Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,172
Hizi habari ningefurahi sana kama zingeandikwa na kutangazwa na vyombo vyetu vya habari,ili watanzania wengi zaidi wayafahamu haya....lakini mmh!
Natabiri yatakayojiri wiki ijayo kuanzia kesho!!!!!!!!!
1. Magazeti ya bongo kuna baadhi yataitoa habari hii, maana is just quoting wikileaks.
2. Magazeti kama habari leo, uhuru nao wanaweza kuja nayo kinamna nyingine ya kuipotosha.
3. Mwanahalisi au raia mwema kama kawaida wataingia deep juu ya habari hii.
4. Habari ikipamba moto kama kawaida wale jamaa wa kurugenzi ya habari ya ikulu watatoa press release kukanusha.
5. Kwa mara ya kwanza watanzania walio wengi watamuona mmiliki wa Kempiski luningani na kwenye magazeti naye akikanusha.
6. Dili ya kuibomoa forodhani hotel (mahakama ya rufaa) kupisha upanuzi wa Kempiski itatangazwa na waziri aidha wa sheria au kigogo mwingine kwamba haipo/ imesitishwa ili kupoteza the suspected link na hii scandal.
7. Huyo the so called Pile kama yupo bongo ndiyo kwa heri hiyo
8. Litaibuka liwaziri au jimwanasheria mkuu kutoa mwongozo kwamba habari kutoka wiki leaks zisichapishwe magazetini maana nyingi zinahusu usalama wa taifa mfano hii ya suti za JK