Wikileaks' release on Tanzania Tanzania; August 2011

Wikileaks' release on Tanzania Tanzania; August 2011

Status
Not open for further replies.
Kazi kweli kweli kuna Daktari mmoja alikuwa akibishana na wenzake wa Ujerumani na China akawaambia " nyie wote technologia yenu ipo chini sana tofauti na tanzania. Hapa Bagamoyo alizaliwa kijana miaka ya Hamsini akiwa hana kichwa lakini sisi madaktari tulipachika nazi na sasa ni Raisi wa nchi

you made my day!!!!!
lmfao!!!!!!!!!!!
 
Without prejudice to validity of some of their stories,I think it is time we stopped believing in just everything wikileaks or othr western media says..ivi mnaamini kweli ukerewe leo mtu anasex na kijiji au wilaya nzima kwa minajiri kuwa ni rituals?<br />
Sikatai haijaendelea,lakini huo ushirikina unaosemwa umekua exxagerated beyond logic n truth.<br />
Nyie si ni mashahidi BBC na skynews wanavoripoti khs africa mf Libya n other so called ‘third world‘ countries?<br />
Let‘s nt succumb to western propaganda wikileakes is turning out to be..“they have put a sword to the strings tht united us and now we are falling apart“
<br />
<br />
Mkuu ni wapi wameandika kuwa 'mtu anasex na kijiji au wilaya nzima?' kama unabisha bisha kwa hoja lkn siyo uchakachue kilichoandikwa hapo.
 
UONGOZI BILA MIKO, UADILIFU ULITUKUKA NA UCHA MUNGU YOTE NI
SAWA NA KUWA MFALME BILA NGUO


Kuna mambo fulani ambao ukishafikisha umri fulani sasa ni shurti mtu ukajinyime na kujizuia nazo mbaali kabisaaaa usisikike sikike huko kama vile;

a. kuhudhuria viji-bethidei za ajabu ajabu mitaani usiku wa maanane,

b. kuwekewa viulizo visivyokoma KATIKA MASUALA NGONO UZEMBE,

c. mara sijui kapokea zawadi zenye kutia aibu taifa zima,

d. kuwa kauli za kimkato mkato hata katika mambo ya msingi,

e. kusikika kuwa mwanamalumbano, hila, visasi na watu wadogo wadogo mitaani ambao nao unawaongoza na kujulikana kwamba umewatia kufungoni visivyo halali au kuwaondoa kabisa uhai

NB kwa ujumla nasema kwamba mtu kama kiongozi wa ngazi yoyote ile USIPOJIWEKEA MIIKO BINAFSI katika uongozi wako na mienendo yako basi ujue kweli kwa sasa unazo nguvu na mamlaka yote laki baadaye kidogo kaburi lako litacharazwa kweli viboko na uzao wako wote kugeuka chukizo kwa taifa.

Hebu tushike breki kidogo kwani maisha si leo tu, kuna na kesho jama eeehh.
 
Funzo kwa UWT

  • unaweza kuwa strong physical security nzuri lakini ukawa uchi...........
  • Wenzetu wanatumia balozi zao kuusanya data mbali mbali.( Uchumi, teknolojia, biashara, jeshi,kilimo, )

Unaweza kuona wamarekani wanavyofanya kazi. Jamaa wanakusanya taarifa, za kisasa, teknolojia, biashara, utawala viongozi, jeshi , miradi etc

Natamani nione Informational report japo ya mizei mitatu ya kutoka balozi yeyote ya Tanzania iwe ni London, Wahington, Paris, Bejing Tokyo.
 
Mtu kupewa gifts haimaanishi kuhongwa. Ni vyema mambo haya mawili yakatenganishwa haswa tunapojadili katika muktadha (context) ya mahusiano ya kimataifa. Kuhonga ni kwa njia ya kurubuni na kushawishi uamuzi kupindishwa ili kumnufaisha mtoaji wa hongo. Wakati zawadi ni utamaduni wa ukarimu (courtesy) ambao umekuwepo enzi na enzi hata katika mfumo wa tawala za jadi za kiafrika.

