi na ukosefu wa ajira kwa vijana wengi....
Mada inahusu ulevi wa kupindukia kiasi cha wanawake kulalamika na kukiri wanakwenda Kenya kujikimu haja zao, wanaobisha waendelee tu kubisha.Nashangaa sana watu kujadili kwamba wana-rombo hawataki kazi,hili suala la kutotaka kazi siyo kwa wanarombo tu bali ni suala la watanzania wengi!!
Unaiona 500 ndogo ? Toka asubuhi sijaiokota mahali, respect hustle za watu wewe wao kulewa inakuwasha wapi, mume wako Mworombo kakunyima matumizi au?Hawanywi hizo za tozo, wao wanaviwanda vyao chupa sh500/= ni kali kuliko hiyo ya sh2,000/=.
Baada ya kunikashifu moyo wako umefurahi! Wenzako tunajadili ili tupate suluhisho wewe suluhisho lako ni matusi, asante.Unaiona 500 ndogo ? Toka asubuhi sijaiokota mahali, respect hustle za watu wewe wao kulewa inakuwasha wapi, mume wako Mworombo kakunyima matumizi au?
Unaweza ukasema wachache ila ukienda huko utakuta vijana na wanafunzi wamejikita kwenye ulevi wa kupindukia. Haijawahi kutokea uwepo wa utalii wa ulevi! Rombo upo! Wanywaji wanaotaka pombe zenye viwango vya juu vya ulevi na zenye bei nafuu sana, hivyo wanywaji hutoka Kenya kwenda kunywa Rombo na kurudi kwao.Watu wachache ndio wanafanya paonekane pabaya
tazama hapa Ripoti maalumu ITV kuhusu unywaji pombe ulio kithiri uko wilayani Rombo