Wilaya 9 hazina Wakuu wa Wilaya: Hawana Umuhimu Tanzania?

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Pamoja na rais kuteua na kutumbua, lakini bado Wilaya 9 hazina wakuu wa Wikaya na maisha yanaenda kama kawaida.

Hii inadhihilisha kwamba Tanzania wakuu wa Wilaya hawana umuhimu wala hawasaidii chochote. Hivi ni vyeo vya kupozana kisiasa.

Hizi hapa chini ni Wilaya mbazo hazina Wakuu wa Wilaya na maisha yanaendelea tena kuzidi hata penye wakuu wa Wilaya. Maendeleo na taarifa za Wilaya zinafanyiwa kazi na Serikali kama kawaida.

Kasulu
Uyui
Manyoni
Ilelmela
Korogwe
Dodoma Mjini
Arumeru
Hai
Nanyumbu.

Jaji Warioba aliona mbali aliposema kwenye rasmu ya katiba kwamba vyeo vya wakuu wa Wilaya na Mikoa Vifutwe.

Kuna siku Polepole alisema Serikali ya Magufuli inatekeleza Mapendekezo ya tune ya Warioba. Sasa nmeamini.
 
Pamoja na rais kuteua na kutumbua, lakini bado Wilaya 9 hazina wakuu wa Wikaya na maisha yanaenda kama kawaida.

Hii inadhihilisha kwamba Tanzania wakuu wa Wilaya hawana umuhimu wala hawasaidii chochote. Hivi ni vyeo vya kupozana kisiasa.

Hizi hapa chini ni Wilaya mbazo hazina Wakuu wa Wilaya na maisha yanaendelea tena kuzidi hata penye wakuu wa Wilaya. Maendeleo na taarifa za Wilaya zinafanyiwa kazi na Serikali kama kawaida.

Kasulu
Uyui
Manyoni
Ilelmela
Korogwe
Dodoma Mjini
Arumeru
Hai
Nanyumbu.

Jaji Warioba aliona mbali aliposema kwenye rasmu ya katiba kwamba vyeo vya wakuu wa Wilaya na Mikoa Vifutwe.

Kuna siku Polepole alisema Serikali ya Magufuli inatekeleza Mapendekezo ya tune ya Warioba. Sasa nmeamini.
Jerry Muro atapata moja hapo maana anatukana sana upinzani, sifa anayo, tena kubwa !
 
Hivyo ni vyeo vya kichama kwa mgongo na gharama ya serikali, vilipaswa kufutwa kabisa.

Wakuu wa mikoa na wilaya kimsingi ni watumishi wa CCM kwanza kisha baadaye ndiyo serikali.
 
ndiyo maana kina Jerry Muro hawaishi kutokwa povu kumbe kuna wilaya 9 hazina ma dc?
 
Kwani waliopo wana msaada gani ni mzigo kwa taifa tu, kwangu hata wilaya zote zingekosa maDC sawa tu wakurugenzi wa halmashauri wanatosha.
 
Mkuu mleta Mada, jitahidi sana kuwaza kabla ya kuanzisha uzi humu ndani.. Uzi wako unaashiria ni jinsi gani ulivyo na mihemko ya kipinzani pasipo kuwaza unaandika nini. Naanza kukufananisha na akina barabosa wa ccm.

Ni mapema sana kuyasema haya elihali wakuu wa wilaya hizo wamehamishwa au lah kuachishwa kazi hata siku 4 hazijapita.. Ni dhahiri kua wale waliokuepo hata hawajaondoka na kukabithi ofisi...

Eti taarifa za maendeleo zinatoka sahihi kabisa, wee jamaa? Hizo taarifa mmeandaa za siku tatu? Na hata ukiangalia wilaya nyingine ambazo hazikua na wakuu basi makaimu Wapo.

Simpendi wala kumuunga mkono JPM lakini pia sipendi unafiki wa aina hii... It's too early to say this....
 
Pamoja na rais kuteua na kutumbua, lakini bado Wilaya 9 hazina wakuu wa Wikaya na maisha yanaenda kama kawaida.