Katika ulimwengu wa mahusiano ya kimataifa-iwe kwenye biashara au diplomasia-kutoa na kupokea zawadi ni utamaduni wa kawaida kabisa. Utamaduni huu uko dunia nzima. Wazungu kutokana na tafsiri yao ya ukarimu wanatoa sana vitu vidogovidogo ambavyo ni alama zaid maarufu kiingereza kama "peniphenalia". Watatoa kalamu zenye nembo ya kampuni nk ambazo ni za gharama kubwa sana ikitegemeana na hadhi (reputation) ya kampuni yenyewe. Kwa waarabu na Watu wa far East utamaduni huu upo institutionalized pia. Wao hutoa chochote na kitendo cha kukataa ni kitendo cha udhalilishaji na fedheha kwao. Wazungu au watu wa Magharibi na Waasia au watu wa Mashariki wanatofautiana namna na aina ya zawadi hizo lakini wote wanatoa. Sisi pia Tanzania tunatoa, kiongozi akipita majimboni mwetu tunamkamatia kuku na kumfungashia viroba vya matunda au mihogo kama "good will" na sio rushwa. Makampuni makubwa ya kimataifa nao wana desturi hiyo katika kujenga mahusiano.

Hivyo kama kweli albawadi alimpa zawadi foreign minister wala sio jambo la ajabu....ipo mifano mingi ya viongozi kupewa zawadi za aina mbalimbali.....huko nyuma kikwete alipewa zawadi za magari ya kubebea viongozi na ndizo zimekuwa zikitumika serikalini mpaka kesho. *Hata Salim A Salim alishawahi kupewa magari alipokuwa waziri, akayatoa jeshini.

Tukiachilia suala la gifts, kwa nafasi ya waziri wa mambo ya nchi za nje-moja ya kazi zake ni kutekeleza diplomasia ya uchumi ambayo inajumuisha kuwaleta wawekezaji nchini. Na si jambo la kushtusha kuwa mwekezaji yoyote atakutana na Waziri wa Mambo ya nje kwanza au Rais kwa kuwa wawili hawa ndio taswira ya nchi yeti nje ya nchi. Mwekezaji wa Nje ambaye hajafika nchini, Sura ya kwanza atakayokutana nayo huko nje ni aidha ya Balozi kama tuna uwakilishi katika nchi anayotoka au ya Waziri wa Mambo ya Nje. Wakishaingia tu hapo kazi yake inaisha. Kinachobaki ni institutions za ndani kuendelea na michakato ya kushughulikia uwekezaji huo...TIC,PSRC etc. Kupewa zawadi foreign minister hakuwezi kusaidia mtu kuuziwa hoteli ....sababu waziri huyo hana dhamana ya uwekezaji wala ya mamlaka ya kuamrisha Wizara nyingine au Taasisi ya Serikali kumkubali au kumkataa mwekezaji. Wizara ya Mambo ya Nje ni mratibu tu.

Lakini pia hii wikileak story hailezi chochote Kama jk as an individual alikuwa na mahusiano ya aina ipi na albawadi , pengine ni rafiki yake, sasa kukimbilia conclusion kwamba amehongwa ni insult -kwa nature ya kazi yake-foreign minister anaweza kupita uingereza hata mara 20 kwa mwaka,kwa kazi mbalimbali ziwe bilaterals, commonwealth, trade missions-achilia mbali transit visits. Posho ya foreign minister inatosha kununua suti zaidi ya pair zinazotajwa kila anaposafiri. Kama ni hongo ni inaingia akilini tu kama itakuwa zaidi ya kile Foreign Minister anachokipata kama lengo la rushwa ni kumshawishi apindishe maamuzi.

Mimi nadhani kabla ya kujadili thread hii kwanza tujifunze utamaduni wa economic diplomacy ukoje ili tufahamu desturi zake na tamaduni zake. Economic Diplomacy imeazima tamaduni nyingi kutoka katika corporate world. Ili kuyaelewa mambo mengine lazima tufahamu muingiliano wa tamaduni (cross-cultural interactions) na tafsiri ya tamaduni tofauti juu ya desturi tofauti. Hapo ndipo tutakapokuwa greathinkers wa ukweli
 
he passed her an envelope. Pile told me the envelope was stuffed with 1 million shillings ( $1,000) and was to pay for a Kikwete meeting at the Kilmanjaro-Kempinski later that month. Apparently Kikwete is a regular customer, but no name ever appears on the hotel registry when a government bigshot has an "event" in one of the guest rooms. ¶

Am wondering those types of 'events' in guest rooms...pole mheshimiwa , pia pole mama Salma!!
 
JK na Mwinyi tawala zao zinafanana sana kwa ulegevu na corruption. ni kwa vile wote waswahili au ni nini? mwinyi alimaliza muda wake kutokana na nguzo iliyokuwa nje yaani mwalimu. je, JK ana nguzo gani ya kumsaidie amalize muda maana naona serikali imemshinda kabisa!
 
