Wiki ya kishindo cha JPM inaanza Desemba 7

Wiki ya kishindo cha JPM inaanza Desemba 7

Kwendaaaaaaaaa...... hadi sasa

1: UDA iko inadunda na Riz1 anadunda tu...

2: ESCROW wezi wana dunda tu

3: Walio uza twiga wako wanatanua..

4: Wauaji wa Tembo wako huru tu

5: Mikataba ya gesi, mafuta na madini hakuna kitu amesema hadi sasa, inabakia siri hata kufanyia review hakuna, ndio nn

6: TRL, mabehewa feki, hakuna kitu amesema...

7: ATCL, Magufuli kakaa kimyaaa... why

8: Drug lords wako wanatanua tu, Nzowa si anawajua wote, Magufuli angetoa order tu wanawekwa ndani... Nzowa anaowajua wooote

9: Bandari ya UFISADI Bagamoyo, hata BUNGE haijui nn kinaendelea, Magufuli kakaa kimyaaaaaaa, kama haoni, Bagamoyo port is the biggest disaster to our country, bcoz there are rumors that will be operated 50yrs FREELY and without tax, by CHINESE ARMY... that is the most worst ever contract our country could have, na ukifuatiwa ule wa Mafuta na Gesi, ulipitishwa bungeni kwa dharura kama vita vile...

10: Umiliki wa Lake Oil, Lake Gas, utata mtupu, wachunguzwe wamiliki wake... it looks JK family owns it... ni kosa kubwa...!!! Ila waarab ndio wanasimamia...

11: Home Shopping Center, Magufuli kakaa kimyaaaaaaaaa... 😨 kwani
hajui jamani..?

12: IPTL... IPTL... IPTL... IPTL... esp. capacity charges... kila mwezi inapokea tsh. 4 bil, as capacity charges... na kinyume kabisa na maagizo ya Bunge... na Magufuli yuko kimyaaaaaaaaaaaaa😨😠😠

13: TANAPA.... NCAA, na WANYAMA PORI ni wa kupiga chini haraka sana viongozi wao.... huko ufisadi ni wa kutisha, hasa ktk VITALU VYA UWINDAJIIIIIII

Mm naona kakomaa na TRA tu, ni sawa kaanza vizuri hatukatai, lkn je na hao wengine..?

Magufuli ni Rais toka lini tena?
 
umhukumu JPM kwa kesi za Kikwete . we subiri uongozimpya uje na yake huko tushaingia cha kike tusahau saiz ngwe mpya
 
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........
akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya........vinginevyo........ mvinyo ule ule chupa mpya........hatulewi ng'ooooooooooooooo............

mbona unakwepa kutaja RICHMOND?
 
mbona unakwepa kutaja RICHMOND?

Tembo na twiga wananigusa sana..........ninaumia kweli kweli........pale wanapotendewa uharamia........
wacha anaeguswa na richmond aje na yeye atoe dukuduku lake.......
 
usimpriempty wewe.....hataufanyeje JP hatetetereki...atawaibukia tu....Hapa ni kazi Tu.

Maliasili kuna wadudu kibao, wanakula kilakitu, haingii akilini mbuga zote na hifadhi kibao mapato kiduchu achilia mbali Mt Kilimanjaro, mapato ya utalii yanatosha elimu Bure kuanzia uniforms hadi msosi mashuleni, BABA SAFISHA. Nimesahau misitu. Alaaa kwani siye tumelogwa?!!!!!!!!!!???!!!
 
bila shaka nyie ndo walewale vijana wa vidole juu na umbeya usio kifani. mmezoea kufikiria kimakamasikamasi. vichwani mmejazwa mavi badala ya ubongo.

Bongo watu wanaishi kimungumungu tu. Nchi rahis sana kuiongoza ukiwa kiongoz. Siwez amin miaka 10 iliyopita kila kitu kilikuwa sawa tu licha ya utawala wa ngeseki
 
I can tell you openly... kwa CCM, niwe mkweli MTU PEKEE NAMWAMINI sana ni Mh. RAIS Magufuli tokea akiwa Waziri hadi sasa namkubali... follow my posts... ila sasa LAZIMA ALALE NAO MBELE... Rais ana madaraka yote... hakuna aliye juu yake... hatakiwi kuogopa mtu...kama mtangulizi wake JK alifanya madudu na mauchafu, Magufuli he has to CLEAR kabisa... so hakuna cha waarabu wala mama yake na waarabu... bullshit.. kwani waarabu ni nani... mmaaaninaaaaa...!! Waarab... ? 

Tena Magufuli ndio namwamini kwa watu kama hao, hana uhusiano nao kabisaaaaaa..

Nachomwomba aongeze speed kidogo na tumeona mazuri so far... ila kuna mambo kama niliyo yataja yako wazi ale nao sahani moja... sbb Rais anatamka tu, kazi inafanywa... na mm niwe wazi NAMPENDA SANA SANAAA MH. RAIS MAGUFULI... na i pray for him...na ni mzalendo kweli kweli... ila aongezeee speed na asione aibu kukamata vitu baadhi nilivyotaja na wahusika wakmatwe pia....

Najua 100 days zikitimia atakuwa labda kafanya hao na kusafisha safisha uchafu huu... kama hizi shule-za PRIVATE zilikuwa ni UCHAFUUUUU UCHAFUUUUU. ada mil 10 ebooooo.... safii Magufuli... but ongezaaa speed, tuko pamoja... ila usionee aibu mtu

We uko kama mimi mkuu, penye ukweli unasema wazi, penye mazuri pia unasema openly bila mihemuko ya kisiasa

Big up!!
 