Hii inadhihilisha kwamba Tanzania wakuu wa Wilaya hawana umuhimu wala hawasaidii chochote. Hivi ni vyeo vya kupozana kisiasa.

Hizi hapa chini ni Wilaya mbazo hazina Wakuu wa Wilaya na maisha yanaendelea tena kuzidi hata penye wakuu wa Wilaya. Maendeleo na taarifa za Wilaya zinafanyiwa kazi na Serikali kama kawaida.

Kasulu
Uyui
Manyoni
Ilelmela
Korogwe
Dodoma Mjini
Arumeru
Hai
Nanyumbu.

Jaji Warioba aliona mbali aliposema kwenye rasmu ya katiba kwamba vyeo vya wakuu wa Wilaya na Mikoa Vifutwe.

Kuna siku Polepole alisema Serikali ya Magufuli inatekeleza Mapendekezo ya tune ya Warioba. Sasa nmeamini.
Mkuu hebu mfuate tena Leo warioba umuulize kuhusu wakuu wa wilaya
 
Nchi zinazoendelea wajaribu kupunguza vyeo ambavyo havina umuhimu. Ni matumuzi yasiyo lazima, Prado ya Mkuu wa mkoa na wilaya ni mzigo. Hivi mkurugenzi na katibu wake hawatoshi kuendesha mikoa na wilaya? Taifa kubwa kama Marekani wana raisi na makamu hawana waziri Mkuu ili kupungusa matumuzi.
 
Pamoja na rais kuteua na kutumbua, lakini bado Wilaya 9 hazina wakuu wa Wikaya na maisha yanaenda kama kawaida.

Hii inadhihilisha kwamba Tanzania wakuu wa Wilaya hawana umuhimu wala hawasaidii chochote. Hivi ni vyeo vya kupozana kisiasa.

Hizi hapa chini ni Wilaya mbazo hazina Wakuu wa Wilaya na maisha yanaendelea tena kuzidi hata penye wakuu wa Wilaya. Maendeleo na taarifa za Wilaya zinafanyiwa kazi na Serikali kama kawaida.

Kasulu
Uyui
Manyoni
Ilelmela
Korogwe
Dodoma Mjini
Arumeru
Hai
Nanyumbu.

Jaji Warioba aliona mbali aliposema kwenye rasmu ya katiba kwamba vyeo vya wakuu wa Wilaya na Mikoa Vifutwe.

Kuna siku Polepole alisema Serikali ya Magufuli inatekeleza Mapendekezo ya tune ya Warioba. Sasa nmeamini.
Tunaomba sana magufuli amshushe bashite na ampeleke Hai tumnyooshe!
 
Mkuu mleta Mada, jitahidi sana kuwaza kabla ya kuanzisha uzi humu ndani.. Uzi wako unaashiria ni jinsi gani ulivyo na mihemko ya kipinzani pasipo kuwaza unaandika nini. Naanza kukufananisha na akina barabosa wa ccm.

Ni mapema sana kuyasema haya elihali wakuu wa wilaya hizo wamehamishwa au lah kuachishwa kazi hata siku 4 hazijapita.. Ni dhahiri kua wale waliokuepo hata hawajaondoka na kukabithi ofisi...

Eti taarifa za maendeleo zinatoka sahihi kabisa, wee jamaa? Hizo taarifa mmeandaa za siku tatu? Na hata ukiangalia wilaya nyingine ambazo hazikua na wakuu basi makaimu Wapo.

Simpendi wala kumuunga mkono JPM lakini pia sipendi unafiki wa aina hii... It's too early to say this....
Nmebadilisha. Ngoja niongee unacho kipenda. Hizo wilaya tisa hapo juu zina wakuu wa wilaya na shughuli za maendeleo zinafanyika. Hapo vipi? Yanga mkubwa wewe..
 
Wasingekuepo hawa waseng** Wana usalama wangefanya kazi zao kwa weledi
 
Jerry Muro, Habib Mchange, Moses Machali, Samson Mwigamba na Jokate Mwegelo wako field wanapasha. Naona Ngosha kaamua kuwapa mazoezi ya muda mrefu ili waive kabisa!
 
Back
Top Bottom