Ni lazima tukumbuke yaliyompata waziri mstaafu wa Israel. Alipokea gift kutoka kwa mfanyabiashara akaulizwa zawadi za kaz gani.

Taifa hili ni lazima lijue JK anawahadaa waTanzania kwa staili zake za uwongozi huku akijuwa analake jambo. Pia nilazima tujuwe taifa hili halina usalama wa Taifa kama ule wa Marekan,German, Israel. Taifa hili linausalama wa Taifa unaolinda masilai ya viongozi na chama. Na hili ndio jambo lahatari sana,pia hatuna sheria kali zinazo zuwia viongoz kupokea pokea zawadi pindi wakiwa ktk nyadhifa.

Haya na mengine meng yanaliweka taifa hili kuja kuwa jagwa la matatizo. Viongoz wanatuuza kwa kupewa pipi na mawe ya dhahabu, wakati watanzania tukiondolewa kwenye maeneo yenye rutuba na maji huku umasikin ukitutafuna. Mimi nadhani tufanye National Debeit ili tujuwe tuende vipi, ifike mahali ukuu wa wilaya,ukurugenz,uwaziri,ubunge mpaka uwazir watu wajiulize mara mbilmbil kuwa viongozi. Watanzania tuzidi kusali maana ni lazima kila kiongoz alie tutia ktk dhiki atakuwa na la kujibu ktk mahakama zetu cku moja.

Mungu ibarik Tanzania na watu wake. Amen.
 
he passed her an envelope. Pile told me the envelope was stuffed with 1 million shillings ( $1,000) and was to pay for a Kikwete meeting at the Kilmanjaro-Kempinski later that month. Apparently Kikwete is a regular customer, but no name ever appears on the hotel registry when a government bigshot has an "event" in one of the guest rooms. ¶

Am wondering those types of 'events' in guest rooms...pole mheshimiwa , pia pole mama Salma!!

Unajua sisi wenye kingereza cha kuunga unga kama jiko la mafiga matatu mpaka turudie kama ma ra sita ndio tunapata ujumbe uliomo between the lines. Tee teh teh

Ina maana hiyo guest rooom matumizi yake ndio kama guest zetu huku uswazi kama kamwala. Wiliokulia uswazi hasa mitaa ya kinondoni studio watakuwa wanaijua hiyo kamwala teh teh teh
 
Kuna kitu wanakitafuta. As usual we seem to be gullible people and to them,we so quickly swallow half truth,false promises and outlandish claims! Ila upande mwingine ni nzuri maana viongozi wengi wakishakuwa madarakani wanafikiria wamechaguliwa kuwatumikia westerners na sio wananchi waliowapigia kura. Sasa hivi wakiwa wanafunga safari watakuwa wanajiuliza mara mbili mbili kama yale magumashi na madili ya siri yameshawekwa kwenye confidential cables
 
ukweli nchi hii hatufiki bila damu kwa hiyo tunahitaji nguvu za ziada kufikia malengo
 