Kwendaaaaaaaaa...... hadi sasa

1: UDA iko inadunda na Riz1 anadunda tu...

2: ESCROW wezi wana dunda tu

3: Walio uza twiga wako wanatanua..

4: Wauaji wa Tembo wako huru tu

5: Mikataba ya gesi, mafuta na madini hakuna kitu amesema hadi sasa, inabakia siri hata kufanyia review hakuna, ndio nn

6: TRL, mabehewa feki, hakuna kitu amesema...

7: ATCL, Magufuli kakaa kimyaaa... why

8: Drug lords wako wanatanua tu, Nzowa si anawajua wote, Magufuli angetoa order tu wanawekwa ndani... Nzowa anaowajua wooote

9: Bandari ya UFISADI Bagamoyo, hata BUNGE haijui nn kinaendelea, Magufuli kakaa kimyaaaaaaa, kama haoni, Bagamoyo port is the biggest disaster to our country, bcoz there are rumors that will be operated 50yrs FREELY and without tax, by CHINESE ARMY... that is the most worst ever contract our country could have, na ukifuatiwa ule wa Mafuta na Gesi, ulipitishwa bungeni kwa dharura kama vita vile...

10: Umiliki wa Lake Oil, Lake Gas, utata mtupu, wachunguzwe wamiliki wake... it looks JK family owns it... ni kosa kubwa...!!! Ila waarab ndio wanasimamia...

11: Home Shopping Center, Magufuli kakaa kimyaaaaaaaaa... 😨 kwani
hajui jamani..?

12: IPTL... IPTL... IPTL... IPTL... esp. capacity charges... kila mwezi inapokea tsh. 4 bil, as capacity charges... na kinyume kabisa na maagizo ya Bunge... na Magufuli yuko kimyaaaaaaaaaaaaa😨😠😠

13: TANAPA.... NCAA, na WANYAMA PORI ni wa kupiga chini haraka sana viongozi wao.... huko ufisadi ni wa kutisha, hasa ktk VITALU VYA UWINDAJIIIIIII

Mm naona kakomaa na TRA tu, ni sawa kaanza vizuri hatukatai, lkn je na hao wengine..?

Mkuu umesahau na fast jet ya mkwere ichunguzwe hailipi kodi
 
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........
akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya........vinginevyo........ mvinyo ule ule chupa mpya........hatulewi ng'ooooooooooooooo............

Una akili sana wewe. Watu wamepagawa hawaelewi ni muvi.

Magufuli kama kweli anataka mabandiko arudishe katiba ya Warioba bungeni maana watu wameifanya nchi kuwa kichaka kwa sababu katiba ni mbovu.

Pia hata tukisema andelee, vipi akimaliza muda wake alafu akaja mjinga mmoja kama huyu aliyemaliza muda wake? Mabadiliko yawe kwenye mfumo na siyo hizi filamu
 
Amedhamiria kuanzia tarehe 7...? We kweli unajufurahisha, mtu kaanza kukamua siku ya pili tu alipoapishwa. Au unalenga jiwe kwenye giza sababu unajua lazima tu wiki ijayo kuna jambo jingine litatokea?
 
Jay One nakuunga mkono mia/mia capacity charges zinatuumiza, ni wizi mtupu!!
Bei za umeme zishuke, bei ya kusaga sado ya mahindi automaticaly itashuka!!
Huku Babati BAWASA wanapandisha gharama za maji eti gharama zimepanda ni zipi??
Hawatoi mchanganuo, ni wizi ule ule!!
Mkurugenzi anafukuza machinga standi wanaofukuzana na magari wapate riziki, huko pembeni biskuti na karanga wamuuzie nani??
Hizo by laws zimetungwa na nani hata MADIWANI hawaja apishwa??
 
Last edited by a moderator:
Maliasili kuna wadudu kibao, wanakula kilakitu, haingii akilini mbuga zote na hifadhi kibao mapato kiduchu achilia mbali Mt Kilimanjaro, mapato ya utalii yanatosha elimu Bure kuanzia uniforms hadi msosi mashuleni, BABA SAFISHA. Nimesahau misitu. Alaaa kwani siye tumelogwa?!!!!!!!!!!???!!!

Misitu sio wizara ya m/asili!?
 
kishindo kwako mtoa mada mi mpaka nione PAYE imeshuka kwa mfanyakazi mkate unga sukari vimeshuka bei hapo ntakubali kuwa kishindo wafanyakazi tunalipa kodi kubwa sana bado kila unachonunua unakatwa kodi maisha magumu alafu tunashangilia makontena kukamatwa na watu kufukuzwa kazi makati wakubwa walioshindwa kusimamia nchi wakidunda na kinga du kweli kuwa mtanzania ni maajabu.nchi nyingine mkate ukipanda bei ni mandamano nchi nzima alafu tushadadia nini wakati pombe anatekeleza wajibu wake c ndo kazi iliyompeleka ikulu hebu tufanye kazi kwa bidii maisha yaende
 
Katiba ya nchi yako unaijua, umewahi kuisoma au umeamua kujiandikia ili mradi tu?

Nimejiandikia tu! Then, he really have a hard work to do & long way to go. Najua katiba inawalnda mapapa, na hapa ndipo mkwamo wa JPM unapoanzia.
 
Back
Top Bottom