Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Habari za moshi,ushaenda kuhesabiwa?
Kwani ni sasa.......si bado muda...........
Habari za moshi,ushaenda kuhesabiwa?
Kila mtu ana vipaumbele vyake. Let him work on his priorities.
Kwani ni sasa.......si bado muda...........
Decmber hii ni muda wa nyie ukawa kwenda kuhesBiwa
Tunaanza kuondoka kuanzia tar 20.......ni mapema mno kwenda popote kwa sasa...........
Kwendaaaaaaaaa...... hadi sasa
1: UDA iko inadunda na Riz1 anadunda tu...
2: ESCROW wezi wana dunda tu
3: Walio uza twiga wako wanatanua..
4: Wauaji wa Tembo wako huru tu
5: Mikataba ya gesi, mafuta na madini hakuna kitu amesema hadi sasa, inabakia siri hata kufanyia review hakuna, ndio nn
6: TRL, mabehewa feki, hakuna kitu amesema...
7: ATCL, Magufuli kakaa kimyaaa... why
8: Drug lords wako wanatanua tu, Nzowa si anawajua wote, Magufuli angetoa order tu wanawekwa ndani... Nzowa anaowajua wooote
9: Bandari ya UFISADI Bagamoyo, hata BUNGE haijui nn kinaendelea, Magufuli kakaa kimyaaaaaaa, kama haoni, Bagamoyo port is the biggest disaster to our country, bcoz there are rumors that will be operated 50yrs FREELY and without tax, by CHINESE ARMY... that is the most worst ever contract our country could have, na ukifuatiwa ule wa Mafuta na Gesi, ulipitishwa bungeni kwa dharura kama vita vile...
10: Umiliki wa Lake Oil, Lake Gas, utata mtupu, wachunguzwe wamiliki wake... it looks JK family owns it... ni kosa kubwa...!!! Ila waarab ndio wanasimamia...
11: Home Shopping Center, Magufuli kakaa kimyaaaaaaaaa... 😨 kwani
hajui jamani..?
12: IPTL... IPTL... IPTL... IPTL... esp. capacity charges... kila mwezi inapokea tsh. 4 bil, as capacity charges... na kinyume kabisa na maagizo ya Bunge... na Magufuli yuko kimyaaaaaaaaaaaaa😨😠😠
13: TANAPA.... NCAA, na WANYAMA PORI ni wa kupiga chini haraka sana viongozi wao.... huko ufisadi ni wa kutisha, hasa ktk VITALU VYA UWINDAJIIIIIII
Mm naona kakomaa na TRA tu, ni sawa kaanza vizuri hatukatai, lkn je na hao wengine..?
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........
akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya........vinginevyo........ mvinyo ule ule chupa mpya........hatulewi ng'ooooooooooooooo............
mbona unakwepa kutaja RICHMOND?
usimpriempty wewe.....hataufanyeje JP hatetetereki...atawaibukia tu....Hapa ni kazi Tu.
Bongo watu wanaishi kimungumungu tu. Nchi rahis sana kuiongoza ukiwa kiongoz. Siwez amin miaka 10 iliyopita kila kitu kilikuwa sawa tu licha ya utawala wa ngeseki
I can tell you openly... kwa CCM, niwe mkweli MTU PEKEE NAMWAMINI sana ni Mh. RAIS Magufuli tokea akiwa Waziri hadi sasa namkubali... follow my posts... ila sasa LAZIMA ALALE NAO MBELE... Rais ana madaraka yote... hakuna aliye juu yake... hatakiwi kuogopa mtu...kama mtangulizi wake JK alifanya madudu na mauchafu, Magufuli he has to CLEAR kabisa... so hakuna cha waarabu wala mama yake na waarabu... bullshit.. kwani waarabu ni nani... mmaaaninaaaaa...!! Waarab... ? 
Tena Magufuli ndio namwamini kwa watu kama hao, hana uhusiano nao kabisaaaaaa..
Nachomwomba aongeze speed kidogo na tumeona mazuri so far... ila kuna mambo kama niliyo yataja yako wazi ale nao sahani moja... sbb Rais anatamka tu, kazi inafanywa... na mm niwe wazi NAMPENDA SANA SANAAA MH. RAIS MAGUFULI... na i pray for him...na ni mzalendo kweli kweli... ila aongezeee speed na asione aibu kukamata vitu baadhi nilivyotaja na wahusika wakmatwe pia....
Najua 100 days zikitimia atakuwa labda kafanya hao na kusafisha safisha uchafu huu... kama hizi shule-za PRIVATE zilikuwa ni UCHAFUUUUU UCHAFUUUUU. ada mil 10 ebooooo.... safii Magufuli... but ongezaaa speed, tuko pamoja... ila usionee aibu mtu
Kwendaaaaaaaaa...... hadi sasa
1: UDA iko inadunda na Riz1 anadunda tu...
2: ESCROW wezi wana dunda tu
3: Walio uza twiga wako wanatanua..
4: Wauaji wa Tembo wako huru tu
5: Mikataba ya gesi, mafuta na madini hakuna kitu amesema hadi sasa, inabakia siri hata kufanyia review hakuna, ndio nn
6: TRL, mabehewa feki, hakuna kitu amesema...
7: ATCL, Magufuli kakaa kimyaaa... why
8: Drug lords wako wanatanua tu, Nzowa si anawajua wote, Magufuli angetoa order tu wanawekwa ndani... Nzowa anaowajua wooote
9: Bandari ya UFISADI Bagamoyo, hata BUNGE haijui nn kinaendelea, Magufuli kakaa kimyaaaaaaa, kama haoni, Bagamoyo port is the biggest disaster to our country, bcoz there are rumors that will be operated 50yrs FREELY and without tax, by CHINESE ARMY... that is the most worst ever contract our country could have, na ukifuatiwa ule wa Mafuta na Gesi, ulipitishwa bungeni kwa dharura kama vita vile...
10: Umiliki wa Lake Oil, Lake Gas, utata mtupu, wachunguzwe wamiliki wake... it looks JK family owns it... ni kosa kubwa...!!! Ila waarab ndio wanasimamia...
11: Home Shopping Center, Magufuli kakaa kimyaaaaaaaaa... 😨 kwani
hajui jamani..?
12: IPTL... IPTL... IPTL... IPTL... esp. capacity charges... kila mwezi inapokea tsh. 4 bil, as capacity charges... na kinyume kabisa na maagizo ya Bunge... na Magufuli yuko kimyaaaaaaaaaaaaa😨😠😠
13: TANAPA.... NCAA, na WANYAMA PORI ni wa kupiga chini haraka sana viongozi wao.... huko ufisadi ni wa kutisha, hasa ktk VITALU VYA UWINDAJIIIIIII
Mm naona kakomaa na TRA tu, ni sawa kaanza vizuri hatukatai, lkn je na hao wengine..?
Hakuna kitu........tunaowataka mbona wanakwepwa........sarakasi tu hizi na senema zisizo na mashiko........
akiniletea aliyesafirisha twiga.......na kuua tembo.......ndio nitaona kuna jipya........vinginevyo........ mvinyo ule ule chupa mpya........hatulewi ng'ooooooooooooooo............
Maliasili kuna wadudu kibao, wanakula kilakitu, haingii akilini mbuga zote na hifadhi kibao mapato kiduchu achilia mbali Mt Kilimanjaro, mapato ya utalii yanatosha elimu Bure kuanzia uniforms hadi msosi mashuleni, BABA SAFISHA. Nimesahau misitu. Alaaa kwani siye tumelogwa?!!!!!!!!!!???!!!
Katiba ya nchi yako unaijua, umewahi kuisoma au umeamua kujiandikia ili mradi tu?