Mtu kupewa gifts haimaanishi kuhongwa. Ni vyema mambo haya mawili yakatenganishwa haswa tunapojadili katika muktadha (context) ya mahusiano ya kimataifa. Kuhonga ni kwa njia ya kurubuni na kushawishi uamuzi kupindishwa ili kumnufaisha mtoaji wa hongo. Wakati zawadi ni utamaduni wa ukarimu (courtesy) ambao umekuwepo enzi na enzi hata katika mfumo wa tawala za jadi za kiafrika. **&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Katika ulimwengu wa *mahusiano ya kimataifa-iwe kwenye biashara au diplomasia-kutoa na kupokea zawadi ni utamaduni wa kawaida kabisa. Utamaduni huu uko dunia nzima. Wazungu kutokana na tafsiri yao ya ukarimu wanatoa sana vitu vidogovidogo ambavyo ni alama zaid maarufu kiingereza kama &amp;quot;peniphenalia&amp;quot;. Watatoa kalamu zenye nembo ya kampuni nk ambazo ni za gharama kubwa sana ikitegemeana na hadhi (reputation) ya kampuni yenyewe. *Kwa waarabu na Watu wa far East utamaduni huu upo institutionalized pia. Wao hutoa chochote na kitendo cha kukataa ni kitendo cha udhalilishaji na fedheha kwao. Wazungu au watu wa Magharibi na Waasia au watu wa Mashariki wanatofautiana namna na aina ya zawadi hizo lakini wote wanatoa. Sisi pia Tanzania tunatoa, kiongozi akipita majimboni mwetu tunamkamatia kuku na kumfungashia viroba vya matunda au mihogo kama &amp;quot;good will&amp;quot; na sio rushwa. Makampuni makubwa ya kimataifa nao wana desturi hiyo katika kujenga mahusiano. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hivyo kama kweli albawadi alimpa zawadi foreign minister wala sio jambo la ajabu....ipo mifano mingi ya viongozi kupewa zawadi za aina mbalimbali.....huko nyuma kikwete alipewa zawadi za magari ya kubebea viongozi na ndizo zimekuwa zikitumika serikalini mpaka kesho. *Hata Salim A Salim alishawahi kupewa magari alipokuwa waziri, akayatoa jeshini. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tukiachilia suala la gifts, kwa nafasi ya waziri wa mambo ya nchi za nje-moja ya kazi zake ni kutekeleza diplomasia ya uchumi ambayo inajumuisha kuwaleta wawekezaji nchini. Na si jambo la kushtusha kuwa mwekezaji yoyote atakutana na Waziri wa Mambo ya nje kwanza au Rais kwa kuwa wawili hawa ndio taswira ya nchi yeti nje ya nchi. Mwekezaji wa Nje ambaye hajafika nchini, Sura ya kwanza atakayokutana nayo huko nje ni aidha ya Balozi kama tuna uwakilishi katika nchi anayotoka au ya Waziri wa Mambo ya Nje. Wakishaingia tu hapo kazi yake inaisha. Kinachobaki ni institutions za ndani kuendelea na michakato ya kushughulikia uwekezaji huo...TIC,PSRC etc. Kupewa zawadi foreign minister hakuwezi kusaidia mtu kuuziwa hoteli ....sababu waziri huyo hana dhamana ya uwekezaji wala ya mamlaka ya kuamrisha Wizara nyingine au Taasisi ya Serikali kumkubali au kumkataa mwekezaji. Wizara ya Mambo ya Nje ni mratibu tu.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Lakini pia hii wikileak story hailezi chochote Kama jk as an individual alikuwa na mahusiano ya aina ipi na albawadi , pengine ni rafiki yake, sasa kukimbilia conclusion kwamba amehongwa ni insult -kwa nature ya kazi yake-foreign minister anaweza kupita uingereza hata mara 20 kwa mwaka,kwa kazi mbalimbali ziwe bilaterals, commonwealth, trade missions-achilia mbali transit visits. *Posho ya foreign minister inatosha kununua suti zaidi ya pair zinazotajwa kila anaposafiri. Kama ni hongo ni inaingia akilini tu kama itakuwa zaidi ya kile Foreign Minister anachokipata kama lengo la rushwa ni kumshawishi apindishe maamuzi.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mimi nadhani kabla ya kujadili thread hii kwanza tujifunze utamaduni wa economic diplomacy ukoje ili tufahamu desturi zake na tamaduni zake. Economic Diplomacy imeazima tamaduni nyingi kutoka katika corporate world. Ili kuyaelewa mambo mengine lazima tufahamu muingiliano wa tamaduni (cross-cultural interactions) na tafsiri ya tamaduni tofauti juu ya desturi tofauti. **Hapo ndipo tutakapokuwa *greathinkers wa ukweli
<br />
<br />


Haswaa hapo uliposema corporate world policies *tutakuwa greatthinkers wa ukweli* hapo hapo....kuna a very strong code of ethics and conducts kwa corporates international especially after fall of Enron, makampuni kama Barrick yana SOX ( Sarbanes Oxyley Act ) isome hiyo act inaaply kwa makampuni makubwa na mambo ya gifts zinazozidi kiwango tena in cash lazima yawe declared

Ukiachilia mbali yote hayo, kuna kanuni za maadili ya utumishi wa umma katika kanuni hizi mtumishi (in ths case Jakaya ) haruhusiwi kupokea zawadi zitakazoinfluence maamuzi, zawadi atakazopokea anapashwa kuzideclare...

Nadhani kutetea upokeaji wa zawadi ambazo si calendar,diary na kalamu ( zinaitwa tools of trade ) na kuaccept free guest rooms...kwa waziri mzima! Si alipie tu personal pleasures!

Again pole mama Salma Kikwete!
 
What is wikiliks mission anyway?
.........to tell us point blank that, we are fools, we are being fooled and we have accepted it.
........that as foolish as we are, we can do something as smart as cast a vote while informed.
 
Hii jamani aibu. Plato aliwahi kusema" we can easily forgive a child who is afraid of the dark; the really tragedy of life is when men are afraid of the light". Indeed hapa tulipo our men of honours wanaogopa mwanga kuliko giza maana mambo wanayofanya yanawaumbua hatua kwa hatua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom